Tuongee ukweli:- Watu wengi tupo CCM kwa maslahi yetu binafasi..!!!

Tuongee ukweli:- Watu wengi tupo CCM kwa maslahi yetu binafasi..!!!

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
6,958
Reaction score
16,358
INTRODUCTION
Mpo raia, ni yuleyule Mr. Liverpool A.K.A Kataa Ndoa.

Baada ya salamu twende kwenye mada;

BODY.
Ndio ni kweli ""Tupo CCM kwasababu kuna kitu tumefata""

1. Wapo ambao wamekosa ajira wakaona wakimbilie CCM
2. Wapo machawa na sababu zao wanazozijua wenyewe.

Watu wengi wapo CCM wana agenda zao binafsi..!!

SCENARIO.
Mimi binafsi ni mwana CCM ila niponipo tu...!!!!
1. Nilijiunga CCM 2012
2. Ninamiliki Kadi ya chama ya kielectronic yenye namba CM 111........
3. Sijawahi hudhuruia mkutano wowote wa Chama kwenye maisha yangu, ila cha ajabu sasa..!!!
4. Kikao chao cha CHAMATA kilinichagua ndio kiongozi wa CHAMATA wilaya hii
5. Imekuja/Imezinduliwa TK MOVEMENT MKOA wamenichagua ni kiongozi wao wa Wilaya hii..!!
6. Nilishawahi kuwa kiongozi wa UVCCM ila baadae walivyoona si respond chochotee wakanitoa.

Kifupi nishakuwa kiongozi wa kuchaguliwa na kuteuliwa sehemu mbalimbali bila mimi kuomba, kuwepo wala kutaka..!!!

KWANINI NILIJIUNGA NA CCM.

Simply na bila kumung'unya maneno ""Ni kwasababu ya maslahi yangu binafsi""

1. CCM ilinisaidia kupata ruhusa ya kwenda kusoma chuo kutoka kazini mwaka 1 baada ya ajira (sheria inasema miaka mitatu)

Shule nilisoma miaka 5 (Bachelor na Masters kwa kuunga) nikiwa kiongozi wa CCM wa wilaya yangu..!!
Huku sheria inasema ""ruhusa moja kwa level moja ya elimu""

2. Nikiwa chuo mwaka wa mwisho nikafungua kampuni na kuanza biashara.
Hivyo CCM ilinisaidia na inanisaidia sanaa kwenye mambo yangu ya biashara.

Kwenye biashara bwana kodi ni nyingi, usipokuwa
1. Mwana CCM ukawa unatoa michango ya chama
2. Mtoa rushwa kwa TRA
Aiseee kutoboa kutakuwa kugumu sanaa.

Changamoto, biashara ikiwa kubwa ndio Taasisi za serikali wanaitamani zaidi kuja kuipurura yaani..!!!

Hivyo CCM ni koti langu ili biashara zangu ziende..!!!

PROBLEM.
Na ukweli uliowazi mbele ya Mungu, sijawahi kuichagua CCM kwenye uchaguzi wowotee ule kwenye hii nchi.
1. Mwenyekiti wa kijiji
2. Diwani
3. Mbunge
4. Raisi
Yaani sijawahi weka Tiki kwa mgombea yoyote wa CCM..!!!
Mimi ni CHADEMA tuuu.

1728189999922.jpg


CONCLUSION
Ngoja nimalizie na hii ....

Mwaka 2015 nikiwa Chuo niliitwa kuja kusimamia uchaguzi katika kijiji kimoja hivi wabishi balaaaa.

Mi nilichofanya nilihakikisha serikali nzima ya kijiji inashinda CHADEMA...!!!!

Kifupi sijawahi kuielewa CCM kabisaaaaa.

Anyway:-
Kwa njia yoyote tafuta pesa.
Watu wanataka matokeo hawataki ""ulifanyaje ukapata pesa""

We tafuta pesaaaa kijana, hakikisha unakuwa na pesa basi.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
INTRODUCTION
Mpo raia, ni yuleyule Mr. Liverpool A.K.A Kataa Ndoa.

