TUNU PINDA: Profile

TUNU PINDA: Profile

8.JPG

Inatuhusu nini?
 
Anatoka Tabora.

Baba yake alikuwa fundi wa magari ya Ikulu enzi za mwalimu Nyerere na Pinda alimpatia huko, kwa sababu yeye alikuwa Ikulu alikofanya kazi zaidi ya miaka 20 kama mmoja wa MAAFISA USALAMA.

Kama umetudanganya vile!!!
 
Nyie ndo wa kwanza kutetea chaguo la Dr Slaa, hata kama lilikuwa chaguo la mtu mwingine!

Kigombaniwacho lazima ni kitu kizuri masopakyindi? After all yule tunamjua ni Mwanaharakati msomi, so ndiyo right choice kwa mtu kama Dr. Slaa....and she will make a perfect first Lady kama kutakuwa na fair game 2015.....:amen:
 
Last edited by a moderator:
Anatoka Tabora.

Baba yake alikuwa fundi wa magari ya Ikulu enzi za mwalimu Nyerere na Pinda alimpatia huko, kwa sababu yeye alikuwa Ikulu alikofanya kazi zaidi ya miaka 20 kama mmoja wa MAAFISA USALAMA.

Anaitwa Mzee Abdallah Rehani na anaishi Tabata.

First Name kabla hajaolewa ndio hilo la sasa la Tunu, na baada ya kuolewa alibadili dini kutoka uisilamu na kuwa mkatoliki, na akabatizwa kwa jina la Petronela

Tunu kielimu ana bachelor ya biashara kutoka open university of Tanzania.

La hasha kutokana na mtiririko wa thread hapo juu ni kwamba pinda ilipofika time ya kupewa cheo ilibidi watu wa kitengo maalum pale St Peter (TISS) wafanye juhudi za kumwozesha kwani alikuwa bachela

sasa katika hiyo shortlist kulikuwa na potential spouses 3

lakini wakatumia njia ya X-Factor akashinda huyo Tunu....lakini kukawa na tatizo ambalo Mtoto wa Mkulima aliliweka wazi kuwa hawezi oa mtu ambaye si wa dini yake....(Proof kuwa Pinda naye ana msimamo ) na huyu bibie kuona kuwa alaaaa kumbe kuna ulaji na dini yake ya kiislam akaachana nayo tena kwa maulid (hilo la maulid sina uhakika nalo)

Lakini kuna maneno kuwa huyu Bi Tunu alikuwa ni devout Muslim na aliwahi kuhiji ndio maana jina lake kule Tabata Ni HAJJAT (sema sina hakika kma wanamwita Hajjat nani au wanamwita BINTI ABDALLAH...kwa heshma ya baba yake0

Sasa kwa mtazamo wa ki saikolojia ni napata picha 2 nazo ni:

1. Mtoto wa Mkulima anao msimamo na anaweza kufanya maamuzi mazito kwa manufaa ya taifa lakini tatizo lake kwa miaka hii 2 iliyobaki hataki kuudhi mawaziri wengine

2. Binti Abdallah aka Bi Tunu aka HAJJAT ni very strong kimsimamo na hasa pale alipoamua kumfuata mumewe na kubadili dini (kwa mapenzi yake kwa mtoto wa mkulima na pia kwa kufuata ulaji...hata mie ningebadili dini)...hivyo basi HAJJAT na nguzo imara nyuma ya mtoto wa mkulima kwani aliweza kufanya maamuzi MAGUMU


labda kwa kuendelea kuufanya huu uzi unoge mimi nina maswali mawili ;

1. JE MTOTO WA MKULIMA ANAZO AMBITIONS ZA KUINGOZA NCHI HII IN 2015 (hata mie nikipata nafasi ya kuongoza watu milioni 45 na nijilie sikatai)


2. JE HAJJAT aka TUNU PINDA aka BINTI ABDALLAH alikuwa anaitwa nani kabla hajaolewa na Mtoto wa Mkulima?


na swali la mwisho la nyongeza....kwenye ile mipango ya ku connect the dots....kuna uwezekano kuwa HAJJAT alienda kuchukua degree yake kama preparation za kuwa First Lady in 2015?



