Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hebu weka mambo wazi,kuombeana kivipi?Natafuta rafiki ambaye tutakuwa tukiombeana na pia tunaweza kutengeneza kikundi cha kuombeana. Maombi husambaratisha milima.
Tupendane, tuombeane bila kuchoka
Ndaga kyala....🙏Tukuti ndagha malafyale mponjoli gwe mpoki gwa twesa utwe tulipo pa kisyu
Tukusumila mu ngamu ja Jesu
Amen
Watu wa Mbeya mna vituko si ajabu unataka kuanzisha kanisa.
😲😲Nilisoma heading vibaya nilidhani tutombeane.nikashtuka sana
Ni Siri za kule tulikotokaMkuu hebu weka mambo wazi,kuombeana kivipi?
maana wewe na mwenzako Mshana Jr si ndo huwa mnatuletea mada za kishirikina?,na neno la Mungu linasema "Tuache michanganyo".
Tena huyu alimfuma mkewe kwa mganga anamlogaMkuu hebu weka mambo wazi,kuombeana kivipi?
maana wewe na mwenzako Mshana Jr si ndo huwa mnatuletea mada za kishirikina?,na neno la Mungu linasema "Tuache michanganyo".
Ndio mwandamizi wa jukumu hili yeye na mumewe wako sambambaUmeshawasiliana na Miss Natafuta?