Tuongee ukweli: Soko la pesa la Tanzania (UTT, Hisa N.k) haliwezi kukufanya ukawa tajiri kwa mtaji wako mdogo

Tuongee ukweli: Soko la pesa la Tanzania (UTT, Hisa N.k) haliwezi kukufanya ukawa tajiri kwa mtaji wako mdogo

Anafikirisha sasa hivi mfano akienda nunua bond za huko nje, kwa mfano wa hiyo pesa yake aliyopata gawio ya UTT 100k kwa mwaka, nadhani haifiki hata 2M ndio apeleke kwenye bond za nje hivi ndio atapata faida ya maana kweli ?

Kwa akili yangu fupi najua nchi zilizo kwisha endelea kwenye treasure bond ziko chini kuliko nchi zinazoendelea.

Anyway labda mzaweza nisahihisha
Nyie hizi biashara waachieni wenye mamilioni.
Mirambo Holdings (Rostam) anamiliki hisa asilimia 35 za vodacom.

Unadhani alianza na buku huyu..!!

#YNWA
 
Jibu maswali yangu kwanza....hapa ni hoja kwa hoja.
Ndiyo mjadala wa kiungwana unavyoenda.
Ningefikiri unipe financial instrument moja, halafu uiteteee then unipe hata plan zake kwa bodaboda kuwa tajiri
Mi nishasema HAIPO, Nilidhani utanipa mfano ya kuwa "IPO" Ila naona umeishia personal attacks za elimu yangu..!!!

Ukiwa tayari kujibu mada bila ku-attack mtu KARIBU.

#YNWA
 
Omeongea point sana mkuu,,,
Binafsi nafkiri mleta mada Alitakiwa ajue hilo....
Kifupi kama umeelewa mada yangu nimekwambia..
Active income/business income is the best than the passive income.

Hizi passive income "Making money while sleeping" sio njema kwa mafukara, mtu huwezi kumpa mil 2 yako halafu baada ya mwaka akakupa 200k kama faida halafu ukasema "You were making money while sleeping"

Ila sasa wale wahindi na wachaga akina Mtei wale sasa ndio are making money with there money(s) in the market..!!

#YNWA
 
Nipongeze mjadala mzuri Sana ,
Ni moja ya Uzi wa great thinker

Nimejaribu kufuatilia muwekaezaji mkubwa kwenye Soko la Dse
Ambaye ni Patric Schegg
Kwenye bank ya Nmb anamiliki asilimia moja point nane 1.8
Sawa na na mtaji wa sh bill 55.
Mtaji wa Nmb unakadiriwa zaidi trilioni moja na billion 200

Labda tunaweza kupata picha kuchambua zaidi

Gawio la Nmb 2023 lilikuwa billion 143
Kwa MTU mwenye asilimia moja gawanya kwa 100

Screenshot_20240412-222717.png
Screenshot_20240412-222859.png
 
INTRODUCTION.
Mr. Liverpool kwa maisha ni mfanyakazi, mfanyabiashara na mmiliki wa vipande kwenye mutual fund..

Nasoma(ga) sanaa watu humu wanasifia FOREX, Mutual Funds (hasa UTT), Government bonds and bills na fixed deposits.

BODY:-
Soko la pesa Tanzania sio kubwa kiasi kwa maana kuna hisa, vipande vya mutual fund, government bonds and bills, na fixed deposit.

Ila nachojiuliza ""Hivi kuna mtanzania mwenye kipato kidogo anaweza ishi vizuri kwa kumiliki chochote hapo juu?""

Kuna ukweli mwingi sanaa huwa hausemwi na wataalamu wa finance and investment, ""Je soko letu ni sahihi kwa watu masikini na kipato cha kawaida??""

SCENARIO:-
Mimi binafsi ni muwekezaji wa mutual fund inayoitwa FAIDA FUND inayosimamiwa na Watumishi Housing kupitia Wizara OR - Tamisemi.
Nina vipande 25,768.9364 nilivyoanza ununuzi tokea June/2023.

Lakini pia nina biashara kubwa tu mjini yenye mtaji wa Mil 40 na assets za mil 15.

