Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
kuwa makinihii umeidaka kwa ngapi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuwa makinihii umeidaka kwa ngapi mkuu
kila siku unanunua tv?Mie siku zote hudaka apo mjini zenji kwa rafiki yangu abdalla Rashidi jana nimeidaka hiiView attachment 2163690
Hata ukiwa nayo now leta ninunue ngoja nikupe screenshort ya posta nilipoipokeakila siku unanunua tv?
Umakini upi? Mali ya magendo au nini fafanuakuwa makini
Yaan toleo latest kama hili useme ulaji wa umeme ,hata ukienda dukani kama hujui kuchagua vitu ,unachagua by mwonekano na sio spec utapigwa tu niletee tv yenys hiz spec dukani Tanzania kisha nitakupa laki mbili 43PUS8555/12 philips .Toleo ambalo ata ulaya bado liko dukani mkuuKuweni makani nahayo matv ya mtumba kuna mengine yanakula umeme kama pasi [emoji2][emoji23][emoji24][emoji1787]
Sasa mkuu we afadhali unajua kuna wengine hawajui na elimu hiyo hawana sister aliletewa Zawadi Nchi 70 Used Fanaleki matumizi yaumeme yakabadilika nilipokuja kuliona nikamwambia mchawi hii TV Kaiuza kaenda nunua za dukani Samsung latestYaan toleo latest kama hili useme ulaji wa umeme ,hata ukienda dukani kama hujui kuchagua vitu ,unachagua by mwonekano na sio spec utapigwa tu niletee tv yenys hiz spec dukani Tanzania kisha nitakupa laki mbili 43PUS8555/12 philips .Toleo ambalo ata ulaya bado liko dukani mkuu
Mimi kama kitu sikielew lazima niwajuze wataalamu na nikichambue kipengele kimoja baada ya kingine ndio nifanye maamuzi ,amini mzee Used za Uk ni flagship na ni top quality kuliko hiz zinazoletwa huku Mataifa ya kimasikini hazilingani kwa lolote kikubwa kuchagua tu iwe nzima na ujue ni series ipi na ya mwaka gani na ina feature zipi uzitakazoSasa mkuu we afadhali unajua kuna wengine hawajui na elimu hiyo hawana sister aliletewa Zawadi Nchi 70 Used Fanaleki matumizi yaumeme yakabadilika nilipokuja kuliona nikamwambia mchawi hii TV Kaiuza kaenda nunua za dukani Samsung latest
Ni kweli utofauti mkubwa upo macho Tu yanaongea Quality ya picture, colour, mwanga na sound zina kuwa unique kabisa tofauti nahizi Tv za mchina zilizopo madukani.Mimi kama kitu sikielew lazima niwajuze wataalamu na nikichambue kipengele kimoja baada ya kingine ndio nifanye maamuzi ,amini mzee Used za Uk ni flagship na ni top quality kuliko hiz zinazoletwa huku Mataifa ya kimasikini hazilingani kwa lolote kikubwa kuchagua tu iwe nzima na ujue ni series ipi na ya mwaka gani na ina feature zipi uzitakazo
Basi imeisha hio mzeeNi kweli utofauti mkubwa upo macho Tu yanaongea Quality ya picture, colour, mwanga na sound zina kuwa unique kabisa tofauti nahizi Tv za mchina zilizopo madukani.
Fanaleki 🤔?Sasa mkuu we afadhali unajua kuna wengine hawajui na elimu hiyo hawana sister aliletewa Zawadi Nchi 70 Used Fanaleki matumizi yaumeme yakabadilika nilipokuja kuliona nikamwambia mchawi hii TV Kaiuza kaenda nunua za dukani Samsung latest