Tupeane connection za TV za mtumba

Tupeane connection za TV za mtumba

Codename96

Member
Joined
Sep 17, 2020
Posts
90
Reaction score
85
Kama kichwa cha habari kinavyosema.

Ndugu zangu, mimi nataka kununua TV ya mtumba. Ila sijui nianzie wapi. Kariakoo nimeenda ila nimekuta TV nyingi pale ni za dukani (yaani mpya).

Kama kuna chimbo za TV za mtumba pale karikoo basi naombeni mwongozo wenu.

Au kama kuna muuzaji wa TV za mtumba humu basi ajitokeze. Nataka kuchukua TV mbili.
 
Ukifika pale Temeke Sudan ambapo kuna Ofisi nyingi za Bus za Mikoani, ,unapanda na ile barabara ya kwenda Tandika unaipita ile Round About tu hapo kuna Maduka mengi ya TV za Mtumba, Radio za Mtumba Fredge na Baiskeri na huwa kuna Magari ya Rufiji yanapaki.
Kaka nahisi ule mtaa hujapita mda mrefu. Siku hizi pale kuna TV mpya zaidi ila vyombo vya nyumbani ndio vya mtumba. Mi juzi nilienda pale.
 
Kaka nahisi ule mtaa hujapita mda mrefu. Siku hizi pale kuna TV mpya zaidi ila vyombo vya nyumbani ndio vya mtumba. Mi juzi nilienda pale.
Anhaa basi ngoja hivi karibuni nitaenda kukata tiketi nitachunguza kisha nitarudi hapa Mwenyezi Mungu akitujaalia uzima. Maana nilivyopita wiki 2 kadhaa pale round about wanajenga shell sasa upande wa kushoto kwako kuna Maduka ndio TV zipo mpaka karibu na njia panda.
 
Anhaa basi ngoja hivi karibuni nitaenda kukata tiketi nitachunguza kisha nitarudi hapa Mwenyezi Mungu akitujaalia uzima. Maana nilivyopita wiki 2 kadhaa pale round about wanajenga shell sasa upande wa kushoto kwako kuna Maduka ndio TV zipo mpaka karibu na njia panda.
Anhaa! Unazingumzia ule upande wa kule. Ule upande baada ya kuvuka barabara kutoka sheli ?
 
Mie siku zote hudaka apo mjini zenji kwa rafiki yangu abdalla Rashidi jana nimeidaka hii
IMG_20220323_201333.jpg
 
Back
Top Bottom