PROBLEM.
Changamoto ya soko letu la pesa ni faida yake ambayo ni ndogo sanaaa...
1. Nilishawahi miliki hisa za Vodacom na CRDB, nilikaa nazo mwaka na nusu, ilinichukua miezi mitatu kuziuza. Hiki ndicho kilichonikera balaa na kuachana na mambo ya hisa.
2. Nikaingia UTT Amis, wale jamaa walikaa na pesa yangu mwaka wakanipa 100k kama Faida..!!
3. Nikaingia kwenye forex nako nikapigwa 200 dollar yoteee (kupitia IQ Option).
4. Nikawaza Crypto currency ila sikushiriki.

Wakati nateseka na money market nilikuwa tayari nina hii biashara iliyoanza kwa mtaji wa mil 10 (bidhaa Mil 5 na Assets 3 na maandalizi mil 2).

Wakati huo wotee biashara ilikuwa inakuwa na wateja wanamiminika Ila money market ilikuwa tu inasumbua na kuiweka hela yangu idle.

Nilivutiwa na money market kwasababu ya
1. Elimu yangu ya chuo, nimesoma Economics, Finance and Investment kwa Diploma, Bachelor na Masters yangu.
2. Ujana, kutaka kuwa tajiri
3. Kuona kazini napoteza muda.

Kwasasa nipo na FAIDA FUND tu japo naona performance yake inazingua tuuuu (slowly growing).

CONCLUSION:-
Kifupi soko la fedha la kibongo bado ni nogo sanaa na si salama kwa kijana mtafutaji.

Yaani, si rafiki kwa kijana ambae anajitafuta akapata mil 2 yake eti akawekeza ili atoke kimaisha, na ni tofauti sanaa na wenzetu.

Wenzetu ukisikia mtu anamiliki 1% ya hisa za facebook huyu ni tajiri balaaa, ila hebu nitafutie mtanzania anayemiliki kampuni 1% ya share akawa tajiri...!!!

ANYWAY:-
Mimi nipo FAIDA FUND kwasababu BONUS Account ya NMB imeshindwa kunipa nachotaka. Bonus Account ili upate interest inatakiwa upambane hasaaaaaa.

Kwasasa nina mpango wa kununua fuso niwe napeleka mizigo kijijini, hivyo nawekeza FAIDA FUND ili ikifika hela ya bei ya fuso basi nitoe ninunue hiyo gari iingie mzigoni...!!!

Hivyo FAIDA FUND naifanya kama bank account ya malengo yangu..!! ila sio NJIA YA KUNITOA KIMAISHA.

Na kiukweli:-
1. Money market ya bongo ni kwa ajili ya watu waoga na wasio na muda wa kufanya biashara Ila nyie wenye mioyo migumu NJOONI KWENYE BIASHARA TUPAMBANE.
Biashara ina hela balaaaaa.

2. Money market ya bongo ni kwaajili ya matajiri tu, yaani jitafutee kwenye biashara halafu "diversify your portifolio" kwa money market, Ila sio eti umepiga deal la mil 5 halafu unaingia money market ili Uwe tajiri, aiseee HAIPO.

Watakaokwambia biashara ni high risk hebu....
1. Waulize kuhusu hisa za NICO, JATU, TOL
2. Waulize kuhusu Vodacom, waliingia DSE kwa 1000/share ghafla wakashuka mpaka 800/share..!!
3. Waambie hivi, watokee watu wawili wasio na ajira wote wapewe mil 5 each, mmoja aende UTT na mwengine aende Kariakoo kuwa winga halafu baada ya mwaka tuje na mrejesho.

Tuendelee kutafuta pesa.

#YNWA
Mkuu itoshe tu kusema HUNA UFAHAMU KUHUSU JAMBO ULILO LIANDIKA
Asilimia kubwa ya bandiko lako sio sahihi

Watu bado tuna mentality za kijamaa nadhani
Hii mifumo ni ya KIBEPARI na sio kwamba ni mifumo DHAIFU kwa TZ tu, we unataka uweka milioni yako uanze kulipwa mahela kibao?

