Tunoposema ACT Wazalendo wanafanya mambo kwa maonesho na kuwakomoa CHADEMA ona sasa

Hakuna ruzuku inapangwa kwa idadi ya viti maalumu, ruzuku hutokana na wingi wa kura
 
Mpe elimu
 
Labda picha imepigwa jioni wamefunga ofisi.
😄😃Mchana kweupe tena waliyokuwa watumishi wanapita hapo kama hawapajuwi.waliwanunuwa wanachama kadha kuongeza ushawishi sitawataja majina hapa,na mhamasishaji mkuu wakati panafunguliwa ni jeuri,tapeli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…