Tupande miti kwa wingi ili kuishukuru asili kwa kutulea

Tupande miti kwa wingi ili kuishukuru asili kwa kutulea

Killing machine

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
2,052
Reaction score
2,995
Miti hupunguza ongezeko la joto kwenye mzaingila yetu kwahiyo

tujitahidi angalau kila nyumba iwe na miti kulingana na ukubwa wa eneo lake

Miti hunyonya hewa chafu kwenye mazingila yetu na hutupa hewa Safi kwenye mazingila yetu

hivyo mti mmoja nyumbani kwako unathamani kubwa sana juu ya maisha yako na afya yako

Miti huzuia au kupunguza Kasi ya vimbunga/upepo kwenye mazingila yetu

Hivyo panda miti kuizunguka nyumba yako uiepuke dhahama ya vimbunga na upepo mkali

Miti nichanzo Cha vitamins zinazo tokana na matunda Kama embe,rimao,palachichi,chungwa,Nazi,koma manga,Pera,korosho, nk

Hivyo panda miti ya matunda kuizunguka nyumba yako kwa afya Bora ya familia yako na kizazi chako kijacho

Miti hupunguza au kuzuia kabisa mmomonyoko/mapolomoko ya udongo Kama Yale ya kule hanangi,mbeya nk

Hivyo kila mamlaka mikoani inapaswa kuitambua thamani ya miti nakuweka sheria zitakazo ilinda miti dhidi ya ukuwaji wa miji na makazi ya watu

Miti nikivutio au makazi ya viumbe kama.ndege🐦, vipepeo,mijusi,vinyonga,nyani/monkeys nk.

Hivyo panda miti wanao Wawa jue viumbe wanao wazunguka

Kumbuka kila palipo nyumba au jengo palikuwa na miti mingi

hivyo panda miti Kama unaona Kuna nafasi ili kuitukuza asiri hakika itakutukuza pia

Kila palipo balabala palikuwa na miti
hivyo tupandeni miti pembezoni mwa barabara zetu itatu saidia kwa vivuli na matunda

Miti nimaisha,miti Ni afya,
miti ni uhai

Niuhai kwani hutunza maji kwa kuzuia uvukishaji/evaporation nakuiacha aridhi yetu ikiwa na unyevu unyevu
hivyo tupande miti kuliepuka joto

Joto la dareslaam linaweza kupungua mpaka kufikia hata nusu ya joto hili Lili lopo Sasa hivi

Iwapo tu Kama kila nyumba angalau. itakuwa na miti mitatu au minne

Tupande miti ya matunda kuya zunguka mashamba yetu tutakuja kufaidika nakama sio sisi Basi vizazi vyetu vitafaidika

tupande miti ya matunda kuzunguka bustani zetu kwa faida za kiafya na kimazingila

Tupande miti ya matunda kuzunguka parkings zetu za magali kwa faida za wageni wetu au wapita njia na sisi wenyewe

Tupande miti kuzunguka vuwanda vyetu

Tupande miti ya matunda kuzunguka fance za nyumba zetu miti itakuja kutuludishia shukrani kipindi Cha vimbunga

Tupande miti ya matunda kwenye round about zetu watoto wa mitaani wale matunda humo washibe waache kuombaomba mitaani

Panda miti popote uonapo panastahili kupandwa mti

Tenga japo siku moja kwa ajili ya kupanda mti japo mmoja

kwenye matembezi yako au mazingila yanayo kuzunguka nawe utabalikiwa

Ndugu zangu miti ni maisha hivyo basi natupande miti
ili kuya Linda maisha

na tusifanye kwa faida Bali tufanye Kama shukrani kwa asiri iliyo tulea

tufanye Kama sehemu ya kumshukulu kwa kutupa dunia yetu nzuli na yeye atatu baliki...


