Tuombeane tumalize mwaka salama

Tuombeane tumalize mwaka salama

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Hali inazidi kuwa mbaya siku hadi siku.. Ukimaliza siku salama na kurudi kibandani kwako unamshukuru Mungu sana!
Ukikaa mahali lazima kwanza uangalie kushoto kulia mbele nyuma na ilibidi juu chini kama kuna sura zisizo za kawaida ziko nawe sambamba!
Ukipigiwa simu na namba ngeni ni shida pia.. Unakosa amani na kujiuliza kama hiyo simu ni ya kheri
Ukiendesha gari hali ni hiyohiyo.. Ni lazima kila wakati uangalie side mirrors na driving mirror kama hufuatiliwi..
Kupotea watu kumeongezeka
Kutekwa watu ndio kabisa.. Kusikia ya kwamba yule aliyepotea kaokotwa kafa si jambo la kustua sana tena!

Mwanzoni ilichukuliwa ya kwamba wakosoaji wa mfumo ndio wahanga wakuu lakini kwasasa tusidanganyane, yeyoye, popote na muda wowote linaweza kumkuta la kumkuta!
Sasa hivi hata mambo binafsi yameingizwa kwenye huo mfumo! Kuna wengine ni wahanga wa bahati mbaya na wengine ni wahanga kwa kusingiziwa tuu
Tulichodhani mwanzoni ni kuundiwa hofu, sasa ni kitisho dhahiri.. Ni kuwindwa kama mnyama!
Tuombeane sana sana tuweze kuumaliza mwaka huu salama maana hakuna aliye salama na kesho ni mbali kuliko jioni ya leo
FB_IMG_1734259920094.jpg
 
Hali inazidi kuwa mbaya siku hadi siku.. Ukimaliza siku salama na kurudi kibandani kwako unamshukuru Mungu sana!
Ukikaa mahali lazima kwanza uangalie kushoto kulia mbele nyuma na ilibidi juu chini kama kuna sura zisizo za kawaida ziko nawe sambamba!
Ukipigiwa simu na namba ngeni ni shida pia.. Unakosa amani na kujiuliza kama hiyo simu ni ya kheri
Ukiendesha gari hali ni hiyohiyo.. Ni lazima kila wakati uangalie side mirrors na driving mirror kama hufuatiliwi..
Kupotea watu kumeongezeka
Kutekwa watu ndio kabisa.. Kusikia ya kwamba yule aliyepotea kaokotwa kafa si jambo la kustua sana tena!

Mwanzoni ilichukuliwa ya kwamba wakosoaji wa mfumo ndio wahanga wakuu lakini kwasasa tusidanganyane, yeyoye, popote na muda wowote linaweza kumkuta la kumkuta!
Sasa hivi hata mambo binafsi yameingizwa kwenye huo mfumo! Kuna wengine ni wahanga wa bahati mbaya na wengine ni wahanga kwa kusingiziwa tuu
Tulichodhani mwanzoni ni kuundiwa hofu, sasa ni kitisho dhahiri.. Ni kuwindwa kama mnyama!
Tuombeane sana sana tuweze kuumaliza mwaka huu salama maana hakuna aliye salama na kesho ni mbali kuliko jioni ya leoView attachment 3178594
Kweli mkuu,juzi hapa jamaa zangu kabisa waliniambia tukutane usiku saa kumi na Moja asubuhi!kuna jambo wamejadiliana na mwenzake na Mimi nitakuwa wa tatu.Sasa namuuliza jamaa nidokeze ni issue Gani,akakataa kwamba wataniambia hiyo saa11.Ilipofika saa 11asubuhi simu zikaanza niamke niende,NAMI kwa kushtukia nikawakalia Sijui.Kulipokucha nikawatafuta nikiwa na jamaa wengine ili wanieleze walichotaka kuniambia.Hakuna chochote wakabaki kujiumauma.Hadi Sasa wananionea Aibu, maana ilibidi nimwambie kila mtu anaewajua.Hata sijaripoti popote.
 
