Tuongelee AirBnB + Tourism hapa Tanzania. Watu wanatengeneza pesa nyingi. Experience ya miezi 2 nikisafiri Tanzania

Tuongelee AirBnB + Tourism hapa Tanzania. Watu wanatengeneza pesa nyingi. Experience ya miezi 2 nikisafiri Tanzania

Mwenzako huyo hapo View attachment 1370949akipiga yowe.

Stop spreading misinformation.

Soma hapa

IMG_9299.JPG


Nilikuwa Safari na niliwatumia watu wote ninaofanya nao kazi/wafundisha.

Nadhani yeye hakupata.

Nimewasiliana naye leo na ameona alikosea kuandika hivyo hapa JF.

Mimi nafanya business. Vitu kama hivi vinatokea and I make sure I correct them.

Cheers 🥂
 
Stop spreading misinformation.

Soma hapa

View attachment 1370966

Nilikuwa Safari na niliwatumia watu wote ninaofanya nao kazi/wafundisha.

Nadhani yeye hakupata.

Nimewasiliana naye leo na ameona alikosea kuandika hivyo hapa JF.

Mimi nafanya business. Vitu kama hivi vinatokea and I make sure I correct them.

Cheers 🥂

Naona baada ya kuona huyo jamaa amekuanika huku JF ndio ukaona umpooze asiendelee kukuchafulia sio?

Watu kibao washakulalamikia humu,anyway wapambane na hali yao.
 
Binafsi global citizen ninakuelewa sn na amenisaidia sn kufikia baadhi ya malengo yangu. alhamdulillah, tatizo kubwa ambalo bro analo ni ubusy uliopindukia kutokana na kazi zake muda mwingi anacheza na wageni kutoka nje. big up bro karibu Dar muda ukitosha twenzetu kilwa masoko hadi kivinje, Bagamoyo hadi sadani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona baada ya kuona huyo jamaa amekuanika huku JF ndio ukaona umpooze asiendelee kukuchafulia sio?

Watu kibao washakulalamikia humu,anyway wapambane na hali yao.

It doesn’t matter. I keep on working [emoji817]

Keep on hating.

Mimi nafunisha vitu serious. Si blah blah.

Pia watu ninaowasiliana nao huwa nawaambia wazi I’m very busy kwasababu muda mwingi namuwa road.
 
Niliona post itakuwa ndefu sana.

Nitaongelea hapa kwenye comments.

Kwa kuanza niseme tu.

AirBnB ni opportunity nzuri kutengeneza cash [emoji383].

Kwa mfano kwa mwezi Jan na February nimetengeneza revenue ya $500+

This is very small money. Baadhi they make serious money monthly.

Unachotakiwa kufanya ni kama ifuatavyo.

- uwe na apartment au nyumba inayokidhi viwango megeni kukaa.

- si lazima nyumba iwe ya ghali au nzuri sana. Lakini inabidi mgeni awe comfortable akikaa hapo.

- nyumba inatakiwa iwe na kila kitu. Kuanzia jiko lilokamilika, vyombo vya kupikia, bed + mattress + clean sheets.

- mgeni akiingia anakuta kila kitu kipo tayari.

- ukiwa na WiFi ni vizuri zaidi. Kumbuka kila mtu anapenda atumie Internet akiwa home.

Kuna mengi yakuongelea.

Labda nikipata maswali itakuwa vizuri zaidi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Vipi kwa ambao hatuna nyumba. I mean naweza rent apartment alafu bishara ikawa hamna huoni nitaingia hasara?
 
Gamboshi ipo Geita? Hii ni habari mpya.

Au labda kuna Gamboshi ya Geita 🤣
huyu mleta uzi hajakusudia kudanganya kuhusu gamboshi na amesema vizuri tu kama amekosea, tusimwelewe vibaya tumsaidie. GAMBOSHIhaipo Geita,ipo Bariadi,Simiyu. ungeuliza pale bujora pengine ungetafutiwa guide top manyota wa walozi angekupeleka kwa zile dirimu laina zetu wasukuma au hata honda chapa ya mbiti ingekufikisha fasta
 
Gamboshi ni kijiji maeneo ya bariadi simiyu, ni kijiji maarufu lkn ukifika hapo huwezi kuelewa chochotr kwa sababu mji wenyewe ni wa kichawi na ni siri kubwa.
Mpaka ukutanishwe na wahusika ambao watakupa maelezo na pia kupata ujanja wao wa kuuona mji.
Karibu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu GlobalCitizen, sku nyingine ukirudi mwanza hakikisha unarudi msimu wa ngoma za NYABHULEBHUA huwa ni around mid June to July. Aisee nilienjoy sana huu msimu na ni bure kabsa hakuna kiingilio. Kiufupi ni ngoma za kisukuma wakipiga kushindana ngoma bora ya mwaka, sasa utam wa ngoma kwa mtazamaji hauishii kwa kuangalia jinsi wanavyocheza na Mdundo wa kiasli pekee bali Kuna burudani nyingine ya ziada pale unapoona WASHINDANI WAKILOGANA LIVE BILA CHENGA.

Aisee askuambie mtu. That is the best cultural tourism ever experienced, huko gamboshi watakusimulia tu habari za kusadikika na pia wale leaders wanaikanusha sana hii kitu so unaweza usipate undani wake kiivyo, sehem ambayo hutajutia ni kwenye hizo goma maana kulogana ni moja ya tamduni zao ili upate watazamaji wengi wa ngoma yako na hatimae utangazwe mshindi mshindi.