Hizo asilimia za faida unazoziona ndio range ya faida dunia nzima tena wakati mwingine hapa bongo rate ni kubwa kuliko nchi zilizoendelea ili kuwashawishi watu wajifunze uwekezaji

Hata wewe ukitoka hapa uende USA na Milioni 10 zako ambazo ni sawa na Usd 3000+ huwezi kupata faida yoyote ya maana maana rate ni hizo hizo

Hivi mkuu unadhani kama unamiliki asilimia moja Vodacom au Barick utakua unamiliki kidogo?
Ukubwa wa faida unatokana na thamani ya kampuni mkuu
Hata ukiwa marekani halafu una hisa asilimia 80 ya kampuni uchwara utapata faida uchwara pia
Si sahihi kudhani thamani ya FB ni sawa na thamani ya JF

Hii sio mifumo dhaifu ya Kitanzania hii ni mifumo ya dunia nzima
 
Mkuu...
Soma post yake kwanza...utaona
Kajigamba kama kasoma uchumi na uwekezaji, tena kataja ana Masters...
Kataja hadi kampuni kama ya NICOL

Kasema bongo hakuna kampuni ambayo 1% ya hisa zake inaweza badili maisha yako...

Kwa mtu aliyesoma uwekezaji hadi masters ,hakupaswa kuleta hizo kauli...
Anafikirisha sana.
Haya mwenye diploma turudi kwenye mada Je "Financial market ya bongo inaweza mfanya mtu mwenye kipato kidogo kuwa tajiri? "

Ni me state financial market, hivyo unaweza nipa mfano wa financial instrument yoyoteeee.

#YNWA
 
mkuu UTT wana calculator yao ukiweka 150,000 kila mwez kwa bila kuwithdraw kwa miaka 30 unsish na zaid ya milion mia nne hii knowledge watu wanalipiaga hela tuko hapa tunabishana kipimbi after all ku save 150,000 kila mwez kwa 30yrs is not for beginners inahitaji constancy na discipline so sio utajir mrahis pia
Wait Explain it
 
mkuu UTT wana calculator yao ukiweka 150,000 kila mwez kwa bila kuwithdraw kwa miaka 30 unsish na zaid ya milion mia nne hii knowledge watu wanalipiaga hela tuko hapa tunabishana kipimbi after all ku save 150,000 kila mwez kwa 30yrs is not for beginners inahitaji constancy na discipline so sio utajir mrahis pia
Hii inabidi uanze mara baada ya kuajiriwa na tena uwe na financial mentor (wa bure lkn[emoji3]) unayemsikiliza na kumheshimu hasa

Otherwise ile mihemuko ya kuanza kushika hela yako mwenyewe utataka ujaribu kila kitu, uwe kila mahali, ununue kila unachokifikiria kichwani hata kama hukihitaji; hutoboi[emoji23]
 
INTRODUCTION.
Mr. Liverpool kwa maisha ni mfanyakazi, mfanyabiashara na mmiliki wa vipande kwenye mutual fund..

Nasoma(ga) sanaa watu humu wanasifia FOREX, Mutual Funds (hasa UTT), Government bonds and bills na fixed deposits.

BODY:-
Soko la pesa Tanzania sio kubwa kiasi kwa maana kuna hisa, vipande vya mutual fund, government bonds and bills, na fixed deposit.

Ila nachojiuliza ""Hivi kuna mtanzania mwenye kipato kidogo anaweza ishi vizuri kwa kumiliki chochote hapo juu?""

Kuna ukweli mwingi sanaa huwa hausemwi na wataalamu wa finance and investment, ""Je soko letu ni sahihi kwa watu masikini na kipato cha kawaida??""

SCENARIO:-
Mimi binafsi ni muwekezaji wa mutual fund inayoitwa FAIDA FUND inayosimamiwa na Watumishi Housing kupitia Wizara OR - Tamisemi.
Nina vipande 25,768.9364 nilivyoanza ununuzi tokea June/2023.

Lakini pia nina biashara kubwa tu mjini yenye mtaji wa Mil 40 na assets za mil 15.

PROBLEM.
Changamoto ya soko letu la pesa ni faida yake ambayo ni ndogo sanaaa...
1. Nilishawahi miliki hisa za Vodacom na CRDB, nilikaa nazo mwaka na nusu, ilinichukua miezi mitatu kuziuza. Hiki ndicho kilichonikera balaa na kuachana na mambo ya hisa.
2. Nikaingia UTT Amis, wale jamaa walikaa na pesa yangu mwaka wakanipa 100k kama Faida..!!
3. Nikaingia kwenye forex nako nikapigwa 200 dollar yoteee (kupitia IQ Option).
4. Nikawaza Crypto currency ila sikushiriki.

Wakati nateseka na money market nilikuwa tayari nina hii biashara iliyoanza kwa mtaji wa mil 10 (bidhaa Mil 5 na Assets 3 na maandalizi mil 2).