JF.....where we dare talk openly when we are bored with real life

Heko Mwana JF na Kwa Kuongezea tu Kidogo ni Kwamba hata Bibie Tunu Nae ni Mwana Edward Snowden Mzuri tu Kwa Hapa Kwetu TISS. Yupo Vizuri Sana ktk Fani au Kazi Hiyo na Hata Handsome Boy Mtoto wa Mkulima Alimpatia Kazini Humo Humo baada Ya Kufiwa na Mke Wake Wa Kwanza.

c kweli anatokea mkoa wa Mara (Mkurya)

mkuu kabembe mzee rehani hana binti mwengine aliyeolewa na pinda zaidi ya huyu tunu ambaye alipata elimu ya kutosha ya madrasa kabla ya kuonana na mh pinda na kuritadi.



Guys... Trust ME tupo na Wanausalama humu...
 
Kwenye leadership mtoto wa mkulima ni total failure,ni mtu wa kulialia tu pindi anapobanwa na kuomba huruma ya wabunge na wananchi.Infact is the one of retards in this government.
La hasha kutokana na mtiririko wa thread hapo juu ni kwamba pinda ilipofika time ya kupewa cheo ilibidi watu wa kitengo maalum pale St Peter (TISS) wafanye juhudi za kumwozesha kwani alikuwa bachela

sasa katika hiyo shortlist kulikuwa na potential spouses 3

lakini wakatumia njia ya X-Factor akashinda huyo Tunu....lakini kukawa na tatizo ambalo Mtoto wa Mkulima aliliweka wazi kuwa hawezi oa mtu ambaye si wa dini yake....(Proof kuwa Pinda naye ana msimamo ) na huyu bibie kuona kuwa alaaaa kumbe kuna ulaji na dini yake ya kiislam akaachana nayo tena kwa maulid (hilo la maulid sina uhakika nalo)

Lakini kuna maneno kuwa huyu Bi Tunu alikuwa ni devout Muslim na aliwahi kuhiji ndio maana jina lake kule Tabata Ni HAJJAT (sema sina hakika kma wanamwita Hajjat nani au wanamwita BINTI ABDALLAH...kwa heshma ya baba yake0

Sasa kwa mtazamo wa ki saikolojia ni napata picha 2 nazo ni:

1. Mtoto wa Mkulima anao msimamo na anaweza kufanya maamuzi mazito kwa manufaa ya taifa lakini tatizo lake kwa miaka hii 2 iliyobaki hataki kuudhi mawaziri wengine

2. Binti Abdallah aka Bi Tunu aka HAJJAT ni very strong kimsimamo na hasa pale alipoamua kumfuata mumewe na kubadili dini (kwa mapenzi yake kwa mtoto wa mkulima na pia kwa kufuata ulaji...hata mie ningebadili dini)...hivyo basi HAJJAT na nguzo imara nyuma ya mtoto wa mkulima kwani aliweza kufanya maamuzi MAGUMU


labda kwa kuendelea kuufanya huu uzi unoge mimi nina maswali mawili ;

1. JE MTOTO WA MKULIMA ANAZO AMBITIONS ZA KUINGOZA NCHI HII IN 2015 (hata mie nikipata nafasi ya kuongoza watu milioni 45 na nijilie sikatai)


2. JE HAJJAT aka TUNU PINDA aka BINTI ABDALLAH alikuwa anaitwa nani kabla hajaolewa na Mtoto wa Mkulima?


na swali la mwisho la nyongeza....kwenye ile mipango ya ku connect the dots....kuna uwezekano kuwa HAJJAT alienda kuchukua degree yake kama preparation za kuwa First Lady in 2015?



JF.....where we dare talk openly when we are bored with real life
 
Naiheshimu jf looo, sasa tumemjua sana huyu mama kupitia baba yake mzee abdalah sasa mwenye kumjua mama yake je yani mke wa mzee rehani abdalah nae ni nani? Tumtendee haki mama yake mama mzaa chema.
 
CHezea Jf wewe... Tunu pinda ana roho nzuri na nimkarimu sana, ana cheza kwaito balaa
unaonaeee inaelimisha,inakosoa,inaburudisha lakini pia inakuweka huru na stress za maisha..
 
Back
Top Bottom