Tunoposema ACT Wazalendo wanafanya mambo kwa maonesho na kuwakomoa CHADEMA ona sasa

Tunoposema ACT Wazalendo wanafanya mambo kwa maonesho na kuwakomoa CHADEMA ona sasa

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
418
Reaction score
526
Hii ofisi ya ACT wazalendo ilifunguliwa mwezi wa6 imekuwa wazi kea miezi3tu,na wakati huo aah pilika za wadau kuingia na kutoka zikijuwepo,lakini sasa kwisha ofic mwezi sasa imefungwa nadhani mshahara hakuna watumishi wameghairi kuja.

IMG_20231019_173230.jpg
 
Hii habari inakusaidia nini wewe na familia yako?

Lisu yupo Ulaya kula bata na familia yake kupitia michango aliyochangisha mikutanoni.

Mbowe ni miongoni mwa wanaokula keki ya taifa kupitia ruzuku za kina Halima Mdee kwa njia ya kificho.

Zito na genge lake nao wanatafuna hela za wapemba, huku wakiwahadaa kufungua ofisi mpya nk.

Sasa wewe unaehangaika humu kuleta habari zisizokuwa na tija kwako wala kwa taifa ni Nani kati ya hao niliowataja ashawahi kukufikiria wewe na familia yako, japo kwa kukupa kilo ya unga na maharage?
 
Ch
Hii ofisi ya ACT wazalendo ilifunguliwa mwezi wa6 imekuwa wazi kea miezi3tu,na wakati huo aah pilika za wadau kuingia na kutoka zikijuwepo,lakini sasa kwisha ofic mwezi sasa imefungwa nadhani mshahara hakuna watumishi wameghairi kuja.

View attachment 2786567
Cha umuhimu wanayo lete za ufipa zilizo wazi na busy!
 
Hii habari inakusaidia nini wewe na familia yako?

Lisu yupo Ulaya kula bata na familia yake kupitia michango aliyochangisha mikutanoni.

Mbowe ni miongoni mwa wanaokula keki ya taifa kupitia ruzuku za kina Halima Mdee kwa njia ya kificho.

Zito na genge lake nao wanatafuna hela za wapemba, huku wakiwahadaa kufungua ofisi mpya nk.

Sasa wewe unaehangaika humu kuleta habari zisizokuwa na tija kwako wala kwa taifa ni Nani kati ya hao niliowataja ashawahi kukufikiria wewe na familia yako, japo kwa kukupa kilo ya unga na maharage?
Hivi nikuulize,unadhani Mbowe na Lissu wanashindwa na vishilingi laki3toka kwenye mikutano ya hadhara?umesema inaniasidia nini nawe nikuulize uonapo ripoti ya cag inaonesha rosario itakaa kimya kwakuwa haikuhusu?
 
Hivi nikuulize,unadhani Mbowe na Lissu wanashindwa na vishilingi laki3toka kwenye mikutano ya hadhara?umesema inaniasidia nini nawe nikuulize uonapo ripoti ya cag inaonesha rosario itakaa kimya kwakuwa haikuhusu?
Wangekuwa hawashindwi na hizo laki 3 unazosema, wasingetumia mikutano yao kuwachangisha wananchi masikini.
Cha kushangaza wao wanatumia ujinga wa wananchi masikini wanaowaamini kuwachangisha na baadae hela hizo kwenda kula na familia zao huko Ulaya bila kuleta mrejesho wa matumizi ya hela za michango walizochangisha mikutanoni kwako.

Ningewaona wa maana na ningewasifia kama wangekuwa wanatumia pesa hizo kutatua kero za wananchi husika. Mfano wakute sehemu kuna shida ya barabara, au hospital, alaf wachangishe fedha hizo, pamoja na wao kina Mbowe wachangie kwa ajili ya ujenzi wa hospital au barabara ya eneo husika.

Hapo nina imani wananchi watakuwa na Imani nao na watawachagua ktk uchaguzi wowote. Ila swala la kusema eti Lisu tajiri huku haachi mchango hata wa shilingi 100 ya mwananchi masikini, ni kujaribu kutushikia akili watu wenye akili kitu ambacho kamwe hakiwezekani.

Hata huyo Zito kwa vile ni mwanasiasa, basi na yeye ni miongoni mwa wachumia tumbo wakubwa wa nchi hii.

Kuhusu swala la cag kwa vile la kitaifa na lina manufaa kwangu na familia yangu kwa sababu ya kodi yangu, ni lazima nitalisemea.

Sasa wewe kuongelea mambo ya vyama huku wanaokula pesa za vyama ni wakubwa wa vyama na familia zao, hapo lazima nikushangae maana unajipendekeza kwa wasiokujua, na wala watoto wao huko Ulaya wala hawana habari kama wewe unajipendekeza kwenye vyama vya baba zao.
 
Hii habari inakusaidia nini wewe na familia yako?

Lisu yupo Ulaya kula bata na familia yake kupitia michango aliyochangisha mikutanoni.

Mbowe ni miongoni mwa wanaokula keki ya taifa kupitia ruzuku za kina Halima Mdee kwa njia ya kificho.

Zito na genge lake nao wanatafuna hela za wapemba, huku wakiwahadaa kufungua ofisi mpya nk.

