Tupe kumbukumbu yako, ni kwa namna gani "Umakini" uliathiri mahusiano yako?

Tupe kumbukumbu yako, ni kwa namna gani "Umakini" uliathiri mahusiano yako?

Raphael focus

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2018
Posts
779
Reaction score
4,564
Habari ya muda huu wana MMU!

Kama mada inavyo jieleza hapo juu, sote tunatambua kuwa "umakini" ni jambo la muhimu kuzingatiwa katika mahusiano.

Kutokuwa makini kati ya wenza wawili kumepelekea mifarakano na hata kuchangia kuvunjika kwa mahusiano.

Kutokuwa makini katika mahusiano kumepelekea baadhi ya wanawake kushika ujauzito na baadhi ya wanaume kusababisha ujauzito bila kutegemea.

Kutokuwa makini kwenye mahusiano kumepelekea michepuko kusababisha/kusababishiwa mimba nnje ya ndoa zao.

Huu ni mfano wa picha unaobeba maana harisi ya neno "Umakini"

FB_IMG_16130001049986832.jpg

Japokuwa picha hiyo apo juu haijabeba hoja iliyo husiana na "mahusiano ya kimapenzi"

Lakini utagundua kuwa, jinsi mtu wa kurekodi video alivyokosa umakini kwenye kazi yake na kupelekea kutotunza kumbukubu ya matukio ya harusi kwa njia ya video.

Hebu tuludi kwenye mada "ni kwa namna gani umakini uliathiri mahusiano yako?
 
binafsi me nilimpa mpenzi wangu umakin alkua ndo yupo form 3 nilkua ctaki kumuharibia masomo nilimiheshimu sana bby wangu.Kumbe cjui aliona kama nimedharau show nilkua napiga mara moja moja tena kwa tahadhari kubwa.Alipata mimba ckutaka kujua hata ni nani alie mpa so nikamuacha kisirisiri ila baada ya yeye kuzaa nilimrudia kisirisiri japokua penzi lilkua cyo kama zaman.
 
binafsi me nilimpa mpenzi wangu umakin alkua ndo yupo form 3 nilkua ctaki kumuharibia masomo nilimiheshimu sana bby wangu.Kumbe cjui aliona kama nimedharau show nilkua napiga mara moja moja tena kwa tahadhari kubwa.Alipata mimba ckutaka kujua hata ni nani alie mpa so nikamuacha kisirisiri ila baada ya yeye kuzaa nilimrudia kisirisiri japokua penzi lilkua cyo kama zaman.
[emoji848][emoji848][emoji848] kwahiyo uliweza kung'amua kuwa mtoto yule alikuwa ni wako?
 
Back
Top Bottom