Screenshot_20241110-090607_1.jpg
Screenshot_20241110-090628_1.jpg
Screenshot_20241110-090628_1.jpg
1730822407102.jpg



Screenshot_20241110-090607_1.jpg
1730822407102.jpg
 
Mada nzuri sana .
Asante kwa kutukumbusha.
NAKAZIA
msimu wa mvua za masika umekaribia,mvua zimekaribia kuanza kunyesha ni muda mzuri kupanda mimea.
Tupande miti kwenye viwanja vyetu
Pia tupande maua ,na mboga mboga za majani.
Faida ya kimvuli,chakula matunda,hewa safi,kupunguza joto lukuki za kiafya na kutunza mazingira ili mazingira yatutunze.
Hapa mkoani nilipanda mipasheni last year muda wa mwaka mmoja tu navuna mapasheni ya juisi leo nomekunywa juisi ya mapasheni nikiyopanda hapa kuzunguka nyumba yangu mwaka jana tu,mboga za majani matembele,majani ya maboga.
Miti ya matunda mengine ndio bado inaendelea kukua mwaka jana nimehamia hapa huu mkoa semi arid nusu jangwa pakame na jua kali lakini sasa hivi nimepabadilisha kwa mimea mbalimbali niliyopanda.
 
Planting trees in high latitudes or open grasslands may not be a wise idea for several reasons:

1. Climate Adaptation: Trees typically require specific climate conditions to thrive, including temperature ranges, moisture levels, and soil types. High latitudes or grasslands may have extreme conditions that are not suitable for most tree species, leading to poor growth or even tree mortality.


2. Ecological Disruption: Grasslands are often finely balanced ecosystems that support diverse species of grasses and herbivores. Introducing trees could disrupt these ecosystems by changing the microclimate (e.g., increasing shade, altering soil moisture), which might negatively affect the native species that are adapted to open, sunny environments.


3. Invasive Species Risk: Non-native trees planted in these regions could become invasive, outcompeting native plant species and altering the natural landscape. Invasive trees could change soil composition, fire regimes, and nutrient cycles, making it harder for native plants and animals to survive.


4. Soil and Hydrology Issues: Trees require a different hydrological regime than grasslands, often consuming more water. In areas where water is scarce or where grasslands rely on particular moisture patterns, planting trees could alter water availability, affecting other plant species and local wildlife.


5. Fire Risk: In many open grasslands, fires are a natural part of the ecosystem, and they help maintain the balance of grasses and other plants. Trees can increase fuel load, changing the fire dynamics and potentially leading to more intense and destructive fires.


6. Carbon Sequestration Potential: In some cases, planting trees in these areas might not significantly increase carbon sequestration. Grasslands can be highly effective at storing carbon in the soil, and converting them to forests might not be as beneficial for carbon capture as leaving them as grasslands or restoring degraded grasslands.



For these reasons, it's important to carefully consider the ecological context before attempting large-scale tree planting in high-latitude regions or open grasslands. Sustainable land management practices that align with local ecosystems are key to preserving biodiversity and promoting long-term environmental health.
 
Usipande
Mada nzuri sana .
Asante kwa kutukumbusha.
NAKAZIA
msimu wa mvua za masika umekaribia,mvua zimekaribia kuanza kunyesha ni muda mzuri kupanda mimea.
Tupande miti kwenye viwanja vyetu
Pia tupande maua ,na mboga mboga za majani.
Faida ya kimvuli,chakula matunda,hewa safi,kupunguza joto lukuki za kiafya na kutunza mazingira ili mazingira yatutunze.
Hapa mkoani nilipanda mipasheni last year muda wa mwaka mmoja tu navuna mapasheni ya juisi leo nomekunywa juisi ya mapasheni nikiyopanda hapa kuzunguka nyumba yangu mwaka jana tu,mboga za majani matembele,majani ya maboga.
Miti ya matunda mengine ndio bado inaendelea kukua mwaka jana nimehamia hapa huu mkoa semi arid nusu jangwa pakame na jua kali lakini sasa hivi nimepabadilisha kwa mimea mbalimbali niliyopanda.
Usipande tu miti ilimradi bila kufuata maelekezo ya mtaalam ni wapi upande mti na wa aina gani?!
 