Sasa wewe unaehangaika humu kuleta habari zisizokuwa na tija kwako wala kwa taifa ni Nani kati ya hao niliowataja ashawahi kukufikiria wewe na familia yako, japo kwa kukupa kilo ya unga na maharage?
Nani kakudanganya kuwa ruzuku ya Chadema inatokana na uwepo wa Makovidi 19 bungeni.
Uliza tunaojua ni jinsi gani ruzuku inavyotolewa tukujuze sio kukurupa na ramli chonganishi.
 
Hii habari inakusaidia nini wewe na familia yako?

Lisu yupo Ulaya kula bata na familia yake kupitia michango aliyochangisha mikutanoni.

Mbowe ni miongoni mwa wanaokula keki ya taifa kupitia ruzuku za kina Halima Mdee kwa njia ya kificho.

Zito na genge lake nao wanatafuna hela za wapemba, huku wakiwahadaa kufungua ofisi mpya nk.

Sasa wewe unaehangaika humu kuleta habari zisizokuwa na tija kwako wala kwa taifa ni Nani kati ya hao niliowataja ashawahi kukufikiria wewe na familia yako, japo kwa kukupa kilo ya unga na maharage?
Pamoja na kuwepo katika hiki Chuo kikuu cha ufahamu JF bado huelewi kuwa chama hakipati ruzuku kwa kuwa na idadi yeyote ya viti maalum bungeni?
Kama hilo tuu hulijui basi we ni KILAZA ungekuwa unakaa kimya tuu.
 
Nani kakudanganya kuwa ruzuku ya Chadema inatokana na uwepo wa Makovidi 19 bungeni.
Uliza tunaojua ni jinsi gani ruzuku inavyotolewa tukujuze sio kukurupa na ramli chonganishi.
Wewe umeanza kujifunza siasa wakati wa Lisu na Mbowe ndomaana imekuwa rahisi wao kukushikia akili, au kukuhadaa watakavyo kama walivyofanya kwa Lowasa mwaka 2008 na 2015 wakakuhadaa tena umpigie Lowasa kura.

Mimi nimejifunza siasa toka enzi za kina James Mapalala, Abdallah Fundikira nk ndomaana imekuwa ngumu kina Lisu na Mbowe waliopata madaraka makubwa ya chama juzi kunishikia akili au kunihadaa.

Hivyo hauna cha kunifunza katika siasa. Japo chama kinajifanya hakiwatambui hao kina Mdee, lkn wenye akili tunafahamu jinsi Mbowe anavuta ruzuku kwa njia za uficho, na pia kusaidia kesi ya kina Mdee iende kwa mwendo wa kono kono hadi 2025.

Wenye akili na utaalam wa kuonganisha dot tunajua kwamba mwenyekiti Mbowe kwenda ikulu mara mbili mfululizo bila kuwashirikisha wenzake halikuwa swala la Bahati mbaya, bali ni mipango mizuri iliyosukwa ikasukika.
 
Hii ofisi ya ACT wazalendo ilifunguliwa mwezi wa6 imekuwa wazi kea miezi3tu,na wakati huo aah pilika za wadau kuingia na kutoka zikijuwepo,lakini sasa kwisha ofic mwezi sasa imefungwa nadhani mshahara hakuna watumishi wameghairi kuja.

View attachment 2786567
Hicho chama hata muasisi wake mwenyewe hivi sasa anakiona mzigo anashindwa tu kukihama kwa aibu wanayopata
 
Pamoja na kuwepo katika hiki Chuo kikuu cha ufahamu JF bado huelewi kuwa chama hakipati ruzuku kwa kuwa na idadi yeyote ya viti maalum bungeni?
Kama hilo tuu hulijui basi we ni KILAZA ungekuwa unakaa kimya tuu.
 

Attachments

  • Screenshot_20231021-093955.png
    Screenshot_20231021-093955.png
    27.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_20231021-094010.png
    Screenshot_20231021-094010.png
    81.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20231021-093934.png
    Screenshot_20231021-093934.png
    22.3 KB · Views: 2
Oooh, ona sasa ndugu yangu unavyo vua nguo hadharani bila kujua madhara ya kukaa uchi!
Wapi Lissu aliposema wanachukua ruzuku kwa vile wanaipata kwa sababu ya hao kina Mdee na wenzake?
Tafuta sheria ya vyama vya siasa uisome utajua nakueleza nini.

 
Oooh, ona sasa ndugu yangu unavyo vua nguo hadharani bila kujua madhara ya kukaa uchi!
Wapi Lissu aliposema wanachukua ruzuku kwa vile wanaipata kwa sababu ya hao kina Mdee na wenzake?
Tafuta sheria ya vyama vya siasa uisome utajua nakueleza nini.

Tunasafiri ndefu.mtu hajuwi ruzuku inavyopatikana!.
 
Japo chama kinajifanya hakiwatambui hao kina Mdee, lkn wenye akili tunafahamu jinsi Mbowe anavuta ruzuku kwa njia za uficho, na pia kusaidia kesi ya kina Mdee iende kwa mwendo wa kono kono hadi 2025.
Mr Dudumizi: Kumbe wewe ni mtupu hivi kichwani. Kwa ujinga wako unadai akina Mdee ndio wanaiwezesha Chadema kupata ruzuku, really? Hebu soma hapa...

Kigezo kinachotumika ili chama kiweze kupata ruzuku ni kuangalia matokeo ya uchaguzi kuona kama chama kimepata asilimia tano ya kura au kama chama kimeshinda nafasi za ubunge au udiwani, kama ilivyoainishwa katika kifungu cha 16 cha Sheria ya Vyama vya Siasa, namba 5 ya mwaka 1992.

Je bado una swali?
 
Back
Top Bottom