Tuongee ukweli: Soko la pesa la Tanzania (UTT, Hisa N.k) haliwezi kukufanya ukawa tajiri kwa mtaji wako mdogo

Umeelewa hoja ulizojibu??
 
hesabu za Alinacha hizo, hakuna biashara ambayo ina risk kubwa kuliko hiyo ya magari. Halafu unadhani dereva atakuletea hizo fedha kirahisi sana. Mimi nilishafanya biashara ya gari la fuso, trekta na hata uber na vyote niliishia chali!
 
hesabu za Alinacha hizo, hakuna biashara ambayo ina risk kubwa kuliko hiyo ya magari. Halafu unadhani dereva atakuletea hizo fedha kirahisi sana. Mimi nilishafanya biashara ya gari la fuso, trekta na hata uber na vyote niliishia chali!
Tatizo mnakimbia haraka changamoto.
Changamoto zikabili USIKIMBIE

#YNWA
 
Hili linawafaa sana wastaafu wetu
 
Tatizo mnakimbia haraka changamoto.
Changamoto zikabili USIKIMBIE

#YNWA
hamna, fuso mwanzo dereva anakuletea fedha nzuri unaona mambo yanakwenda sawa. Akishakaa muda anaanza kufikiria kuwa anakugawia wewe hizo fedha bure bure tu husahau kwamba lile fuso siyo la kwake. Na hapo ndipo mtanange unapoanza, atakuletea laki nne atakwambia inahitaji matengenezo laki tatu, siku nyingine akwambie hakupata mzigo na kila aina ya visingizio, mwisho unapiga hesabu unaona faida ni minus.

Pia nilikuwa na trekta nimenunua jipya na jembe lake miaka mitatu nimeishia kupata kama milioni kumi na nikaona isiwe shida wacha niliuze angalau nipate hicho kidogo, kwani hata fedha zangu za mtaji hazikurudi.
 
Pia wazoefu watueleze system ya UTT inatoa percent siku za kazi tuu yani (Mon - Fri) au ni siku zote haijalishi ni w/end au public holidays ,Me nna hisi mambo mawili 👇🏻

Moja

Inawezekana system yao haifanyi kazi siku za w/end na public holidays lakini percent ya hizo siku inakuja kuingia siku ya week itakayofuata

Mbili

Inawezekana system yao imelenga kutoa percent kwa siku za kazi tuu yani (Mon-Fri)

Wenye uzoefu zaidi watakuja kutupa mwanga
 
Elimu elimu elimu , mwingine huyu hapa , ila wabongo bhana - kitu kimoja kila mtu kwasababu kaenda shule basi anadhani anaweza akajibu kila kitu, tujikite kutafuta maarifa sahihi ndio tujibu hoja.
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Mkuu kwanini ulichagua Faida Fund na sio UTT? Faida Fund ni nzuri kuliko UTT?
 
Acha nibakie maskin lakini nafanya saving na biashara nyingine zinaendelea
Sasa hiyo saving iingize kwenye hizo biashara nyengine ili hizo biashara ziwe kubwa zaidiii.

#YNWA
 
Elimu elimu elimu , mwingine huyu hapa , ila wabongo bhana - kitu kimoja kila mtu kwasababu kaenda shule basi anadhani anaweza akajibu kila kitu, tujikite kutafuta maarifa sahihi ndio tujibu hoja.
Haelewi kuhusu compound interest ila "tunaongelea compound interest ya hisa za rostam Voda au za mlala hoi NMB??""

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…