Tupeane ABC, faida na Changamoto na namna ya kuzitatua kwa matangazo ya Instagram

Tupeane ABC, faida na Changamoto na namna ya kuzitatua kwa matangazo ya Instagram

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Habari wakuu.

Hivi karibuni nimeanza kutangaza biashara instagram. Kwa kweli kuna tofauti kubwa kati ya biashara inayotangazwa na isiyotangazwa ila changamoto ni nyingi sana. Mara hela usikatwe na wasilipromote. Mara waseme hawawezi kutangaza, wanafungia account nk. Changamoto ni nyingi na zinakera sana. Na ukiingia online hukuta solution za maana zaidi ya watu wanaolalamika.

Hebu tupeane ABC za kutangaza insta, faida, changamoto na jinsi ya kuzitatua.
 
Kiukweli Instagram wanaboa mno. Mimi pia nimekuwa mhanga sana wa mambo yao. Utakuta taratibu zote umefuata lakini basi app inagoma kupromote. Kiukweli mimi sina mbinu maalum ya kutatua zaidi ya kuachana nao hadi pale wanapojiseti wenyewe.
 
Step ya kwanza ni kubadilisha account yako kutoka personal kuwa business account. Nenda kwenye setting. Nenda kwenye account halafu shuka chini sehemu ya switch to business account.

Hapo itakuelekeza yenye mambo ya kujaza. Ambayo ni pamoja na aina ya biashara na njia yw malipo.
 
Kiukweli Instagram wanaboa mno. Mimi pia nimekuwa mhanga sana wa mambo yao. Utakuta taratibu zote umefuata lakini basi app inagoma kupromote. Kiukweli mimi sina mbinu maalum ya kutatua zaidi ya kuachana nao hadi pale wanapojiseti wenyewe.
Watu wengi mtandaoni wanalalamika hilo suala na hakuna njia ya utatuzi. Wengi humo mitandaoni wanasema huwa inajiesolve yenyewe.
 
Step ya pili inakubidi utengeneze face book account na hiyo account. Baada ya hapo tengeneza page ya biashara yako ndani ya hiyo account. Utailink account yako ya instagram na hiyo account ya facebook.

Unavyokuwa unatengeneza account yako ya biashara ya instagram kuna step itakuambia link na facebook account. Hapo ndiyo unakubali. Ukifika hapo unaweza kupromote post unazoweka humo. Hakikisha tu account ya malipo ina pesa na picha au video unazotaka kusponsor zimekizi vigezo. Hasa ubora na urefu kwa video.
 
Bajeti ni ndogo tu. Unaweza hata kutumia dola moja kwa siku. Kama 2,400. Pia kuna sehemu ya kuchagua audience. Unaweza chagua umri wa unaowatangazia, mji au nchi unakotaka kutangaza nk.
 
Step ya pili inakubidi utengeneze face book account na hiyo account. Baada ya hapo tengeneza page ya biashara yako ndani ya hiyo account. Utailink account yako ya instagram na hiyo account ya facebook.

Unavyokuwa unatengeneza account yako ya biashara ya instagram kuna step itakuambia link na facebook account. Hapo ndiyo unakubali. Ukifika hapo unaweza kupromote post unazoweka humo. Hakikisha tu account ya malipo ina pesa na picha au video unazotaka kusponsor zimekizi vigezo. Hasa ubora na urefu kwa video.
Hayo yote yanajulikana ila utakuta tu Insta inazingua huku ukiwa na kibunda cha kutosha kwenye account.
 
Bajeti ni ndogo tu. Unaweza hata kutumia dola moja kwa siku. Kama 2,400. Pia kuna sehemu ya kuchagua audience. Unaweza chagua umri wa unaowatangazia, mji au nchi unakotaka kutangaza nk.
Hivi kwanini ukipick audience wa tanzania kwa ufasaha highest estimated reaches zinakuwa kuanzia 660 hadi 1500 wakati ukipick audiences wamarekani inaleta highest estimated reaches 65 hadi 150 per day kwa dola moja
 
Hivi kwanini ukipick audience wa tanzania kwa ufasaha highest estimated reaches zinakuwa kuanzia 660 hadi 1500 wakati ukipick audiences wamarekani inaleta highest estimated reaches 65 hadi 150 per day kwa dola moja
Sijajaribu kwa Marekani. Ila mimi kwa Tanzania inanileteaga Reach hawa.

Screenshot_20210627-001147.png
 
Hii kitu nafikiria kufanya kwenye biashara yangu. Vipi inaleta matokeo chanya wakuu?
 
Hii kitu nafikiria kufanya kwenye biashara yangu. Vipi inaleta matokeo chanya wakuu?
Mi niliona tofauti kubwa sana. Cha muhimu ni kuchagua Auidience wako vizuri. Biashara yako inaweza uzika ncho nzima, mkoani kwako tu, dunia nzima au wanawake tu, wanaume tu, watu wenye mumri fulani, wapenda misosi, nguo, nk.
 
Wasiliana na customer care wao watakusaidia kunapokua na shida

Link account yako ya Instagram na Facebook, kwenye Facebook kuna sehem ya ku report matatizo , ingia pale report, hakikisha unaandika in details shida yako , na pia uhakikishi emails unazotumia kwenye account zako hizo una access nazo manake ndiko utakapo jibiwa , utapata huduma vizur tu

Kwa sisi ambao tuna mda mrefu hua tuna huduma ya live chat , sijui kama hiyo huduma inapatikana kwa new comers, ila wakongwe ipo

Customer care wao wao vyema sana
 
Wasiliana na customer care wao watakusaidia kunapokua na shida

Link account yako ya Instagram na Facebook, kwenye Facebook kuna sehem ya ku report matatizo , ingia pale report, hakikisha unaandika in details shida yako , na pia uhakikishi emails unazotumia kwenye account zako hizo una access nazo manake ndiko utakapo jibiwa , utapata huduma vizur tu

Kwa sisi ambao tuna mda mrefu hua tuna huduma ya live chat , sijui kama hiyo huduma inapatikana kwa new comers, ila wakongwe ipo

Customer care wao wao vyema sana
Naomba direction sehemu ya kwenda ili kupata huo msaada.
 
Ukiwa na instagram business account unakuwa umeifanya biashara yako ionekane kwa watu unaowataka wewe, sasa inakubidhi uandae contents kwenye eneo lako zitakazowashawishi hao watu wakufuate na kusave hizo contents ulipost kwenye page yako...insta siku hizi wanaangalia post zenye saves nyingi ili kupata high rankings kwenye explore yao
 
Mk
Wasiliana na customer care wao watakusaidia kunapokua na shida

Link account yako ya Instagram na Facebook, kwenye Facebook kuna sehem ya ku report matatizo , ingia pale report, hakikisha unaandika in details shida yako , na pia uhakikishi emails unazotumia kwenye account zako hizo una access nazo manake ndiko utakapo jibiwa , utapata huduma vizur tu

Kwa sisi ambao tuna mda mrefu hua tuna huduma ya live chat , sijui kama hiyo huduma inapatikana kwa new comers, ila wakongwe ipo

Customer care wao wao vyema sana
Mkuu hii shida huwa unasolve vipi? Maana inaweza kaa hata miezi kadhaa.
Screenshot_20210630-145944.png
 
Back
Top Bottom