Ok roho mtakatifu alinituma kusema nawe 😉❤️ Asante sana mkuu...
Barikiwa sana DOk roho mtakatifu alinituma kusema nawe 😉
Kweli kabisaTunawaambia hapa kutokana na tamaduni za hizi nchi ukitafiti wengi ndoa nyingi zinadumu kuliko bongo
ulivyo muongo weweKwanini uende mbali hivyo wakati wakongo, warwanda tupo hapahapa Bongo
Kweli kabisa
Ndio natafuta mke Bora kwasababu na mimi najiamini kuwa nitakuwa mume Bora kwa mke wanguKabla ya kuwaza uoe wapi jiulize kwanza unafaa kuwa mme tena si mme tu, mme bora?
Sinunui mwanamke naoa mke mkuu kwahiyo suala la mahari sio utamaduni ni suala la makubaliano na hiariMkuu hyo hela ya kwenda kuoa Rwanda unayo au unafkr mahali zao wanatoa aftatu kama huku bongo
Alafu wa Comoro Wana lifespan kubwa lakini utamaduni wao simfahamNenda comoro Mkuu utapewa bure kabisa na wanavyopenda wabongo
Culture yao kama watu wa pwanAlafu wa Comoro Wana lifespan kubwa lakini utamaduni wao simfaham
Usioe mwanamke mwenye matatizo kuzidi wewe na asiye na elimu wala kazi....utakufa mapema. Pia kuna makabila mengine tunaambiwa na wazazi wetu si ya kuoa, achana nayo.Wanaume wa bongo tunakufa mapema kutokana na wanawake tunaowachagua wengi tunaowachagua wanakukubali kwasababu ya pesa unakuta life time yako wewe ndio tegemezi kwenye kila kitu mwisho wa siku stress na mlimbikizo wa majukumu tunakufa mapema before time
Kabisa mkuu kama wachaga wa machame ni 🚮🚮anakuuwa chapUsioe mwanamke mwenye matatizo kuzidi wewe na asiye na elimu wala kazi....utakufa mapema. Pia kuna makabila mengine tunaambiwa na wazazi wetu si ya kuoa, achana nayo.
Ila wametulia sasaCulture yao kama watu wa pwan
Wanaongea kiswahiliCulture yao kama watu wa pwan
Umeongea ukweli, huyo jamaa kajichanganya tu.....!Sinunui mwanamke naoa mke mkuu kwahiyo suala la mahari sio utamaduni ni suala la makubaliano na hiari
Kumbe unajuwaKabisa mkuu kama wachaga wa machame ni 🚮🚮anakuuwa chap
Una hakika hao wanawake wa Rwanda wanakutaka.Nataka nioe lakini kwa hapa bongo wanawake wengi ni hovyo. Hivyo shauku ya kuoa bongo sina kabisa nilikuwa nafikiri niende Congo ,Rwanda au Ethiopia nadhani angalau wanawake wa huko wana nidhamu na heshima
Sifahamu kwa kweli logically Sina majibu kuhusu hiliUna hakika hao wanawake wa Rwanda wanakutaka.