Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 16,078
- 77,186
yatakua yale maSMS ya UTAPELI au ya mganga[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yatakua yale maSMS ya UTAPELI au ya mganga[emoji28][emoji28][emoji28]
Haya narudi kwako wewe upo kundi gani? kati ya Me na Ke?Yes ,wadada ndo inawafaa zaidi .
[emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321]This is seriously sarcasm![emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1312][emoji1312]yatakua yale maSMS ya UTAPELI au ya mganga[emoji28][emoji28][emoji28]
Ndio maana kuna dem alinitumia picha nikafreez na siku namuona live nika FREEZ tena[emoji15][emoji15][emoji15]Kupiga picha na kurekodi video na kuweka filter nzuri ....Snapchat haijawahi mkataa mtu [emoji28]
😂😂😂 alaf wewee mjanja sanaMtoto mzuri kama wewe huwezi shindwa ku-update kama ni hela ya bando nikutumie vocha PM kwako, jitahidi iwe updated kuna faida nyingi simu ikiwa update mrembo.
View attachment 1999141
Aaaah wapi?[emoji28][emoji28]Hahaha jamani nyingine hizo pambo tu [emoji28].
Hahaha😂😂😂 siri yangu si kila mtu ana matumizi nayo jamani kivyakeDina..VPN master unaitumia kwenye nn?..Kuwa mkweli..
Sawa mkuuHongera sana kumiliki biblia ila uisomage[emoji1756][emoji1756]
Sio ishu ya ujanja nataka nikusaidie kununua vocha, maana mwisho wa siku nitatuma voucher na si kuomba namba yako ya simu huku PM😂😂😂 alaf wewee mjanja sana
Kabisa na mabishooIla kwa upande wangu naona ina wafaa wadada zaidi ili waweze kutuvutia sisi wanaume..
Mimi na sura yangu ngumu muda wa kujiwekea masikio nionekane kama mbwa ama punda nautoa wapi? Kuna mambo mengi ya kufanya aiseKabisa na mabishoo
Haya tuma na ya kutolea 😂😂Sio ishu ya ujanja nataka nikusaidie kununua vocha, maana mwisho wa siku nitatuma voucher na si kuomba namba yako ya simu huku PM
😂😂😂😂😂😂😂Mimi na sura yangu ngumu muda wa kujiwekea masikio nionekane kama mbwa ama punda nautoa wapi? Kuna mambo mengi ya kufanya aise
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hahahaha zinakuwa nyingi sababu nikishaiangalia kwenye Notification Center kama haina umuhimu sana siifunguiHivi kulimbikiza notifications ni fashion au😹 nakumbukaga kuna dem wangu flani alikuwa sms hazifungui zinabaki na sticker kama hivyo ukizifungua anamaindi kabisa yani!😂
Achaga maswali ambayo majibu unayo,[emoji41][emoji41] Dina unamjua au unamsikia[emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]Dina..VPN master unaitumia kwenye nn?..Kuwa mkweli..
Hazina utofauti mkubwa ila iko hivyi WhatsApp business yenyewe imefocus sana kwenye biashara sana na purpose kubwa ni connecting businesses and customers, rather than friends and family.Naomba tofauti ya WHATSAPP NA BUSINESS WHATSAPP
Hahaha nomaHaya narudi kwako wewe upo kundi gani? kati ya Me na Ke?
Folder viewUzi interesting sana!
Huwa napenda ku'bundle apps in folders katika "App drawer" na kutumia widgets kwa Home screen" kuwa na quick access na apps nnazotumia mara kwa mara.
Launcher: Nova Launcher View attachment 1999146