Tupeane codes mbalimbali za maisha

Tupeane codes mbalimbali za maisha

God Fearing Person

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2020
Posts
767
Reaction score
2,570
Habari ya uzima huu ni Uzi maalumu wa watu kutoa code za maisha ili tufaidike sote.

Mimi leo natoa code mbili.

(Third hand -CODE)

Hii code ya third hand huwa tunaitumia kutengeneza connection na WATU

Unapokutana na MTU hakikisha huyo mtu kuna kitu unamuongezea hii itakufanya wewe masikini uweze kuwa karibu na watu waliojipata kimaisha.

Mfano kuna watu hela sio tatizo Ila wanahitaji ideas mpya ebu hakikisha Una ideas yoyote ya kumpa MTU mwawazo chanya n.k

Kupanda mbegu - hii code itakusaidia kutoishi maisha magumu hakikisha unasaidia Sana WATU kwa njia chanya wema haujawahi kuoza.

Ukimuona MTU Ana uwezo MPE nafasi au Kama nafasi hamna mpe mawazo ya wapi aelekee na safari yake.

Hizo ni code mbili zinasema.

- Plant a good seed that will grow to other .

- Be a third hand to other.
 
Unaposema code unamaanisha nini?

Code - ni pattern au password ambazo sio kila MTU anazijua


Maana wengine wanajua na wengine hawajui kila sehemu kuna code.


Hata mtaani ukiwa hauna code waweza kuuziwa kitu bei juu huku wenzako wanauziwa bure.
 
Tunza nguvu zako za kiume ... utakuja kunikumbuka ukiwa ndani ya ndoa na mpenz wako wa maisha......

Malaya hawafai.....

Vimada havifai...

Tunza nguvu kijana ili usije walaumu boda boda na wauza genge badaye chakula cha uchi sio pesa zako wala muonekano wako mboo.......over
 
Hahahahaha mshkaji anawapa code za maisha ila wabongo mnaamini sana kwenye Imani za kishilikina mfano.. jumvi ya mawe na pilipili kichaaa.
 
uyu ndiye Faustine Jackson Mafwele na namba zake za Simu ni +255 755 855 743 na +255 787 922 913Huyu ameua watu wengi sana Mwanza , sasa ni kiongozi wa utekaji Dar na Tanzania nzima kupitia kituo cha Polisi Chang’ombe Temeka ambapo wana jengo la mateso kwa Watanzania
GVvhRc-XgAAvdew.jpg
 
🙏🙏🙏 sali sana.

Ila usigawe maokoto yako kwa wachungaji wala mahujaji maana asiyefanya kazi hapaswi kula
 
Tunza nguvu zako za kiume ... utakuja kunikumbuka ukiwa ndani ya ndoa na mpenz wako wa maisha......

Malaya hawafai.....

Vimada havifai...

Tunza nguvu kijana ili usije walaumu boda boda na wauza genge badaye chakula cha uchi sio pesa zako wala muonekano wako mboo.......over
😂😂😁😁😁 Ongezea usioe kwa kukurupuka
 
Back
Top Bottom