Tuongeeni tu ukweli, foleni za Dar kwa sasa zinatisha!

Public transport wenyewe mwendokasi..Ptuuu

Watu wengi wamehamasika kununua magari kwa sababu ya shida za usafiri wa umma hasa hasa mwendokasi
Unazani kungekuwa na public transport za maana watu wasingepata shida, asubuhi unaenda kazini mnajazana kama vile viazi ukifika uendako unanuka harufu tofauti tofauti haujulikani kama umeoga wala nini public zeru watu wanapanda watafanyaje
 
Utakuwa umekuja dar 2018, Ungekuja kipindi morogoro road,kilwa road na bagamoyo road ni single lane usingetoa hizo kauli mkuu, watu tulikuwa tunakaa masaa matatu mpaka manne kutoka tegeta mpaka Mwenge
 
Yani nimeshindwA hata kukutukana nimeona nikupe pole wewe na hiyo bongo yako uliyotumia kufikiri
 
Utakuwa umekuja dar 2018, Ungekuja kipindi morogoro road,kilwa road na bagamoyo road ni single lane usingetoa hizo kauli mkuu, watu tulikuwa tunakaa masaa matatu mpaka manne kutoka tegeta mpaka Mwenge
hatari sana"" hii "" sisahau...""...au barabara ya Mandela"" wakati inajengwa "...bara bara ya mbagala wakati " ilipokuwa single lane ""...hiyo "" ya bagamoyo",.ndio ilikuwa balaa""....
 
Mchague sehemu za kuishi strategically.....sio unaenda kupanga nyumba Pugu kisa bei poa unasahau gharama za usafiri na muda unaopoteza. Angalia unapofanyia shughuli zako ndio uchague pa kuishi. Kama umejiajiri ofisi yako iweke mahali ambapo utakuwa unaenda against traffic. Mfano unakaa Kinondoni ofisi Mwenge asubuhi watu wanahangaika kwenda mjini wewe unaelekea mwenge,jioni wanahangaika kutoka mjini wewe unaelekea mjini.
 
Wazo zuri,nahisi siku sio nyingi hili litafanyika kwa Dar...
 
Sasa unakuta mtu unaenda tu mjini kufanya kitu dk 5 then unaendelea na mishe zako nyingine, hapo vipi
 
Sasa kuna sehemu haziepukiki, utake usitake, mfano Posta na Kariakoo
 
Sasa kuna sehemu haziepukiki, utake usitake, mfano Posta na Kariakoo
Kivipi? Tangu mwaka uanze nimefika Kariakoo mara moja tu tena naenda saa nne-saba. Posta napita against traffic btw Posta katikati hamna foleni,foleni ipo kuingia na kutoka tu.
 
Kivipi? Tangu mwaka uanze nimefika Kariakoo mara moja tu tena naenda saa nne-saba. Posta napita against traffic btw Posta katikati hamna foleni,foleni ipo kuingia na kutoka tu.
Pesa ipo Kariakoo, niseme hivyo tu.
 

Kila siku wanazungumzia flyover ya TAZARA as if itamaliza shida mji mzima
 
Suggest what has to be done?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…