Siku ya jumatatu nilipata kwenda uwanja wa CCM Kirumba, kisha nikaenda sehemu ya haja ndogo.
Yaani Mazingira hayafai hata kidogo yaani vile vyoo vinavyozunguka ule uwanja ni vichafu sana na miundombinu yake imechakaa sana pia na ukizngatia taifa letu linajiandaa kuwa na mashindano makubwa tunaomba mamlaka zinazohusika ziliangalie suala hili.
Yaani Mazingira hayafai hata kidogo yaani vile vyoo vinavyozunguka ule uwanja ni vichafu sana na miundombinu yake imechakaa sana pia na ukizngatia taifa letu linajiandaa kuwa na mashindano makubwa tunaomba mamlaka zinazohusika ziliangalie suala hili.