Wakati huo wotee biashara ilikuwa inakuwa na wateja wanamiminika Ila money market ilikuwa tu inasumbua na kuiweka hela yangu idle.

Nilivutiwa na money market kwasababu ya
1. Elimu yangu ya chuo, nimesoma Economics, Finance and Investment kwa Diploma, Bachelor na Masters yangu.
2. Ujana, kutaka kuwa tajiri
3. Kuona kazini napoteza muda.

Kwasasa nipo na FAIDA FUND tu japo naona performance yake inazingua tuuuu (slowly growing).

CONCLUSION:-
Kifupi soko la fedha la kibongo bado ni nogo sanaa na si salama kwa kijana mtafutaji.

Yaani, si rafiki kwa kijana ambae anajitafuta akapata mil 2 yake eti akawekeza ili atoke kimaisha, na ni tofauti sanaa na wenzetu.

Wenzetu ukisikia mtu anamiliki 1% ya hisa za facebook huyu ni tajiri balaaa, ila hebu nitafutie mtanzania anayemiliki kampuni 1% ya share akawa tajiri...!!!

ANYWAY:-
Mimi nipo FAIDA FUND kwasababu BONUS Account ya NMB imeshindwa kunipa nachotaka. Bonus Account ili upate interest inatakiwa upambane hasaaaaaa.

Kwasasa nina mpango wa kununua fuso niwe napeleka mizigo kijijini, hivyo nawekeza FAIDA FUND ili ikifika hela ya bei ya fuso basi nitoe ninunue hiyo gari iingie mzigoni...!!!

Hivyo FAIDA FUND naifanya kama bank account ya malengo yangu..!! ila sio NJIA YA KUNITOA KIMAISHA.

Na kiukweli:-
1. Money market ya bongo ni kwa ajili ya watu waoga na wasio na muda wa kufanya biashara Ila nyie wenye mioyo migumu NJOONI KWENYE BIASHARA TUPAMBANE.
Biashara ina hela balaaaaa.

2. Money market ya bongo ni kwaajili ya matajiri tu, yaani jitafutee kwenye biashara halafu "diversify your portifolio" kwa money market, Ila sio eti umepiga deal la mil 5 halafu unaingia money market ili Uwe tajiri, aiseee HAIPO.

Watakaokwambia biashara ni high risk hebu....
1. Waulize kuhusu hisa za NICO, JATU, TOL
2. Waulize kuhusu Vodacom, waliingia DSE kwa 1000/share ghafla wakashuka mpaka 800/share..!!
3. Waambie hivi, watokee watu wawili wasio na ajira wote wapewe mil 5 each, mmoja aende UTT na mwengine aende Kariakoo kuwa winga halafu baada ya mwaka tuje na mrejesho.

Tuendelee kutafuta pesa.

#YNWA
1.Unaposema soko la fedha si salama..
-je ,una maana kuna wizi au utapeli kwenye hilo soko
-Litamfanya mtu aingie hasara?
-Je ,soko la fedha Marekani na Ulaya ni salama kuliko Bongo...?

2.Umeponda soko la fedha,lakini hapohapo umeweka fedha kwenye FAIDA ili ununue FUSO,
-Je,unawapotosha wenzako ili ufaidike wewe tu.
-Kwanini unaendelea kuweka fedha kwenye mutual ?

3.Kuhusu hisa,
-Haujui kuwa bei za hisa zinashuka na kupanda ama?
-Je,bei ya hisa kushuka ili athiri gawio?

4.Katika hao wawili watakao powa hizo millioni 5,
-Ni yupi ana nafasi kubwa ya kupoteza hizo millioni 5 zote,kama hasara ikitokea...
 
Mkuu itoshe tu kusema HUNA UFAHAMU KUHUSU JAMBO ULILO LIANDIKA
Asilimia kubwa ya bandiko lako sio sahihi

Watu bado tuna mentality za kijamaa nadhani
Hii mifumo ni ya KIBEPARI na sio kwamba ni mifumo DHAIFU kwa TZ tu, we unataka uweka milioni yako uanze kulipwa mahela kibao?

