Tuoe Wapi?

Tuoe Wapi?

Nataka nioe lakini kwa hapa bongo wanawake wengi ni hovyo. Hivyo shauku ya kuoa bongo sina kabisa nilikuwa nafikiri niende Congo ,Rwanda au Ethiopia nadhani angalau wanawake wa huko wana nidhamu na heshima
Huko ndo shetani hayupo? Au ndo alikwambia alienda likizo? Je kweli tz wanawake wote ni hopeless?
 
Nataka nioe lakini kwa hapa bongo wanawake wengi ni hovyo. Hivyo shauku ya kuoa bongo sina kabisa nilikuwa nafikiri niende Congo ,Rwanda au Ethiopia nadhani angalau wanawake wa huko wana nidhamu na heshima
Pumbaff. Hujui balaa unalotaka kulitafuta. Kama wabongo hawafai, basi hao unaowadhania wanafaa walishakufa kimaadili miaka milioni moja iliyopita. Weka picha yako tujue kinachokusumbua.
 
Back
Top Bottom