LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Samahani umeshawahi kuuza shamba ukiwa na dharula? Pesa ya chap chap Huwa unapewa nusu ya uliyoitangaza.S
Sasa si Bora ukanunue shamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani umeshawahi kuuza shamba ukiwa na dharula? Pesa ya chap chap Huwa unapewa nusu ya uliyoitangaza.S
Sasa si Bora ukanunue shamba
Duuuh! Mstaafu kulipwa billions? 😳uwe mstaafu uliyelipwa billions.
Eti alienda IQ OPTION akaweka dollar 200. 😂😂😂Mr Liverpool kitendo cha kusema tu june 2023, uzi ulitakiwa uishie hapo.
Kitendo cha kusema IQ option ukafanya forex tena kwa dollar 200.
Hapo tu uzi wako ulitakiwa uishie. Nakushauri, endelea na biashara yako ya milioni 40
Mkuu unachokosea wewe ni ile kuifanya kama vile ni “financial market ya bongo” tu ndio sio sahihi kwa masikini kujitafutaKwahiyo tunakubaliana kwamba kwa kijana anayejitafuta Leo "Financial market ya bongo sio sehemu yake sahihi ya kuanzia maisha ya kujitafuta?"
Kumwambia mtu aweke 2mil FAIDA FUND au Anunue hisa za Vodacom basi ni Bora akawe mchuuzi k.koo na hizo mil 2?
#YNWA
Mkuu ni financial market ya wapi inayoweza kumfanya mwenye kipato kidogo kuwa tajiri kwa kuwekeza kwenye bond?Haya mwenye diploma turudi kwenye mada Je "Financial market ya bongo inaweza mfanya mtu mwenye kipato kidogo kuwa tajiri? "
Ni me state financial market, hivyo unaweza nipa mfano wa financial instrument yoyoteeee.
#YNWA
Nashukuru kwa kukubali hoja yangu.Mkuu unachokosea wewe ni ile kuifanya kama vile ni “financial market ya bongo” tu ndio sio sahihi kwa masikini kujitafuta
Financial market zote duniani hazina urafiki na MASIKINI
Nimekwambia hata mwenye milioni 2 ambayo ni USD 600 ndani ya USA financial market ya USA sio sahihi kwake kujitafuta
Hii sio issue ya Bongo
Kivipi?Watu wanahimizaa kuweka pesa huko ili fedha zisipiteze value
HAKUNA.Mkuu ni financial market ya wapi inayoweza kumfanya mwenye kipato kidogo kuwa tajiri kwa kuwekeza kwenye bond?
NAKAZIAni uzembe mkubwa kusubiria faida ya laki kwa millions
greater thanKwenye uchumi Kila MTU ana maamuzi yake na ndo kinachamua na kututofoutisha katika mafanikio
Na asilimia kubwa maamuzi ya kiuchumi ni probability au niseme ni utabiri au ubashiri
Hakuna mchumi anaweza kukupa jibu la moja moja kwa moja
Lazima akupe factor kadhaa endapo zitafanikiwa na uchumi utaenda hivi
Kila MTU Yuko sawa na mtazamo wake na factor zake
Kwa watu ambao hawana maarifa ya kutosha ya Biashara na pia hawana muda wa Kusimamia Biashara ni vema wakawa wawekezaji kwenye low profit lakini low risk na pia unahitaji large capital
Pia kwa wazee ambao hawawezi Tena misuko misuko ya Biashara
Ila kwa KIJANA unayejitafuta mwenye kamshahara ka kipato chacho let's say elfu 10 20 30 kwa siku
Nashauri
Tumia hiyo Mifuko kuweka akiba kwa ajili ya mtaji sio kuwekeza ni uzembe mkubwa kusubiria faida ya laki kwa millions
Ulishawahi uza hisa kwa dharura boss wangu?Samahani umeshawahi kuuza shamba ukiwa na dharula? Pesa ya chap chap Huwa unapewa nusu ya uliyoitangaza.
Wewe mpaka sasa hivi hujanipa financial instrument itakayomfanya bodaboda awe tajiri..Eti alienda IQ OPTION akaweka dollar 200. 😂😂😂
Oya hakuna biashara rahisi kikubwa ijue hiyo biashara, kuwa na discipline alafu weka consistency.
Dah!! Wabongo sisi, yaani mtu anaponda kitu fulani mpaka watu wengine wanaogopa kukifanya kumbe yeye wala alikuwa hajui nini ana fanya hata.
Naungana na wewe.
Nilijuta. Ila Bora hisa kuliko shamba. Shamba ukilimega linataka pale ulipopaendeleza. Kule ambako ni pori labda umwe umezungukwa na wanapohitaji kutanua mashamba yao.Ulishawahi uza hisa kwa dharura boss wangu?
#YNWA
Hana elimu yyte, alafu anaingia forex tena kupitia iq option. Tena na dollar 200, damn, Sawa unaweza fanya trading na dollar 200 ila risk kubwa sanaEti alienda IQ OPTION akaweka dollar 200. 😂😂😂
Oya hakuna biashara rahisi kikubwa ijue hiyo biashara, kuwa na discipline alafu weka consistency.
Dah!! Wabongo sisi, yaani mtu anaponda kitu fulani mpaka watu wengine wanaogopa kukifanya kumbe yeye wala alikuwa hajui nini ana fanya hata.
Thanks Taicoon mwenye elimu yake mjini.Hana elimu yyte, alafu anaingia forex tena kupitia iq option. Tena na dollar 200, damn, Sawa unaweza fanya trading na dollar 200 ila risk kubwa sana
Wataelewa tu na fantasy zao za akina Elon Musk..!!Nimepitia comment zote, mpambano bado ni mkali.
Kuhusu Forex/Crypto nakukatalia hujui chochoteGovernment bond ni biashara ya Wahindi, anaweza kuweka B 1 BOT kila mwezi akavuta mshahara wa million kadhaa na pesa inazaa.
Kapuku na biashara ya pesa hakuna kitu kama hicho.
Mambo ya Forex na bit coin sijui ndio cryptocurrency achana nayo kabisa.
Nimemsikia Bongo zozo mara nyingi akidanganya watu kwamba Siri ya yeye kuwa na pesa ya kusafiri duniani ni bit coin, si kweli msiingizwe mkenge huo, wazungu ni fallen Angels huwezi kuujuwa undani wao.
Kwenye ujasiriamali ukiwa na roho ngumu na ukakomaa pesa unaweza kuiona, na kingine Bongo visource vya income unatakiwa uwe navyo vingivingi tu bila kusahau kujenga lodge, hii ndio biashara ya uhakika, starehe ya mafukara NI ngono.