Nilishuhudia nyao za watu zikikaangwa kwenye sufuria, kuku akinyonyolewa manyoa huku wazee wakimunenea lugha isiyoeleweka, jamaa mchafuu anamakucha na manywele mengi akitembea uwanjani watu wakadai huyo ni mskule. For sure zile ngoma sjui ni kwa hazitangazwi. Zinachezwa Kisesa karibu kabsa na makumbusho ya Bujora kwenye uwanja wao wanauita uwanja wa ngome. Hata hizo ngoma za Bujora unazikutana kwenye mashindano na wanapadri wao wanaloga huyo hatari, ni mashindano ya ngoma zote kutoka sehem mbali mbali za waskuma, Mwanza, Simiyu, Shinyanga na Geita. One week shows, aisee ni hatari
Some few pics of events




Sorry kila nikiaload picha naambiwa something went wrong, contact admin
 
Corona.kishaingilia biashara ya utalii qa Kimataifa na anajitqhidi sana kuivuruga.

Majanga!
 
It doesn’t matter. I keep on working [emoji817]

Keep on hating.

Mimi nafunisha vitu serious. Si blah blah.

Pia watu ninaowasiliana nao huwa nawaambia wazi I’m very busy kwasababu muda mwingi namuwa road.
Man! It matters a lot! Jisafishe kiurefu, usidhani wengine tupo amateurs, vetting is critical when you deal with any stranger even sometimes your mother man!
 
Vipi kwa ambao hatuna nyumba. I mean naweza rent apartment alafu bishara ikawa hamna huoni nitaingia hasara?

Kabisa.

Na mimi hiki ndiyo nafanya.

Kuhusu kuingia hasara hapa sasa ndiyo inatenganisha entrepreneur na mtu anayeanza Business hii ilimradi kuanza tu.

Binafsi I have connections na nafahamiana na wageni wengi pia nina reviews kwahiyo mara nyingi wageni watachagua apartment yangu.
 
Mkuu GlobalCitizen, sku nyingine ukirudi mwanza hakikisha unarudi msimu wa ngoma za NYABHULEBHUA huwa ni around mid June to July. Aisee nilienjoy sana huu msimu na ni bure kabsa hakuna kiingilio. Kiufupi ni ngoma za kisukuma wakipiga kushindana ngoma bora ya mwaka, sasa utam wa ngoma kwa mtazamaji hauishii kwa kuangalia jinsi wanavyocheza na Mdundo wa kiasli pekee bali Kuna burudani nyingine ya ziada pale unapoona WASHINDANI WAKILOGANA LIVE BILA CHENGA.

Aisee askuambie mtu. That is the best cultural tourism ever experienced, huko gamboshi watakusimulia tu habari za kusadikika na pia wale leaders wanaikanusha sana hii kitu so unaweza usipate undani wake kiivyo, sehem ambayo hutajutia ni kwenye hizo goma maana kulogana ni moja ya tamduni zao ili upate watazamaji wengi wa ngoma yako na hatimae utangazwe mshindi mshindi.

Nilishuhudia nyao za watu zikikaangwa kwenye sufuria, kuku akinyonyolewa manyoa huku wazee wakimunenea lugha isiyoeleweka, jamaa mchafuu anamakucha na manywele mengi akitembea uwanjani watu wakadai huyo ni mskule. For sure zile ngoma sjui ni kwa hazitangazwi. Zinachezwa Kisesa karibu kabsa na makumbusho ya Bujora kwenye uwanja wao wanauita uwanja wa ngome. Hata hizo ngoma za Bujora unazikutana kwenye mashindano na wanapadri wao wanaloga huyo hatari, ni mashindano ya ngoma zote kutoka sehem mbali mbali za waskuma, Mwanza, Simiyu, Shinyanga na Geita. One week shows, aisee ni hatari
Some few pics of events




Sorry kila nikiaload picha naambiwa something went wrong, contact admin

Aaaah tuliambiwa hukusu haya mashindano. Na ni kweli ni around June.

Haya mashindano yalikuwepo toka enzi.

Bagika na Baguki (correct me if I’m wrong)

Hizo ni kambi mbili zilizokuwa zinashindana kwenye ngoma na mambo ya jadi. Very interesting stories.

Nitahudhuria tu. June nitakuwa hapa Tz nitakuja hopefully.


Wasukuma wapo vizuri sana kwenye ngoma.
 
Gamboshi ni kijiji maeneo ya bariadi simiyu, ni kijiji maarufu lkn ukifika hapo huwezi kuelewa chochotr kwa sababu mji wenyewe ni wa kichawi na ni siri kubwa.
Mpaka ukutanishwe na wahusika ambao watakupa maelezo na pia kupata ujanja wao wa kuuona mji.
Karibu


Sent using Jamii Forums mobile app

Kukutana na wahusika ndiyo issue.

Inaonekana kila mtu yeye amesimuliwa.

Mimi nataka niende pale nione mwenyewe.
 
Sehemu ya kwanza umetaja bei ya kiingilio nyingine hujataja. Anayehitaji maandalizi na bajeti ya safari ikoje ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Nafikiria ku-organize tour toka Arusha to Magoroto pia toka Dar to Magoroto kama watu wa hapa JF wataona inafaa.

Kuhusu budget inategemea usafiri unaotumia, siku unazotaka kukaa na je ni luxury au kawaida tu.

Kwa mfano Magoroto fee ni kama Tsh 75,000 kwa siku kufanya activity. Hii naijumuishi malazi.
 
Back
Top Bottom