TECNO Tanzania
Senior Member
- Jul 6, 2016
- 192
- 217
Habari Ndugu!
Ikiwa tume uwanza mwaka mpya basi nasi tunataka tukuhudumie kwa viwango vya juu kabisa kwa mwaka huu kwa kuwaletea matoleo mazuri zaidi na ya kisasa.
Leo tujadiliane kitu kimoja. Kwa namna moja ama nyingine simu zetu za TECNO zimekuwa na watumiaji wengi sana hapa nchini. Huku ikionesha kuwa asilimia kubwa ya watanzania hupendelea na huvutia wa na sifa tofauti tofauti pale wanapotaka kununua simu.
Je wewe ukiwa kama mtumiaji wa simu janja ni sifa gani zaidi zinakuvutia unapotaka kununua simu mpya ni Camera, Battery kubwa, Storage kubwa, Design, Price au Processor.
Kwa mawasiliano na taarifa zaidi piga simu namba 0744 545 254 au 0678 035 208.
Ikiwa tume uwanza mwaka mpya basi nasi tunataka tukuhudumie kwa viwango vya juu kabisa kwa mwaka huu kwa kuwaletea matoleo mazuri zaidi na ya kisasa.
Leo tujadiliane kitu kimoja. Kwa namna moja ama nyingine simu zetu za TECNO zimekuwa na watumiaji wengi sana hapa nchini. Huku ikionesha kuwa asilimia kubwa ya watanzania hupendelea na huvutia wa na sifa tofauti tofauti pale wanapotaka kununua simu.
Je wewe ukiwa kama mtumiaji wa simu janja ni sifa gani zaidi zinakuvutia unapotaka kununua simu mpya ni Camera, Battery kubwa, Storage kubwa, Design, Price au Processor.
Kwa mawasiliano na taarifa zaidi piga simu namba 0744 545 254 au 0678 035 208.