Eee si unaona yanguHivi kumbe iphone5 bado zinawaka?
Nipe majina ya hii laucher na wallpaper apps unazotumia nimezielewa.
Hata sizielewi eti!!Nipe majina ya hii laucher na wallpaper apps unazotumia nimezielewa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mimi hata sijasema ni nzuri, nimeweka tuBackground mbaya inataka kufanana na apps
Nice wallpaper[emoji116]View attachment 1998909
Mkuu hii ni s10+?[emoji116]View attachment 1998909
S ngapi hii boss?
S8+S ngapi hii boss?
Emails zenyewe ukute ni za badoo, facebook notificationUwe unajibu Emails asee
Wazee wa mikeka utawajua tu
team samsung tupo wengi hapa
Hapana, me mpenzi wa mpira tu. Mara ya mwisho nimebet sijui ni lini..Wazee wa mikeka utawajua tu