Yani mtu unaweka pesa UTT afu unashangaa unapata 100k kwa mwaka afu unasema una elimu ya fedha, hivi kipindi anaweka hakujua au ? Maana kila kitu Kiko wazi.Mlioweka hela utt mlivomshambulia jamaaa sasa[emoji3]
Ukiweza kutofautisha hivi vi4 utagundua kila mtu anakuwa amefanya best decision kwake
1. Business vs investment
2. Active vs passive
3. Mtu mwenye muda na nafasi ya kuwa active kwenye biashara vs asiye na muda kabisa, probably kaajiriwa
Anafikirisha sasa hivi mfano akienda nunua bond za huko nje, kwa mfano wa hiyo pesa yake aliyopata gawio ya UTT 100k kwa mwaka, nadhani haifiki hata 2M ndio apeleke kwenye bond za nje hivi ndio atapata faida ya maana kweli ?Sawa soko letu la Financial market ni dogo,lakini mkuu...
1.Unasema Bongo hakuna kampuni ambayo ukimiliki 1% ukatajirika ,una uhakika na ulisemalo ?
2.Una ubavu wa kumiliki hisa 1% ya makampuni haya CRDB,NICOL,TWIGA,SWISSPORT,NMB,TCC na TBL...
3.Je,huyo wa boda kuweka millioni mbili chumbani mwaka mzima na kuweka millioni 2 katika fixed deposit au UTT ,kipi ni bora...
4.Financial markets za Bonds,Mutual funds ni za low risk, so unategemea ziwe na faida kubwa kama biashara?
5.Binafsi nina mashaka na Elimu yako hiyo uliyosema,
Yani ulitaka utajairike kwa return ya 8 hadi 11% annually, huku umeweka 5million ,πππ ina maana hata hesabu haujui ama ?
Kabisa ukiwa na 50 million badala ya kuweka UTT bora kujenga lodge hata ya 6 rooms itakulipa kwa muda mfupi tuGovernment bond ni biashara ya Wahindi, anaweza kuweka B 1 BOT kila mwezi akavuta mshahara wa million kadhaa na pesa inazaa.
Kapuku na biashara ya pesa hakuna kitu kama hicho.
Mambo ya Forex na bit coin sijui ndio cryptocurrency achana nayo kabisa.
Nimemsikia Bongo zozo mara nyingi akidanganya watu kwamba Siri ya yeye kuwa na pesa ya kusafiri duniani ni bit coin, si kweli msiingizwe mkenge huo, wazungu ni fallen Angels huwezi kuujuwa undani wao.
Kwenye ujasiriamali ukiwa na roho ngumu na ukakomaa pesa unaweza kuiona, na kingine Bongo visource vya income unatakiwa uwe navyo vingivingi tu bila kusahau kujenga lodge, hii ndio biashara ya uhakika, starehe ya mafukara NI ngono.
Piga wewe utuoneshe uwo utajiripigia bas masta au huwez
Ila mkuu,15000 kwa mwaka sawa na 150K, hio ni sawa 1.5M kwa miaka 10 na ni sawa na around 5 Million kwa miaka mitatu.
Million 5 kwa UTT ambayo around 10% kwa mwaka sawa na gabion la 500,000 Tzs (Laki tano tu kwa mwaka) ambayo sawa na kamshahara kagawio ka around 50,000 kwa mwezi
Uwo utajiri wa kutisha upo wapi hapo
UTT ni sehemu kwaajiri ya wenye Dedham kuhifadhi pesa ambayo hawaitaji kuitumia kwa wakati huo na kupitia kuweka kwao wanapewa zawadi za gawio waendelee kunywa juisi
Pigia hizo compound tuone utajiri wa kutishaIla mkuu,
Kuna mdau kakukumbusha juu ya Compund interest, ana hoja...
Mana hesabu haifanyiki kama ulivyo ainisha wewe...
Piga compound Interest, tumesoma O'level na Advance
Omeongea point sana mkuu,,,Mlioweka hela utt mlivomshambulia jamaaa sasa[emoji3]
Ukiweza kutofautisha hivi vi4 utagundua kila mtu anakuwa amefanya best decision kwake
1. Business vs investment
2. Active vs passive
3. Mtu mwenye muda na nafasi ya kuwa active kwenye biashara vs asiye na muda kabisa, probably kaajiriwa
Hakuna utajiri wa kutisha, ila umekumbushwa hesabu zake hazipigwi hivyo...Pigia hizo compound tuone utajiri wa kutisha
Ilipoanzia hoja ya jamaa kule kataja utajiri wa kutisha, kwenye Scaling ya return nakubali ila utajiri ndio nimepingaHakuna utajiri wa kutisha, ila umekumbushwa hesabu zake hazipigwi hivyo...
Kwenye mifuko ya fedha yote ,hutumia Compound interest hata mabenki...
So Calculations zako ni uongo, kubali kama umekosea...