Baada ya salamu twende kwenye mada;

BODY.
Ndio ni kweli ""Tupo CCM kwasababu kuna kitu tumefata""

1. Wapo ambao wamekosa ajira wakaona wakimbilie CCM
2. Wapo machawa na sababu zao wanazozijua wenyewe.

Watu wengi wapo CCM wana agenda zao binafsi..!!

SCENARIO.
Mimi binafsi ni mwana CCM ila niponipo tu...!!!!
1. Nilijiunga CCM 2012
2. Ninamiliki Kadi ya chama ya kielectronic yenye namba CM 111........
3. Sijawahi hudhuruia mkutano wowote wa Chama kwenye maisha yangu, ila cha ajabu sasa..!!!
4. Kikao chao cha CHAMATA kilinichagua ndio kiongozi wa CHAMATA wilaya hii
5. Imekuja/Imezinduliwa TK MOVEMENT MKOA wamenichagua ni kiongozi wao wa Wilaya hii..!!
6. Nilishawahi kuwa kiongozi wa UVCCM ila baadae walivyoona si respond chochotee wakanitoa.

Kifupi nishakuwa kiongozi wa kuchaguliwa na kuteuliwa sehemu mbalimbali bila mimi kuomba, kuwepo wala kutaka..!!!

KWANINI NILIJIUNGA NA CCM.

Simply na bila kumung'unya maneno ""Ni kwasababu ya maslahi yangu binafsi""

1. CCM ilinisaidia kupata ruhusu ya kwenda kusoma chuo kutoka kazini mwaka 1 baada ya ajira (sheria inasema miaka mitatu)

Shule nilisoma miaka 5 (Bachelor na Masters kwa kuunga) nikiwa kiongozi wa CCM wa wilaya yangu..!!
Huku sheria inasema ""ruhusa moja kwa level moja ya elimu""

2. Nikiwa chuo mwaka wa mwisho nikafungua kampuni na kuanza biashara.
Hivyo CCM ilinisaidia na inanisaidia sanaa kwenye mambo yangu ya biashara.
Kwenye biashara bwana kodi ni nyingi, usipokuwa
1. Mwana CCM ukawa unatoa michango ya chama
2. Mtoa rushwa kwa TRA
Aiseee kutoboa kutakuwa kugumu sanaa.
Changamoto, biashara ikiwa kubwa ndio Taasisi za serikali wanaitamani zaidi kuja kuipurura yaani..!!!

Hivyo CCM ni koti langu ili biashara zangu ziende..!!!

PROBLEM.
Ila na ukweli uliowazi mbele ya Mungu, sijawahi kuichagua CCM kwenye uchaguzi wowotee ule kwenye hii nchi.
1. Mwenyekiti wa kijiji
2. Diwani
3. Mbunge
4. Raisi
Yaani sijawahi weka Tiki kwa mgombea yoyote wa CCM..!!!
Mimi ni CHADEMA tuuu.

View attachment 3116518

CONCLUSION
Ngoja nimalizie na hii ....

Mwaka 2015 nikiwa Chuo niliitwa kuja kusimamia uchaguzi katika kijiji kimoja hivi wabishi balaaaa.

Mi nilichofanya nilihakikisha serikali nzima ya kijiji inashinda CHADEMA...!!!!

Kifupi sijawahi kuielewa CCM kabisaaaaa.

Anyway:-
Kwa njia yoyote tafuta pesa.
Watu wanataka matokeo hawataki ""ulifanyaje ukapata pesa""

We tafuta pesaaaa kijana, hakikisha unakuwa na pesa basi.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
TF
 
Kabisa mkuu, miaka kadhaa nyuma mimi na mwanangu tulitafuta sana kadi za chama cha kijani ili kupata upendeleo kwenye mambo fulani fulani ambayo bila kadi ya chama hutoboi..

Labda wameshtukia mchongo, sasa hivi wanaenda kwa watoto watoto, wanaanza kuwajaza kipindi bado wadogo. Ila nao wakikua watakua chamani kwa maslahi yao na sio ya chama.
 
INTRODUCTION
Mpo raia, ni yuleyule Mr. Liverpool A.K.A Kataa Ndoa.

