W Winnerstz Member Joined Nov 25, 2023 Posts 10 Reaction score 7 Oct 27, 2024 #1 Tunatafuta matairi yaliyotumika ya mabasi makubwa na Scania. πΈ Tunatoa TZS 3,000 kwa kila tairi moja! β Kiasi kinachohitajika: Tunapokea matairi kuanzia 50 au zaidi. π Eneo: Upo Dar es Salaam? Tutakuja moja kwa moja hadi eneo lako!
Tunatafuta matairi yaliyotumika ya mabasi makubwa na Scania. πΈ Tunatoa TZS 3,000 kwa kila tairi moja! β Kiasi kinachohitajika: Tunapokea matairi kuanzia 50 au zaidi. π Eneo: Upo Dar es Salaam? Tutakuja moja kwa moja hadi eneo lako!
Abuu Kauthar JF-Expert Member Joined Jul 10, 2011 Posts 4,296 Reaction score 6,492 Oct 27, 2024 #2 Ujinga mtupu
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 40,828 Reaction score 99,523 Oct 27, 2024 #3 Nakumbuka tyre zilizo choka hadi mwisho kabisa, mwaka 2017 nilikuaga namuuzia majuto mchonga mapira na bush kwa shilingi elfu 5 tyre 1
Nakumbuka tyre zilizo choka hadi mwisho kabisa, mwaka 2017 nilikuaga namuuzia majuto mchonga mapira na bush kwa shilingi elfu 5 tyre 1
Komeo Lachuma JF-Expert Member Joined Oct 31, 2014 Posts 7,926 Reaction score 17,030 Oct 27, 2024 #4 Winnerstz said: Tunatafuta matairi yaliyotumika ya mabasi makubwa na Scania. πΈ Tunatoa TZS 3,000 kwa kila tairi moja! β Kiasi kinachohitajika: Tunapokea matairi kuanzia 50 au zaidi. π Eneo: Upo Dar es Salaam? Tutakuja moja kwa moja hadi eneo lako! Click to expand... HIYO BEI BORA KUZICHOMA MOTO TU.
Winnerstz said: Tunatafuta matairi yaliyotumika ya mabasi makubwa na Scania. πΈ Tunatoa TZS 3,000 kwa kila tairi moja! β Kiasi kinachohitajika: Tunapokea matairi kuanzia 50 au zaidi. π Eneo: Upo Dar es Salaam? Tutakuja moja kwa moja hadi eneo lako! Click to expand... HIYO BEI BORA KUZICHOMA MOTO TU.