Usipande

Usipande tu miti ilimradi bila kufuata maelekezo ya mtaalam ni wapi upande mti na wa aina at
Kuna vitu Havi hitaji utaalamu Sizani Kama una weza kupanda mpapai au mnazi kalibu na nyumba

Utaalamu ndiyo unao iludisha dunia nyuma

Utaalamu ndiyo chanzo Cha ujio wa chainsaw

Utaalamu ndiyo chanzo Cha kumwagwa kwa chemicals baharini

Utaalamu ndiyo chanzo Cha ongezeko la cabon angani

Utaalamu ndiyo umeleta covid,hiv,ebora,

Na utaalamu ndiyo chanzo tume pata Uhuru lakini bado tuna tumia Sheria za kikoloni mpaka leo

Hivyo utaalamu ni kuchelewesha mambo
 
Kuna vitu Havi hitaji utaalamu Suzanna Kama una weza kupanda mpapai au mnazi kalibu na nyumba

Utaalamu ndiyo unao iludisha dunia nyuma
mi nimepanda milimao,miparachichi,mipapai,mipassion,miembe,maua mboga mboga,mipera n.k nyumbank kwangu
Sikuona haja ya kumtafuta mtaalamu.
Mana nilitumia uzoefu wa kijamii na mazoea
ILA USHAURI ALIOUTOA NAUCHUKUA naheshimu sana taaluma ,next time nitawaona wataalamu najua nitajifunza kitu ,nitaboresha zaidi.
 
Asante kwa mada nzuri sana inayohusika na uhai wetu.. Kwa bahati mbaya uchangiaji utakuwa wa chini maana wandewa hizi sio habari zao penda
Kwa mfano kwenye hii mada yangu hapo chini kwa asilimia 90 naisongesha mwenyewe

Mshana napenda kukushukuru sijui kama ulinisabanishia au laa.

ila mpaka sasa mambo yanaenda sawa japo sijapata mwenza wa kukaa nae but hawa wa kupita pita wa rika langu alhamdullilaah..

Kingine mkuu hapa nina ofisi yangu huyu jirani yangu yeye ni mtu wa nyanga sana anasema analinda ofisi yake..

Ila mimi hayo mambo wala sijawahi waza na show inaenda safi kabisa..

Ila juzi kati hapo ilitomea kunguru akaingia ofisinj kwangu.
Yule jamaa angu akasema hapo kuna kitu..

Mi zangu ni dua tu mana ni muislam safi kabisa huwa nasoma soma tuu visura vitatu alafu nakua na imani..

Je mkuu naweza fanya kitu kwa ajiri ya ofisi au nikomae tuu na mambo yangu....???

Japo ni.nje ya mada mkuu
 
Planting trees in high latitudes or open grasslands may not be a wise idea for several reasons:

1. Climate Adaptation: Trees typically require specific climate conditions to thrive, including temperature ranges, moisture levels, and soil types. High latitudes or grasslands may have extreme conditions that are not suitable for most tree species, leading to poor growth or even tree mortality.


2. Ecological Disruption: Grasslands are often finely balanced ecosystems that support diverse species of grasses and herbivores. Introducing trees could disrupt these ecosystems by changing the microclimate (e.g., increasing shade, altering soil moisture), which might negatively affect the native species that are adapted to open, sunny environments.


3. Invasive Species Risk: Non-native trees planted in these regions could become invasive, outcompeting native plant species and altering the natural landscape. Invasive trees could change soil composition, fire regimes, and nutrient cycles, making it harder for native plants and animals to survive.


4. Soil and Hydrology Issues: Trees require a different hydrological regime than grasslands, often consuming more water. In areas where water is scarce or where grasslands rely on particular moisture patterns, planting trees could alter water availability, affecting other plant species and local wildlife.


5. Fire Risk: In many open grasslands, fires are a natural part of the ecosystem, and they help maintain the balance of grasses and other plants. Trees can increase fuel load, changing the fire dynamics and potentially leading to more intense and destructive fires.


6. Carbon Sequestration Potential: In some cases, planting trees in these areas might not significantly increase carbon sequestration. Grasslands can be highly effective at storing carbon in the soil, and converting them to forests might not be as beneficial for carbon capture as leaving them as grasslands or restoring degraded grasslands.



