Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
Lakini malezi ndio hu determine tabia ya mtu malezi ya wanawake wengi wa bongo ni ya hovyoEvery woman is a woman no matter where you go.
Waha au?Tembelea kigoma kwanza kabla hujaenda nje ya nchi
😂Teh teh teeeh! Usioe kabisa.
Nataka nioe lakini kwa hapa bongo wanawake wengi ni hovyo. Hivyo shauku ya kuoa bongo sina kabisa nilikuwa nafikiri niende Congo ,Rwanda au Ethiopia nadhani angalau wanawake wa huko wana nidhamu na heshima
Shida ipo kwako! Na usipokua makini utachagua aliyeozaNataka nioe lakini kwa hapa bongo wanawake wengi ni hovyo. Hivyo shauku ya kuoa bongo sina kabisa nilikuwa nafikiri niende Congo ,Rwanda au Ethiopia nadhani angalau wanawake wa huko wana nidhamu na heshima
According to research ndio mahali ndoa zinadumu sanaHuko unakosema waenda research inasema ndoa zao zinadumu sana eeeh!!!???,,oke oke tumekupata good luck
Huko ndo shetani hayupo? Au ndo alikwambia alienda likizo? Je kweli tz wanawake wote ni hopeless?Nataka nioe lakini kwa hapa bongo wanawake wengi ni hovyo. Hivyo shauku ya kuoa bongo sina kabisa nilikuwa nafikiri niende Congo ,Rwanda au Ethiopia nadhani angalau wanawake wa huko wana nidhamu na heshima
Kabisa mkuu lakini Kuna maeneo bila Hela mwanamke anakuheshimuBila hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.
basi wenzio wengi wangeoa huko pia,,, enewei kupanga n kuchaguaAccording to research ndio mahali ndoa zinadumu sana
Sio wote but large percentage wanawake wengi wanazinguaHuko ndo shetani hayupo? Au ndo alikwambia alienda likizo? Je kweli tz wanawake wote ni hopeless?
Pumbaff. Hujui balaa unalotaka kulitafuta. Kama wabongo hawafai, basi hao unaowadhania wanafaa walishakufa kimaadili miaka milioni moja iliyopita. Weka picha yako tujue kinachokusumbua.Nataka nioe lakini kwa hapa bongo wanawake wengi ni hovyo. Hivyo shauku ya kuoa bongo sina kabisa nilikuwa nafikiri niende Congo ,Rwanda au Ethiopia nadhani angalau wanawake wa huko wana nidhamu na heshima