Tupate uthibitisho wa tuhuma zinazomkabili ASP Jumanne shahidi Na. 8 wa Jamhuri kesi ya Mbowe

Tunaweza kuamini hivyo lakini si kwa nchi ambayo imegubikwa na vyeo vya kihisani. Tujiulize ni kwanini hadi sasa Jumanne hajafunguliwa mashtaka kesi ya kumbambikia mstaafu meno ya tembo? Tujiulize kwanini jaji anatumia nguvu kubwa kuwahami jamhuri pale walipoyapuyanga? Tujiulize kwanini wako watu wanashangilia na kufurahi Mbowe na wenzake kuwa ndani muda wote huo???
Haki haiombwi
 
Ni kweli wanafunika ukweli hii haikubaliki sehemu yeyote eti Jambazi anaenda kutoa ushahidi kisa ni polisi...
 
Upo sahihi Mkuu
 
Wamewatafuta mashetani katika maumbo ya wanadamu wawe mashahidi, na pia wawe watoa hukumu.

Mpaka sasa, tangu kesi ianze, mashahidi na majaji, wote ni lile kundi moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…