Nafikiri tuna tatizo la weledi kwa watu wetu wa usalama.Hivi kweli kwa technology ya sasa inahitaji adui kupanda ghorofa ili haidhuru Ikulu? Sasa hivi adui anaweza kuweka on target miji mikubwa ya Marekani akiwa Seoul Korea bila kusafiri.Labda mniabie ulinzi wetu wa zamani, wa kurusha mawe.Ninachoweza kushauri kama jengo limekiuka utaratibu kwa kuongeza ghorofa basi ziitaifishwe,period.Mambo eti ya usalama ni nonsense.Kama serikali wanaogopa basi hilo jengo liwe restricted,ziwekwe detector machine na kamera chini unapoingia kwenye jengo hilo.Gharama itapungua kuliko kupunguza ghorofa.