Baada ya salamu twende kwenye mada;

BODY.
Ndio ni kweli ""Tupo CCM kwasababu kuna kitu tumefata""

1. Wapo ambao wamekosa ajira wakaona wakimbilie CCM
2. Wapo machawa na sababu zao wanazozijua wenyewe.

Watu wengi wapo CCM wana agenda zao binafsi..!!

SCENARIO.
Mimi binafsi ni mwana CCM ila niponipo tu...!!!!
1. Nilijiunga CCM 2012
2. Ninamiliki Kadi ya chama ya kielectronic yenye namba CM 111........
3. Sijawahi hudhuruia mkutano wowote wa Chama kwenye maisha yangu, ila cha ajabu sasa..!!!
4. Kikao chao cha CHAMATA kilinichagua ndio kiongozi wa CHAMATA wilaya hii
5. Imekuja/Imezinduliwa TK MOVEMENT MKOA wamenichagua ni kiongozi wao wa Wilaya hii..!!
6. Nilishawahi kuwa kiongozi wa UVCCM ila baadae walivyoona si respond chochotee wakanitoa.

Kifupi nishakuwa kiongozi wa kuchaguliwa na kuteuliwa sehemu mbalimbali bila mimi kuomba, kuwepo wala kutaka..!!!

KWANINI NILIJIUNGA NA CCM.

Simply na bila kumung'unya maneno ""Ni kwasababu ya maslahi yangu binafsi""

1. CCM ilinisaidia kupata ruhusa ya kwenda kusoma chuo kutoka kazini mwaka 1 baada ya ajira (sheria inasema miaka mitatu)

Shule nilisoma miaka 5 (Bachelor na Masters kwa kuunga) nikiwa kiongozi wa CCM wa wilaya yangu..!!
Huku sheria inasema ""ruhusa moja kwa level moja ya elimu""

2. Nikiwa chuo mwaka wa mwisho nikafungua kampuni na kuanza biashara.
Hivyo CCM ilinisaidia na inanisaidia sanaa kwenye mambo yangu ya biashara.

Kwenye biashara bwana kodi ni nyingi, usipokuwa
1. Mwana CCM ukawa unatoa michango ya chama
2. Mtoa rushwa kwa TRA
Aiseee kutoboa kutakuwa kugumu sanaa.

Changamoto, biashara ikiwa kubwa ndio Taasisi za serikali wanaitamani zaidi kuja kuipurura yaani..!!!

Hivyo CCM ni koti langu ili biashara zangu ziende..!!!

PROBLEM.
Na ukweli uliowazi mbele ya Mungu, sijawahi kuichagua CCM kwenye uchaguzi wowotee ule kwenye hii nchi.
1. Mwenyekiti wa kijiji
2. Diwani
3. Mbunge
4. Raisi
Yaani sijawahi weka Tiki kwa mgombea yoyote wa CCM..!!!
Mimi ni CHADEMA tuuu.

View attachment 3116518

CONCLUSION
Ngoja nimalizie na hii ....

Mwaka 2015 nikiwa Chuo niliitwa kuja kusimamia uchaguzi katika kijiji kimoja hivi wabishi balaaaa.

Mi nilichofanya nilihakikisha serikali nzima ya kijiji inashinda CHADEMA...!!!!

Kifupi sijawahi kuielewa CCM kabisaaaaa.

Anyway:-
Kwa njia yoyote tafuta pesa.
Watu wanataka matokeo hawataki ""ulifanyaje ukapata pesa""

We tafuta pesaaaa kijana, hakikisha unakuwa na pesa basi.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Mbona umefungua codes sana.Si watakujua
 
Sijawai kuwaza kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa Bongo. Siasa ni mchezo mchafu sana.
 
Hiyo haipingwi. Nimewahi chaguliwa kuwa mwenyekiti ccm kata bila ridhaa yangu na Bado wakataka kunichagua wilaya Tena nikapiga chini niliwaambia sitakuwa huku Kwa miaka3 kuanzia Sasa. Ukiwa kwenye mzuguko wa Chama tegemea mseleleko mkubwa sana.
Ndo utajua live kuwa police wote ni ccm
 
Back
Top Bottom