Hizo asilimia za faida unazoziona ndio range ya faida dunia nzima tena wakati mwingine hapa bongo rate ni kubwa kuliko nchi zilizoendelea ili kuwashawishi watu wajifunze uwekezaji

Hata wewe ukitoka hapa uende USA na Milioni 10 zako ambazo ni sawa na Usd 3000+ huwezi kupata faida yoyote ya maana maana rate ni hizo hizo

Hivi mkuu unadhani kama unamiliki asilimia moja Vodacom au Barick utakua unamiliki kidogo?
Ukubwa wa faida unatokana na thamani ya kampuni mkuu
Hata ukiwa marekani halafu una hisa asilimia 80 ya kampuni uchwara utapata faida uchwara pia
Si sahihi kudhani thamani ya FB ni sawa na thamani ya JF

Hii sio mifumo dhaifu ya Kitanzania hii ni mifumo ya dunia nzima
Kwahiyo tunakubaliana kwamba kwa kijana anayejitafuta Leo "Financial market ya bongo sio sehemu yake sahihi ya kuanzia maisha ya kujitafuta?"

Kumwambia mtu aweke 2mil FAIDA FUND au Anunue hisa za Vodacom basi ni Bora akawe mchuuzi k.koo na hizo mil 2?

#YNWA
 
Endelea kuweka hizo buku 5 huko kwenye mutual funds sijui shares sijui nini labda ipo siku tutakuona kwenye best investor in the country portifolio.!!

#YNWA
Mkuu labda ungetoa ushauri pia

Mtu akiweza kupata hiyo buku 5 kila siku labda ni boda boda, unamshauri afanyeje?
 
Kwa mlio isema vibaya FOREX ma CRYPTOCURRENCY naombeni futeni kauli zenu. Kama hujui kuhusu hivyo vitu omba uelekezwe.

Ulipoteza 200$ kwa IQ OPTION sijui, sasa kule si ni kubet tuu, app ile imaweza hata saidia kufanya analysis.

Uliwahi soma mambo ya fundamental analysis kabla ya kufungua trades zako ?!

PLEASE PLEASE soma kuhusu forex ma CRYPTOCURRENCY ndiyo uende ukawekeze, tena KUWEKEZA SIYO KUCHEZA AU KUFANYA FANYA.

Tuwe na discipline.

FOREX NDIYO INA NILISHA, KUNIVISHA, KULIPA KODI LAKI 2 kWA MWEZI NA NMEWEKEZA KILIMO CHA MAHINDI JEKA 10 KITETO.

FOREX NDIYO IMENIPA JEURI HATA KAZI SINA MIDA WA KU APPLY TENA SABABU NILITESEKA MNO NA KUOMBA AJIRA,DHARAU NA MISHAHARA MIDOGO NDIYO ILIPELEKEA KUANGALIA NINI NIJIFUNZE NIPATE HELA KAMA EXTRA INCOME.

Nime hangaika sana na online jobs huko UPWORK mpaka nilipo kuja kutana na Forex.
Kwa namna moja ama nyingine forex ili nifelisha sana mpaka kujuta kuijua ila sikukata tamaa sababu kuna rafiki yangu niliwahi soma naye 1 mpaka form 4 nilikutana naye kwenye semina, hana kazi ua kuajiriwa anafanya forex na ana life zuri tuu.

Anyway story ni ndefu.

IT TOOK ME 4 YEARS OF STRUGGLE MPAKA LEO HII I SAY THANK YOU FOREX KWA KUNIHESHIMISHA.

About Cryptocurrency pia ni lazima ujifunze kujua coin ipi ni mpya au projects gani imeleta coin mpya sokoni, projects ipi iko ma wwtu wengi kiasi, ni valid yaani siyo fake etc ndiyo unune coin yake au kuwekeza.

SHIDA MTU AKIAMBIWA TOA HELA UFINDISHWE HAUTAKI NENDA SOKONI UKIPIGWA ZA USO UNARUDI UNASEMA FOREX NI FAKE GAME AND GAMBLING.

THat is your side of story but to me I LOVE FOREX KULIKO HATA DEMU WANGU.

CRYPTOCURRENCY TO THE MOON 🚀
INTRODUCTION.
Mr. Liverpool kwa maisha ni mfanyakazi, mfanyabiashara na mmiliki wa vipande kwenye mutual fund..

Nasoma(ga) sanaa watu humu wanasifia FOREX, Mutual Funds (hasa UTT), Government bonds and bills na fixed deposits.

BODY:-
Soko la pesa Tanzania sio kubwa kiasi kwa maana kuna hisa, vipande vya mutual fund, government bonds and bills, na fixed deposit.