Mtani umesema ukweli.
Wazazi tumbo la uzazi linakata hatujua hao vijana kama watatoboa.

Tunatamani tuwarudishe tumboni tuwafiche huko.

Sijajua shida ni nini ! Ee Mungu Utuhurumie waja wako, Mungu ilinde nchi yetu na watu wake wote.
 
Mtani umesema ukweli.
Wazazi tumbo la uzazi linakata hatujua hao vijana kama watatoboa.

Tunatamani tuwarudishe tumboni tuwafiche huko.

Sijajua shida ni nini ! Ee Mungu Utuhurumie waja wako, Mungu ilinde nchi yetu na watu wake wote.
Ukiikuta familia iko salama na kumshukuru Mungu.. Ukiona nyuso zao zilivyojawa furaha unajua kwa hakika hofu yao imetoweka.. Asubuhi ukiondoka na kuwaaga situation ni tofauti kabisa kwakuwa wengi waliondoka na hawakirudi tena!😭😭😭
 
Mtani umesema ukweli.
Wazazi tumbo la uzazi linakata hatujua hao vijana kama watatoboa.

Tunatamani tuwarudishe tumboni tuwafiche huko.

Sijajua shida ni nini ! Ee Mungu Utuhurumie waja wako, Mungu ilinde nchi yetu na watu wake wote.
Shida ni utawala mbovu unao kandamiza haki za wanyonge wasiotaka kuamka kwa umoja wao waungane kuwafurusha watawala mabaradhuli.
 
Wanasema ''usalama wa kwanza ni kuhakikisha upo salama'' Wakuu tuendelee kujichunga baadhi ya mambo tuyaepuke kadiri ya uwezo na utashi wetu.
 
Haya mambo yalianza kama utani miaka ile

Kwakuwa hatukuwa tunaguswa nayo moja kwa moja, tulikuwa na jibu rahisi tu kwamba aliyefanyiwa hayo ni mtoto wa Mzee Toboatobo, sio Mimi

Kwa hapa tulipofikia, hakuna mwenye uhakika kwamba nani atafuata kwenye kutekwa ama kuuawa

Kama mambo haya hatutaki yaendelee, ni vyema kutumia platform zote kuhakikisha tunapaza sauti

Lakini pia tuwakatae kupitia sanduku la Kura

Hatukuzaliwa kwenye hii Nchi kufanyiwa haya tunayofanyiwa na watawala wetu Kwa namna hii

Sisi ndiyo tumewaweka hapo kupitia masanduku ya Kura, na sisi ndiyo wenye final say ya kwamba tuendelee kuwachagua ili waendelee kututeka na kuwaua Vijana wetu ama laa

Mungu atuvushe salama, Mimi na wewe tukutane mwakani 2025 panapo majaaliwa yake Mola wetu mtukufu.

Happy new year 2025 in-advance to you all 🥂

God bless you all 🙏🙏🙏🙏
 
Umenena kweli, hali hii inatisha sana, maana hata huwezi jua shida nini? Tuiombe serikali yetu ilifanyie uchunguzi wa kina tatizo hili.
 
Haya mambo yalianza kama utani miaka ile

Kwakuwa hatukuwa tunaguswa nayo moja kwa moja, tulikuwa na jibu rahisi tu kwamba aliyefanyiwa hayo ni mtoto wa Mzee Toboatobo, sio Mimi

Kwa hapa tulipofikia, hakuna mwenye uhakika kwamba nani atafuata kwenye kutekwa ama kuuawa

Kama mambo haya hatutaki yaendelee, ni vyema kutumia platform zote kuhakikisha tunapaza sauti

Lakini pia tuwakatae kupitia sanduku la Kura

Hatukuzaliwa kwenye hii Nchi kufanyiwa haya tunayofanyiwa na watawala wetu Kwa namna hii

Sisi ndiyo tumewaweka hapo kupitia masanduku ya Kura, na sisi ndiyo wenye final say ya kwamba tuendelee kuwachagua ili waendelee kututeka na kuwaua Vijana wetu ama laa

Mungu atuvushe salama, Mimi na wewe tukutane mwakani 2025 panapo majaaliwa yake Mola wetu mtukufu.

