Tuongee ukweli: Soko la pesa la Tanzania (UTT, Hisa N.k) haliwezi kukufanya ukawa tajiri kwa mtaji wako mdogo

Ni mfuko gani unaofaa UTT AMISS kwa mwekezaji anayeanza na 10M, kati ya bond fund na liquid fund ili angalau kukuza uwekezaji na kwa uwekezaji huo faida yake ipoje?
Nini malengo yako ?
 

Umenena hasa
 
Ni mfuko gani unaofaa UTT AMISS kwa mwekezaji anayeanza na 10M, kati ya bond fund na liquid fund ili angalau kukuza uwekezaji na kwa uwekezaji huo faida yake ipoje?
Bond fund ...kuna gawio + ongezeko la mtaji
 
[/QUOTE
Waambie hivi, watokee watu wawili wasio na ajira wote wapewe mil 5 each, mmoja aende UTT na mwengine aende Kariakoo kuwa winga halafu baada ya mwaka tuje na mrejesho
Hii ingekuwa practical analysis isiyo na tone la mashaka.
 
Sidhani issue ya kuweka pesa utt ni kutafuta utajiri! Inaweza kuwa namna moja ya saving huku ukiokota hizo laki moja! Kuliko pesa ikae kwenye saving account ya benki. Mfano ukiweka 10M utt kwa mwaka unapata 1m.
Kimbilia risk
Njoo tufanye biashara.

#YNWA
 
Amen.

#YNWA
 
UTT amis calculator ipo google hebu ingieni humo muelimike ili muache kuita watu freemason mkiona wamekua matajiri uzeen.

Kwahiyo kiongozi unasubiri uwe tajiri uzeeni?

#YNWA
 
Kumbe UTT ni biashara na hamsemi?
Wengine ni sehemu ya kutunzia saving zetu.
Na ni bora kuliko kuilaza NMB.
 
Inaonekana hata Hisa ajui ni nini pia na tofauti zake 1% ya NMB ufanyi kazi milele unakula bata tu kila kiwanja
Aha,hapo nimekuelewa,,
Ila binafsi nina mashaka na elimu ya mleta mada...
Yani kasoma uchumi,halafu anasema Bongo hakuna kampuni ambayo ukimiliki 1% ya hisa zake ni inaleta mshiko mrefu...
Dah ,arudishe vyeti vyote.

Mwenye 1% ya hisa za NMB unamjua ni nani?
Ukichunguza sanaa utakuta ni yuleyule aliyepata mabilioni nje ya money market akaja kuwekeza.

Hivyo hela yake hakuipata money market.

Ndio manaa nakwambia "Hivi soko la pesa ni la mafukara kweli?""

Rostam (Mirambo) ndio major shareholder wa Vodacom, hizo hela za kuwa major share holder alizipata wapi?

#YNWA
 
Kumbe UTT ni biashara na hamsemi?
Wengine ni sehemu ya kutunzia saving zetu.
Na ni bora kuliko kuilaza NMB.
Madam kwanini uzifiche huko

Njoo nazo huku mtaani tupige deal

#YNWA
 
Yani nakaa nafkiria kama alikuwa anaingia darasani kweli...
Kumiliii 1% ya hisa ni anachukulia simple...

Kwenye Bonds,sijui hata anafuagiliaga za huko nje, dah...!?
Ngoja aje uone, tutatukanwa mpaka basi.

Hizo hela za kumiliki hiyo 1% kazipata wapi?

Unadhani huyo anayemiliki 1% ya NMB na NBC alianzia na buku 10 yake?

Alizitafuta kwenye biashara akazileta money market.

Na huu ndio msingi wa mada hiii yoteee.

#YNWA
 
Hizi hela za kuwekeza hivi alizitoa wapi?

#YNWA
 
Umeeleweka...
 
Faida ya uwekezaji inategemea na riba yako. Pesa ikiwa nyingi kwa asilimia ndogo tuh ya riba faida yako itakuwa kubwa.

Kwa hiyo juwa asilimia ya riba kwa pesa yako unayowekeza ni shs ngapi afu kisha ndo utathmini je itakufaa au laa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…