Tupac: "Keep Ya Head Up" dedication kwa Latasha Harlins

Tupac: "Keep Ya Head Up" dedication kwa Latasha Harlins

Rap artist wa zamani kama Tupac,BIG , Nas na hata Braza Jigga walikuwa wanatoa NONDO za kuacha legacy na nyimbo za kuishi kwa muda mrefu lakini hawa mashoga waliovamia industry ya hip-hop kama kina lil Nas X , lil pump, tekashi ni wamefanya tukaendelea kurudia mangoma ya 1990s ambapo hip-hop ilikuwa real sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kuwasahau KRS one, DMX, busta rhymes,
 
Hapa alitabiri kifo chake
I aint' mad at cha.
Still at leo kifo cha tupac ni conspiracy theory.
Zipo theory freemason walipandisha wote na BIG then wakawagombanisha kwa kutengeneza team mbili kisha wakawaua wote.Theory hii inapewa nguvu na wimbo wa The Don kilimuninat kwamba alitaka kujitoa freemason wakamuwahi.

 
Tupac alikuwa story teller mzuri
Alijuwa anajua ku reason mambo

We sikiliza interviews zake....
Hutachoka kumaikiliza
Wasani siku hzi wao kwenye interview
Kazi kuonesha mabulungutu ya hela
Na saa zao,cheni basi kujigamba tu

Ova
 
Hebu sikikiza ngoma kama tears drop closed casket,sikiliza the good die young,sikiliza so many tears
List ndefu hapa tusije jaza server tu ya jf

Ova
 
Hapa alitabiri kifo chake
I aint' mad at cha.
Still at leo kifo cha tupac ni conspiracy theory.
Zipo theory freemason walipandisha wote na BIG then wakawagombanisha kwa kutengeneza team mbili kisha wakawaua wote.Theory hii inapewa nguvu na wimbo wa The Don kilimuninat kwamba alitaka kujitoa freemason wakamuwahi.


moja ya ngoma kali kuwahi kutokea...
tupac alikuwa tishio sana.
 
I remember this young man (RIP) Kwa ule mvalio wake wa kata k.

But was a peace, sema tu ujana.
 
Hebu sikikiza ngoma kama tears drop closed casket,sikiliza the good die young,sikiliza so many tears
List ndefu hapa tusije jaza server tu ya jf

Ova
"I send this out to all the former fallen soldiers
that's in the cemeteries buried, Never got to see their dreams"
Moja ya phrase kutoka' the good die young' ambayo huwa naona kama alijiimbia mwenyewe, @26 years ,he was really young.to go down.
Hapa alkitoka jela @ 24 years old , outsmarting journalist
[URLhttps://youtu.be/o9j8fs6SSfc][/URL]
 
Back
Top Bottom