For these reasons, it's important to carefully consider the ecological context before attempting large-scale tree planting in high-latitude regions or open grasslands. Sustainable land management practices that align with local ecosystems are key to preserving biodiversity and promoting long-term environmental health.
Haya Mambo ya utaalamu mkuu Ni upuuzi mtupu panda miti popote unapo ona Pana hitaji mti

Kitaalamu hata mdudu akikuingia jichoni inabidi uende hospital akatolewe na doctor hata Kama unaweza kumtoa

Sasa huko so kucheleweshana kupona?
 
Haya Mambo ya utaalamu mkuu Ni upuuzi mtupu panda miti popote unapo ona Pana hitaji mti

Kitaalamu hata mdudu akikuingia jichoni inabidi uende hospital akatolewe na doctor hata Kama unaweza kumtoa

Sasa huko so kucheleweshana kupona?
Panda mti pale kwenye asili ya miti sio popote jaribu kuheshimu taaluma ya watu ndio maana Mungu kaweka maeneo ya nyasi, jangwa, barafu na misitu
 
Kuna vitu Havi hitaji utaalamu Sizani Kama una weza kupanda mpapai au mnazi kalibu na nyumba

Utaalamu ndiyo unao iludisha dunia nyuma

Utaalamu ndiyo chanzo Cha ujio wa chainsaw

Utaalamu ndiyo chanzo Cha kumwagwa kwa chemicals baharini

Utaalamu ndiyo chanzo Cha ongezeko la cabon angani

Utaalamu ndiyo umeleta covid,hiv,ebora,

Na utaalamu ndiyo chanzo tume pata Uhuru lakini bado tuna tumia Sheria za kikoloni mpaka leo

Hivyo utaalamu ni kuchelewesha mambo
Utaalamu ndio uliokupa smartphone
Smart tv
Social media
Utaalam ulikupa mavazi nadhani badala ya magome ya miti
Utaalam umekupa ndege, gari na treni ya umeme.
Utaalam una positives na negatives tujarib kugeuza uwe positives ndio maana tunapambania clean energy huko tunakoenda mkuu. Hujui lolote kuhusu kupanda miti omba uelimishwe na uelekezwe
 
Miti ni muhimu sana. Hasa miti yenye faida kama mboga na matunda. Usikose mkisamvu nyumbani.
Kuna vitu vina shangaza Sana
Yani mtu Tena msomi mzuli tu anajenga nyumba nzuli lakini Hana miti nyumbani

Sijui Wana Soma shule gani Hawa na jua likiwaka Sana anakimbilia ndani
 
Mshana napenda kukushukuru sijui kama ulinisabanishia au laa.

ila mpaka sasa mambo yanaenda sawa japo sijapata mwenza wa kukaa nae but hawa wa kupita pita wa rika langu alhamdullilaah..

Kingine mkuu hapa nina ofisi yangu huyu jirani yangu yeye ni mtu wa nyanga sana anasema analinda ofisi yake..

Ila mimi hayo mambo wala sijawahi waza na show inaenda safi kabisa..

Ila juzi kati hapo ilitomea kunguru akaingia ofisinj kwangu.
Yule jamaa angu akasema hapo kuna kitu..

Mi zangu ni dua tu mana ni muislam safi kabisa huwa nasoma soma tuu visura vitatu alafu nakua na imani..

Je mkuu naweza fanya kitu kwa ajiri ya ofisi au nikomae tuu na mambo yangu....???

Japo ni.nje ya mada mkuu
Usijali kuwa nje ya mada
1. Asante kwa mrejesho
2. Usitishike na jamaa maana miungu yake haina nguvu kama Mungu wako
3. Usitoke nje ya mstari baki na msimamo wako utakuja ona faida yake
Sanasana tumia tiba ya chumvi kwa ulinzi, mvuta na kinga
 
Usijali kuwa nje ya mada
1. Asante kwa mrejesho
2. Usitishike na jamaa maana miungu yake haina nguvu kama Mungu wako
3. Usitoke nje ya mstari baki na msimamo wako utakuja ona faida yake
Sanasana tumia tiba ya chumvi kwa ulinzi, mvuta na kinga
Asante sana mkuu...
Asante sana tena sana katika watu ambao wanafatilia usemayo na mi ni miongoni mwao...

Tazingatia yote haya mkuu shukrani sana na uwe na siku njema mkuu
 
Back
Top Bottom