Happy new year 2025 in-advance to you all 🥂

God bless you all 🙏🙏🙏🙏
Mungu atuvushe salama, Mimi na wewe tukutane mwakani 2025 panapo majaaliwa yake Mola wetu mtukufu.

Happy new year 2025 in-advance to you all 🥂

God bless you all 🙏🙏🙏🙏📌🔨❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤💪🏿
 
Hali inazidi kuwa mbaya siku hadi siku.. Ukimaliza siku salama na kurudi kibandani kwako unamshukuru Mungu sana!
Ukikaa mahali lazima kwanza uangalie kushoto kulia mbele nyuma na ilibidi juu chini kama kuna sura zisizo za kawaida ziko nawe sambamba!
Ukipigiwa simu na namba ngeni ni shida pia.. Unakosa amani na kujiuliza kama hiyo simu ni ya kheri
Ukiendesha gari hali ni hiyohiyo.. Ni lazima kila wakati uangalie side mirrors na driving mirror kama hufuatiliwi..
Kupotea watu kumeongezeka
Kutekwa watu ndio kabisa.. Kusikia ya kwamba yule aliyepotea kaokotwa kafa si jambo la kustua sana tena!

Mwanzoni ilichukuliwa ya kwamba wakosoaji wa mfumo ndio wahanga wakuu lakini kwasasa tusidanganyane, yeyoye, popote na muda wowote linaweza kumkuta la kumkuta!
Sasa hivi hata mambo binafsi yameingizwa kwenye huo mfumo! Kuna wengine ni wahanga wa bahati mbaya na wengine ni wahanga kwa kusingiziwa tuu
Tulichodhani mwanzoni ni kuundiwa hofu, sasa ni kitisho dhahiri.. Ni kuwindwa kama mnyama!
Tuombeane sana sana tuweze kuumaliza mwaka huu salama maana hakuna aliye salama na kesho ni mbali kuliko jioni ya leoView attachment 3178594
Nakuombea blaza
 
Ni hatari Sana aisee .
Ndiyo maana Mimi kwasasa asubuhi na mapema niko mlimani kuongeza pumzi na kujaza vigimbi vya miguu .

Jioni napiga ulanzi nazama shamba kulima jembe la mkono ili afya yangu iwe fit wakijaa kwenye mfumo wangu nitajaribu kuwatembezea kipigo Ila nikiona sio kweli basi miguu iniokoe .
 
Haya mambo yalianza kama utani miaka ile

Kwakuwa hatukuwa tunaguswa nayo moja kwa moja, tulikuwa na jibu rahisi tu kwamba aliyefanyiwa hayo ni mtoto wa Mzee Toboatobo, sio Mimi

Kwa hapa tulipofikia, hakuna mwenye uhakika kwamba nani atafuata kwenye kutekwa ama kuuawa

Kama mambo haya hatutaki yaendelee, ni vyema kutumia platform zote kuhakikisha tunapaza sauti

Lakini pia tuwakatae kupitia sanduku la Kura

Hatukuzaliwa kwenye hii Nchi kufanyiwa haya tunayofanyiwa na watawala wetu Kwa namna hii

Sisi ndiyo tumewaweka hapo kupitia masanduku ya Kura, na sisi ndiyo wenye final say ya kwamba tuendelee kuwachagua ili waendelee kututeka na kuwaua Vijana wetu ama laa

Mungu atuvushe salama, Mimi na wewe tukutane mwakani 2025 panapo majaaliwa yake Mola wetu mtukufu.

Happy new year 2025 in-advance to you all 🥂

God bless you all 🙏🙏🙏🙏
Mkuu unadhani sanduku la kura ndio linachagua viongozi nchi hii?
 
Back
Top Bottom