'Tuoge' sasa 'tusinuke' tena 'Vikwapa' na 'Naniliu' kwani 'Dawasatz' wamesema 'Maji' yameanza 'Kuongezeka' Mto Ruvu

'Tuoge' sasa 'tusinuke' tena 'Vikwapa' na 'Naniliu' kwani 'Dawasatz' wamesema 'Maji' yameanza 'Kuongezeka' Mto Ruvu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hali ya Maji imeanza Kuongezeka Mto Ruvu hivyo maeneo ya Mkoa wa Dar es Salaam yaliyokuwa hayapati Maji sasa yanaanza kupata baada ya Mvua Kunyesha.

Chanzo: Dawasatz

Tafadhali mlio jirani na Mto Ruvu tupeni Ushuhuda wenu isije ikawa Wachina Wawili, Mswahili Tabasamu na Tajiri wa Kujificha wa Kizanzibari wameamua kutuonea tu Huruma wana Dar es Salaam na kuyarudisha Maji Mtoni baada ya Mazao yao kupata Maji ya Kutosha na Mabwawa yao Makubwa ya Samaki kujaa na Samaki wao kuanza Kupiga Mbizi Majini.
 
Dawasa hawahusiki na kufuatilia mtiririko wa maji mtoni ni kazi ya wahydrolojia wa bonde chini ya injia massy WBD wa bonde la ruvu na nikuhakikishie tu site watalaam wamesema mvua imenyesha jana mto mvuha na kufanya ongezeko la maji ila kwa kuwa ni upstream bado tunasubiri inflitration itokee kwanza ili ardhi kavu ikila maji flow itokee kuelekea lower ruvu...
 
Hali ya Maji imeanza Kuongezeka Mto Ruvu hivyo maeneo ya Mkoa wa Dar es Salaam yaliyokuwa hayapati Maji sasa yanaanza kupata baada ya Mvua Kunyesha.

Chanzo: Dawasatz

Tafadhali mlio jirani na Mto Ruvu tupeni Ushuhuda wenu isije ikawa Wachina Wawili, Mswahili Tabasamu na Tajiri wa Kujificha wa Kizanzibari wameamua kutuonea tu Huruma wana Dar es Salaam na kuyarudisha Maji Mtoni baada ya Mazao yao kupata Maji ya Kutosha na Mabwawa yao Makubwa ya Samaki kujaa na Samaki wao kuanza Kupiga Mbizi Majini.
Mr.Dawa ngoja waliokaribu walete mrejesho
 
Nitake radhi mkuu mimi nakutana wapi na huyu bushman aisee?

Anaishi porini huko nyumba mganga nyumba mchawi ila kutwa kujichocha hapa na Mto ruvu.

Anadhani watu hawajamstukia wanamchora tu
Nisamee bure boss [emoji28]
 
Nyie jamaa ligi yenu naipenda sana. Siku mkionana tutashuhudia ngumi za kindoige
Yaani GENTAMYCINE nipoteze kabisa muda wangu na Bipolar na Fool kama huyo LIKUD Mkuu?

Muulize amepata Faida gani kutumia Multiple ID's zake Kunishambulia na Kunidhihaki hapa JamiiForums halafu bado nammudu na Umaarufu wangu unazidi tu Kuongezeka na Kutukuka kuliko Yeye / Wake?
 
Back
Top Bottom