Ni professional networking platform... Inasaidia kupata connection za kaz kirahisi as makampuni yanatangaza kazi pia kwa watu binafsi unapata kujifunza kuhusu mambo mengi kuimprove profession/career yako.Hii LINKEDIN sijawahi juaga matumizi yake hebu nidokeze mkuu, si unajua sisi BBC[emoji848]
[emoji1756][emoji1756][emoji1756] asante mkuu ntaipakua nijisomeeNi professional networking platform... Inasaidia kupata connection za kaz kirahisi as makampuni yanatangaza kazi pia kwa watu binafsi unapata kujifunza kuhusu mambo mengi kuimprove profession/career yako.
Mwenye uelewa zaid anaweza elezea...
Unaweza jiunga ni nzuri
Barikiwa mkuu[emoji1756]
Ipange mkuu mbona imetawanyika saana[emoji28][emoji28] APPS hazijakaa vema. Ni mawazo yangu tu lakiniI like my home page[emoji4]View attachment 1999091
Mi naiona ipo sawa tu.. naipenda.. nkiweka hizo home pages nyingine ntafahamika humu😅Ipange mkuu mbona imetawanyika saana[emoji28][emoji28] APPS hazijakaa vema. Ni mawazo yangu tu lakini
Kwani hizo zingine zina nini [emoji851][emoji851]Mi naiona ipo sawa tu.. naipenda.. nkiweka hizo home pages nyingine ntafahamika humu[emoji28]
Acha ubahiri update simu yako
They are so unique 😊Kwani hizo zingine zina nini [emoji851][emoji851]
Mkubwa unamiliki makampuni mangapi mbona Email nyingi namna hio au ni matangazo ya uber na bolt 🤣🤣🤣
HMkubwa unamiliki makampuni mangapi mbona Email nyingi namna hio au ni matangazo ya uber na bolt 🤣🤣🤣
Najibu na kusoma kwenye Vifaa vingine.Uwe unajibu Emails asee
Tumia UC BROWSER ina scree shot pia kwenye PCH
Najibu na kusoma kwenye Vifaa vingine.
Ahaaa zifungue ufuteH
Najibu na kusoma kwenye Vifaa vingine.
[emoji849][emoji849]They are so unique [emoji4]
App bora sana , sio mpenzi wa social network ila LinkedIn imenifanya nipate exposure na kufahamiana na watu mbalimbali .[emoji1756][emoji1756][emoji1756] asante mkuu ntaipakua nijisomee
Stay BLESSED [emoji1317]
Hongera sana kumiliki biblia ila uisomage[emoji1756][emoji1756]
Hivi kulimbikiza notifications ni fashion au😹 nakumbukaga kuna dem wangu flani alikuwa sms hazifungui zinabaki na sticker kama hivyo ukizifungua anamaindi kabisa yani!😂