Tupe experience yako! Siku ulipomuazimisha au ulipoazimishwa gari na Rafiki au jamaa yako nini kilitokea?

Tupe experience yako! Siku ulipomuazimisha au ulipoazimishwa gari na Rafiki au jamaa yako nini kilitokea?

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Wakati kazi inaendelea kule kwingine ni people's power

Tushuke kwenye mada Nini kibaya kiliwahi kutokea Ile siku ulipomuazimisha au ulipoazimishwa mchuma/mkoko/dinga na Rafiki yako au jamaa yako
 
IMG-20240916-WA0082.jpg
 
Jamaa alinipa gari haina mafuta sikua nimezingatia akijua naenda mbali lazima linizimikie bahati sikwenda mbali ila wakati narudi ndio chuma ikaanza kunipa ishara kwenye dashboard kwamba haina mafuta nikaipush mpaka nikaifikisha jamaa alishangaa nimewezaje maana yeye alijua sifiki popote na yale mafuta, tukaichukua chuma cha kwanza jamaa aliwahi sheli kuijaza mafuta sema kesho yake ilibidi akaifanyie service, usiniulize kwanini
 
Dah!! Nilimpaga dogo janja mmoja gx100, nikakuta kaingia nayo mpaka sebuleni 🤣 vile vi kota vya kigogo kama unaelekea soko la karume.

Mwenye nyumba alikua maza maza flani hivi mshamba tu akaja na moto balaa, makelele kibao, nikaona huyu nikimuendekeza atazidi kuniharibia siku tu.

Nikamwambia kama unaona hatuwezi kuelewana basi twende polisi, gari yangu inabima, itabidi polisi wawaite watu wa bima waje kufanya tathmini, ili wakujengee ukuta mwingine, na zoezi hilo linaweza kuchukua hata mwezi mzima kukamilika( nikamuona mwenyewe anaanza kurudi kwenye meza ya mazungumzo.)

Nikanunua cement na tofali nikalipa mafundi huyoo nikaenda zangu gereji kuumizwa na fundi.

Asee saiv nitakuazima gari kama na wewe una gari mzee, ili likitokea la kutokea natumia ndinga yako wakati unairekebisha yangu.
 
Dah!! Nilimpaga dogo janja mmoja gx100, nikakuta kaingia nayo mpaka sebuleni 🤣 vile vi kota vya kigogo kama unaelekea soko la karume.

Mwenye nyumba alikua maza maza flani hivi mshamba tu akaja na moto balaa, makelele kibao, nikaona huyu nikimuendekeza atazidi kuniharibia siku tu.

Nikamwambia kama unaona hatuwezi kuelewana basi twende polisi, gari yangu inabima, itabidi polisi wawaite watu wa bima waje kufanya tathmini, ili wakujengee ukuta mwingine, na zoezi hilo linaweza kuchukua hata mwezi mzima kukamilika( nikamuona mwenyewe anaanza kurudi kwenye meza ya mazungumzo.)

Nikanunua cement na tofali nikalipa mafundi huyoo nikaenda zangu gereji kuumizwa na fundi.

Asee saiv nitakuazima gari kama na wewe una gari mzee, ili likitokea la kutokea natumia ndinga yako wakati unairekebisha yangu.
🤣Kwamba ili apate uchungu
 
Back
Top Bottom