Ila nachojiuliza ""Hivi kuna mtanzania mwenye kipato kidogo anaweza ishi vizuri kwa kumiliki chochote hapo juu?""

Kuna ukweli mwingi sanaa huwa hausemwi na wataalamu wa finance and investment, ""Je soko letu ni sahihi kwa watu masikini na kipato cha kawaida??""

SCENARIO:-
Mimi binafsi ni muwekezaji wa mutual fund inayoitwa FAIDA FUND inayosimamiwa na Watumishi Housing kupitia Wizara OR - Tamisemi.
Nina vipande 25,768.9364 nilivyoanza ununuzi tokea June/2023.

Lakini pia nina biashara kubwa tu mjini yenye mtaji wa Mil 40 na assets za mil 15.

PROBLEM.
Changamoto ya soko letu la pesa ni faida yake ambayo ni ndogo sanaaa...
1. Nilishawahi miliki hisa za Vodacom na CRDB, nilikaa nazo mwaka na nusu, ilinichukua miezi mitatu kuziuza. Hiki ndicho kilichonikera balaa na kuachana na mambo ya hisa.
2. Nikaingia UTT Amis, wale jamaa walikaa na pesa yangu mwaka wakanipa 100k kama Faida..!!
3. Nikaingia kwenye forex nako nikapigwa 200 dollar yoteee (kupitia IQ Option).
4. Nikawaza Crypto currency ila sikushiriki.

Wakati nateseka na money market nilikuwa tayari nina hii biashara iliyoanza kwa mtaji wa mil 10 (bidhaa Mil 5 na Assets 3 na maandalizi mil 2).

Wakati huo wotee biashara ilikuwa inakuwa na wateja wanamiminika Ila money market ilikuwa tu inasumbua na kuiweka hela yangu idle.

Nilivutiwa na money market kwasababu ya
1. Elimu yangu ya chuo, nimesoma Economics, Finance and Investment kwa Diploma, Bachelor na Masters yangu.
2. Ujana, kutaka kuwa tajiri
3. Kuona kazini napoteza muda.

Kwasasa nipo na FAIDA FUND tu japo naona performance yake inazingua tuuuu (slowly growing).

CONCLUSION:-
Kifupi soko la fedha la kibongo bado ni nogo sanaa na si salama kwa kijana mtafutaji.

Yaani, si rafiki kwa kijana ambae anajitafuta akapata mil 2 yake eti akawekeza ili atoke kimaisha, na ni tofauti sanaa na wenzetu.

Wenzetu ukisikia mtu anamiliki 1% ya hisa za facebook huyu ni tajiri balaaa, ila hebu nitafutie mtanzania anayemiliki kampuni 1% ya share akawa tajiri...!!!

ANYWAY:-
Mimi nipo FAIDA FUND kwasababu BONUS Account ya NMB imeshindwa kunipa nachotaka. Bonus Account ili upate interest inatakiwa upambane hasaaaaaa.

Kwasasa nina mpango wa kununua fuso niwe napeleka mizigo kijijini, hivyo nawekeza FAIDA FUND ili ikifika hela ya bei ya fuso basi nitoe ninunue hiyo gari iingie mzigoni...!!!

Hivyo FAIDA FUND naifanya kama bank account ya malengo yangu..!! ila sio NJIA YA KUNITOA KIMAISHA.

Na kiukweli:-
1. Money market ya bongo ni kwa ajili ya watu waoga na wasio na muda wa kufanya biashara Ila nyie wenye mioyo migumu NJOONI KWENYE BIASHARA TUPAMBANE.
Biashara ina hela balaaaaa.

2. Money market ya bongo ni kwaajili ya matajiri tu, yaani jitafutee kwenye biashara halafu "diversify your portifolio" kwa money market, Ila sio eti umepiga deal la mil 5 halafu unaingia money market ili Uwe tajiri, aiseee HAIPO.

Watakaokwambia biashara ni high risk hebu....
1. Waulize kuhusu hisa za NICO, JATU, TOL
2. Waulize kuhusu Vodacom, waliingia DSE kwa 1000/share ghafla wakashuka mpaka 800/share..!!
3. Waambie hivi, watokee watu wawili wasio na ajira wote wapewe mil 5 each, mmoja aende UTT na mwengine aende Kariakoo kuwa winga halafu baada ya mwaka tuje na mrejesho.

Tuendelee kutafuta pesa.

#YNWA
 
Back
Top Bottom