Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenye "hit em up" jamaa aligonga F za kutosha,
Hio nyimbo ni hatari na nusukwenye "hit em up" jamaa aligonga F za kutosha,
Ndio maana ilibidi mpaka auwawe maana si kwa kutukana kuleHio nyimbo ni hatari na nusu
Katukana wote
Big smallz
Lil Kim
Junior Mafia
Pdiddy
Tukana sana aiseee[emoji15]
ilisemekana na faith evance pia aliliwakwenye "hit em up" jamaa aligonga F za kutosha,
Anamwita fat boyNdio maana ilibidi mpaka auwawe maana si kwa kutukana kule
[emoji3][emoji3]makavel atariilisemekana na faith evance pia aliliwa
ukiona mtu anakwambia ni mhuni anaigavtu,mhuni wa kweli alikuwa 2pac.katukana sana kwenye hiyo diss track alafu maneno anavyoyatamka utafikir anatafuna karanga.Hio nyimbo ni hatari na nusu
Katukana wote
Big smallz
Lil Kim
Junior Mafia
Pdiddy
Tukana sana aiseee[emoji15]
Anamwambia lil Kim she got popped,mopped and dropped [emoji1]ukiona mtu anakwambia ni mhuni anaigavtu,mhuni wa kweli alikuwa 2pac.katukana sana kwenye hiyo diss track alafu maneno anavyoyatamka utafikir anatafuna karanga.
[emoji3][emoji3][emoji3]Anamwambia lil Kim she got popped,mopped and dropped [emoji1]
No faith alienda LA na mishe zake, wakati huo uhasama umeshika Kasi kweli ,na Faith alikuwa demu wa BIG ile pika pakua...ilisemekana na faith evance pia aliliwa
huo mstar pac anautamka kihuni sana[emoji3][emoji3]No faith alienda LA na mishe zake, wakati huo uhasama umeshika Kasi kweli ,na Faith alikuwa demu wa BIG ile pika pakua...
Demu aliona uhasama umefika pabaya ,kosa alilofanya alivyofika LA akaona atumie hyo nafasi kukutana na akina Suge knight wayamalize Kama brothers n sisters
Demu SI akaenda Hadi studio likawa bonge la kosa washkaji wakapiga picha picha nae halafu story ikabadilishwa na Ngoma ikatoka ukichek Kuna line moja inasema "you claim to be a player but I f**k your wife"
Na zile picha daaah ikawa bonge la noma na nusu
Lissu alipigwa risasi ngapi? Ilikua Ni zamani Sana?hivi silaha za zaman hazikuwa hatar sana au.maana nimekuwa naskia wana hip-hop weng wa marekan walikuw wanatandikwa risasi wenyew kwa wenyew ila kifo mara chache sana.nimekuwa nasikua kina 50cent kupigwa risasi,2pac kabla ya stuation ya mwisho kuuliwa nasikia huko nyuma waliwah kummimina risasi na hakufa,huku bongo risas moja tu inakuondoa dunian.
naomba kueleweshwa hapa
lissu ni msanii??,alafu mi nimelenga huko americaLissu alipigwa risasi ngapi? Ilikua Ni zamani Sana?
Msanii gani alipigwa risasi hapa bongo?lissu ni msanii??,alafu mi nimelenga huko america
endelea kulegeza mwiliMsanii gani alipigwa risasi hapa bongo?
Endelea kufikiria kazi ya fuvu Ni kubeba meno.endelea kulegeza mwili