Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Eeeh momumo kyala antuleTukuti ndagha malafyale mponjoli gwe mpoki gwa twesa utwe tulipo pa kisyu
Tukusumila mu ngamu ja Jesu
Amen
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa jinsia hujatajaNatafuta rafiki ambaye tutakuwa tukiombeana na pia tunaweza kutengeneza kikundi cha kuombeana. Maombi husambaratisha milima.
Tupendane, tuombeane bila kuchoka
We unataka muombeane au muombane?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa jinsia hujataja
Kuna watu akili zenu hazina akili au Zina akili zinazorukaruka...lolWatu wa Mbeya mna vituko si ajabu unataka kuanzisha kanisa.
Yesu atafikia MbeyaWatu wa Mbeya mna vituko si ajabu unataka kuanzisha kanisa.
Watu wa Mbeya mna vituko si ajabu unataka kuanzisha kanisa.
😲😲Nilisoma heading vibaya nilidhani tutombeane.nikashtuka sana
Na Tukuyu ndio bustani ya Eden ilipo! Believe it or notYesu atafikia Mbeya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We unataka muombeane au muombane?
Vyote viwili mzee wanguWe unataka muombeane au muombane?