Tuombeane

Tuombeane

Natafuta rafiki ambaye tutakuwa tukiombeana na pia tunaweza kutengeneza kikundi cha kuombeana. Maombi husambaratisha milima.
Tupendane, tuombeane bila kuchoka
Mkuu hebu weka mambo wazi,kuombeana kivipi?
maana wewe na mwenzako Mshana Jr si ndo huwa mnatuletea mada za kishirikina?,na neno la Mungu linasema "Tuache michanganyo".
 
Back
Top Bottom