Aha,hapo nimekuelewa,,Ilipoanzia hoja ya jamaa kule kataja utajiri wa kutisha, kwenye Scaling ya return nakubali ila utajiri ndio nimepinga
Inaonekana hata Hisa ajui ni nini pia na tofauti zake 1% ya NMB ufanyi kazi milele unakula bata tu kila kiwanjaAha,hapo nimekuelewa,,
Ila binafsi nina mashaka na elimu ya mleta mada...
Yani kasoma uchumi,halafu anasema Bongo hakuna kampuni ambayo ukimiliki 1% ya hisa zake ni inaleta mshiko mrefu...
Dah ,arudishe vyeti vyote.
Kujua hilo linahitaji elimu kwanini watu mnapenda kuponda wenzenu, mtu akiwa na elimu appreciate him, na kua na elimu sio kujua kila kitu.Aha,hapo nimekuelewa,,
Ila binafsi nina mashaka na elimu ya mleta mada...
Yani kasoma uchumi,halafu anasema Bongo hakuna kampuni ambayo ukimiliki 1% ya hisa zake ni inaleta mshiko mrefu...
Dah ,arudishe vyeti vyote.
Yani nakaa nafkiria kama alikuwa anaingia darasani kweli...Anafikirisha sasa hivi mfano akienda nunua bond za huko nje, kwa mfano wa hiyo pesa yake aliyopata gawio ya UTT 100k kwa mwaka, nadhani haifiki hata 2M ndio apeleke kwenye bond za nje hivi ndio atapata faida ya maana kweli ?
Kwa akili yangu fupi najua nchi zilizo kwisha endelea kwenye treasure bond ziko chini kuliko nchi zinazoendelea.
Anyway labda mzaweza nisahihisha
Ngoja aje uone, tutatukanwa mpaka basi.Yani nakaa nafkiria kama alikuwa anaingia darasani kweli...
Kumiliii 1% ya hisa ni anachukulia simple...
Kwenye Bonds,sijui hata anafuagiliaga za huko nje, dah...!?
mkuu UTT wana calculator yao ukiweka 150,000 kila mwez kwa bila kuwithdraw kwa miaka 30 unsish na zaid ya milion mia nne hii knowledge watu wanalipiaga hela tuko hapa tunabishana kipimbi after all ku save 150,000 kila mwez kwa 30yrs is not for beginners inahitaji constancy na discipline so sio utajir mrahis piaIlipoanzia hoja ya jamaa kule kataja utajiri wa kutisha, kwenye Scaling ya return nakubali ila utajiri ndio nimepinga
Mkuu...Kujua hilo linahitaji elimu kwanini watu mnapenda kuponda wenzenu, mtu akiwa na elimu appreciate him, na kua na elimu sio kujua kila kitu.
Haya Twende kwenye mada..Sawa soko letu la Financial market ni dogo,lakini mkuu...
1.Unasema Bongo hakuna kampuni ambayo ukimiliki 1% ukatajirika ,una uhakika na ulisemalo ?
2.Una ubavu wa kumiliki hisa 1% ya makampuni haya CRDB,NICOL,TWIGA,SWISSPORT,NMB,TCC na TBL...
3.Je,huyo wa boda kuweka millioni mbili chumbani mwaka mzima na kuweka millioni 2 katika fixed deposit au UTT ,kipi ni bora...
4.Financial markets za Bonds,Mutual funds ni za low risk, so unategemea ziwe na faida kubwa kama biashara?
5.Binafsi nina mashaka na Elimu yako hiyo uliyosema,
Yani ulitaka utajairike kwa return ya 8 hadi 11% annually, huku umeweka 5million ,πππ ina maana hata hesabu haujui ama ?
Jibu maswali yangu kwanza....hapa ni hoja kwa hoja.Haya Twende kwenye mada..
Je kuna ""Kuna financial instrument yoyoteee inayoweza kumfanya huyu kijana wa ki Tanzania mwenye kipato cha chini akawa tajiri?""
Au
""Je, soko la pesa la Tanzania (UTT, Hisa N.k) linaweza kumfanya kijana akawa tajiri kwa mtaji wako mdogo?"
tujikite hapo.
hiyo namba 5 nadhani "Achia wazazi wangu waliolipa ada"
#YNWA
Sasa si Bora ukanunue shambaHizo utt/faida, shares nk ni kwaajili ya uwekezaji wa muda mrefu, yaani after from 10 yrs na kuendelea ndio unaenjoy sio unaweka leo unataka faida kesho, yaani hizo ni za kula hapo mbeleniiii, kama unataka za muda mfupi then fanya biashara, nakumbuka miaka mitano iliyopita niliweka 10mil benk Moja hivi fixed, after six month faida laki mbili hahaha nikaitoa, kwahiyo ukiwekeza kwenye hizo money markets hutakiwi kuwa na haraka nazo weka then tulia,endelea ukiwekeza taratibu..halafu pia Kuna watu wengine hawawezi kabisa kufanya biashara so ndio maana anawekeza huko coz hataki stress ingawa kijifaida kinakua taratibu...kupanga ni kuchagua