Unazani kungekuwa na public transport za maana watu wasingepata shida, asubuhi unaenda kazini mnajazana kama vile viazi ukifika uendako unanuka harufu tofauti tofauti haujulikani kama umeoga wala nini public zeru watu wanapanda watafanyajePublic transport wenyewe mwendokasi..Ptuuu
Watu wengi wamehamasika kununua magari kwa sababu ya shida za usafiri wa umma hasa hasa mwendokasi
Aiseee'' ilikuwa balaaa"" ...palikuwa na ajari Area...za Kimara sukaDuu pole wapi hiyo, kulikuwa na ajali nini si kwakuchoma mahindi muda mrefu hivyo
Yani nimeshindwA hata kukutukana nimeona nikupe pole wewe na hiyo bongo yako uliyotumia kufikiriMfanye kama wanavyofanya Nairobi. Magari ya binafsi hayaruhusiwi kwenda city centre isipokuwa siku za week ends tu. Siku zingine wote mpande public transport except government ministers and senior government officials kwa magari ambayo plate numbers zake zinaonyesha utambulisho huo pamoja na magari ya wagonjwa. This is the best, easiest and cheapest solution. Kwani lazima uende na gari lako kazini? Kumuonyesha nani? Hamieni mikoani kama mnataka kwenda kazini na magari yenu.
Ilo sio tatzo. Tatizo ni serikali iliyoshindwa kuproject mbele maisha yatakuaje idadi ya magari itakua vip na kuweza kudesign accordingly.Tatizo kila mtu ana gari binafsi.
hatari sana"" hii "" sisahau...""...au barabara ya Mandela"" wakati inajengwa "...bara bara ya mbagala wakati " ilipokuwa single lane ""...hiyo "" ya bagamoyo",.ndio ilikuwa balaa""....Utakuwa umekuja dar 2018, Ungekuja kipindi morogoro road,kilwa road na bagamoyo road ni single lane usingetoa hizo kauli mkuu, watu tulikuwa tunakaa masaa matatu mpaka manne kutoka tegeta mpaka Mwenge
Wazo zuri,nahisi siku sio nyingi hili litafanyika kwa Dar...Mfanye kama wanavyofanya Nairobi. Magari ya binafsi hayaruhusiwi kwenda city centre isipokuwa siku za week ends tu. Siku zingine wote mpande public transport except government ministers and senior government officials kwa magari ambayo plate numbers zake zinaonyesha utambulisho huo pamoja na magari ya wagonjwa. This is the best, easiest and cheapest solution. Kwani lazima uende na gari lako kazini? Kumuonyesha nani? Hamieni mikoani kama mnataka kwenda kazini na magari yenu.
Foleni inaletwa Na CHADEMA
Sasa unakuta mtu unaenda tu mjini kufanya kitu dk 5 then unaendelea na mishe zako nyingine, hapo vipiMfanye kama wanavyofanya Nairobi. Magari ya binafsi hayaruhusiwi kwenda city centre isipokuwa siku za week ends tu. Siku zingine wote mpande public transport except government ministers and senior government officials kwa magari ambayo plate numbers zake zinaonyesha utambulisho huo pamoja na magari ya wagonjwa. This is the best, easiest and cheapest solution. Kwani lazima uende na gari lako kazini? Kumuonyesha nani? Hamieni mikoani kama mnataka kwenda kazini na magari yenu.
Sasa kuna sehemu haziepukiki, utake usitake, mfano Posta na KariakooMchague sehemu za kuishi strategically.....sio unaenda kupanga nyumba Pugu kisa bei poa unasahau gharama za usafiri na muda unaopoteza. Angalia unapofanyia shughuli zako ndio uchague pa kuishi. Kama umejiajiri ofisi yako iweke mahali ambapo utakuwa unaenda against traffic. Mfano unakaa Kinondoni ofisi Mwenge asubuhi watu wanahangaika kwenda mjini wewe unaelekea mwenge,jioni wanahangaika kutoka mjini wewe unaelekea mjini.
Kivipi? Tangu mwaka uanze nimefika Kariakoo mara moja tu tena naenda saa nne-saba. Posta napita against traffic btw Posta katikati hamna foleni,foleni ipo kuingia na kutoka tu.Sasa kuna sehemu haziepukiki, utake usitake, mfano Posta na Kariakoo
Bora yakoMameee"" kuna siku "Niliwahi Kukaa Kwenye "" Jam..Morogoro road "" Kuanzia saa 4 Ya Usiku " Home " Nikafika "" SAA 7 Sinto Sahau ""....
Pesa ipo Kariakoo, niseme hivyo tu.Kivipi? Tangu mwaka uanze nimefika Kariakoo mara moja tu tena naenda saa nne-saba. Posta napita against traffic btw Posta katikati hamna foleni,foleni ipo kuingia na kutoka tu.
Mawazo yako.Pesa ipo Kariakoo, niseme hivyo tu.
Sijui tunaelekea wapi kwa foleni kali namna hii, hivi kweli unakaa foleni lisaa lizima bila kusogea hata hatua moja?! Kwanini serikali haijatangaza state of emergency mpaka dakika hii?!! Hii ni hatari, ni janga; KWA HILI NAPIGA KURA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAMLAKA HUSIKA, something has to be done immediately!
Suggest what has to be done?Sijui tunaelekea wapi kwa foleni kali namna hii, hivi kweli unakaa foleni lisaa lizima bila kusogea hata hatua moja?! Kwanini serikali haijatangaza state of emergency mpaka dakika hii?!! Hii ni hatari, ni janga; KWA HILI NAPIGA KURA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAMLAKA HUSIKA, something has to be done immediately!