Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
- Thread starter
-
- #121
Watu wengi hawa elewi hiki kitu asilimia kubwa ya wanawake wa kibongo ni hovyo their after money not true loveBongo miyeyusho sana braza, kwanza wanawake wa bongo ni omba omba mi huwa siwaelewi kabisa.
Ukimtongoza tu gas inaisha, kioo cha simu kinapasuka, kodi inaisha na anafiwa.
Wanawake wa bongo hawa kina Atoto sio bro
Mkuu familia ni baraka,furaha,uwajibikaji yaani ni zaidi ya furaha ukimpata partner mzuri.Kwenye haya maisha hakuna kitu Cha furaha kama kuwa na familia
Ndio lakini sidhani kama kwenye suala la mtu kufanya umalaya ni upungufuHata wewe una mapungufu hakuna mtu aliekamilika. Tafuta huyo mmoja mvumiliane ukishindwa ni kheri usioe kabisa.
Utadhani unadate na yatima, wanawake wa kibongo wanyongwe....au sioWatu wengi hawa elewi hiki kitu asilimia kubwa ya wanawake wa kibongo ni hovyo their after money not true love
ndio maana,kaka wanawake huwajui vzr n pasua kichwaSingle brother
✅✅✅Ndio Cha muhimu shida ni kwamba kila unayekutana nae kwa mara ya kwanza ni mzurimkuu si unaweka standard zako? wanawake wako tofauti tofauti weka vigezo vya mwanamke unamtaka, anza kumsaka utampata tuu
Nataka nioe lakini kwa hapa bongo wanawake wengi ni hovyo. Hivyo shauku ya kuoa bongo sina kabisa nilikuwa nafikiri niende Congo ,Rwanda au Ethiopia nadhani angalau wanawake wa huko wana nidhamu na heshima
Dah Yani kwa mara ya kwanza anakuwa yupo vizuri ila baadae ndio madhaifu yanapoanza kuonekana wengi wanampenda mwanaume kwasababu ya pesa sio kwa malengo ya kuwa na familia boraUtadhani unadate na yatima, wanawake wa kibongo wanyongwe....au sio
Sana wanaume wengi wa kibongo hufa mapema kwasababu ya nature ya wanawake wanaowachaguandio maana,kaka wanawake huwajui vzr n pasua kichwa
Ngoja tutalii kidgNenda Kigoma maeneo ya kasulu au manyovu chukua mke huko then utakuja kunishukuru.
Emotional needs mjini hapa?No please,u need somebody special to carry out and responsible for ur emotional needs.
Hizo jeur zahela zimefanya akina nikki wapili wakatoa machoz kifup mwanamke hatabirikBila hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.
Kabisa hasa bongoHizo jeur zahela zimefanya akina nikki wapili wakatoa machoz kifup mwanamke hatabirik
Not all kama huamini tafuta single mama wanaita independent and financial stable awe mtu mzima around 60+ awe rafiki kuna mengi utajifunza,money,respect,power is'nt full guarantee toward happiness but a sense of belonging is what matter the most.Emotional needs mjini hapa?
We mkuu wewe,hii imekaa kizamani sana.... Nina amani hata hivyo
❤️ Asante sana mkuu...Not all kama huamini tafuta single mama wanaita independent and financial stable awe mtu mzima around 60+ awe rafiki kuna mengi utajifunza,money,respect,power is'nt full guarantee toward happiness but a sense of belonging is what matter the most.
Kama una hela utampata mtutsi ila sahau kumtia mimba. Atatafutiwa mtutsi mwenzake wa kutia mimba tuu wewe utalea, utake usitake ni hivyo. Usijejaribu kuuliza habari za DNA, ndo mwisho wà uhai wako
The dude is coward, yet enough a liar.Acha uoga
😂 😂😂 Ndio nilikuwa nafikiria hapaHadithi za vijiweni🚮