Codename96
Member
- Sep 17, 2020
- 90
- 85
Kumbe huwa pana TV pale ?Magomeni
Asante kaka. Ule mtaa wenye sheli ?Temeke Sudani kama unaenda Tandika Sokoni
Ukifika pale Temeke Sudan ambapo kuna Ofisi nyingi za Bus za Mikoani, ,unapanda na ile barabara ya kwenda Tandika unaipita ile Round About tu hapo kuna Maduka mengi ya TV za Mtumba, Radio za Mtumba Fredge na Baiskeri na huwa kuna Magari ya Rufiji yanapaki.Asante kaka. Ule mtaa wenye sheli ?
Ukitataka zile za wizi nenda mwananyalaAsante kaka. Ule mtaa wenye sheli ?
[emoji23][emoji23][emoji23]daahUkitataka zile za wizi nenda mwananyala
Kaka umejuaje kuwa ni za wizi ? Labda wanazitoa Zanzibar ?Ukitataka zile za wizi nenda mwananyala
Karibu kuchangia kaka!Sawa Sawa
Kaka nahisi ule mtaa hujapita mda mrefu. Siku hizi pale kuna TV mpya zaidi ila vyombo vya nyumbani ndio vya mtumba. Mi juzi nilienda pale.Ukifika pale Temeke Sudan ambapo kuna Ofisi nyingi za Bus za Mikoani, ,unapanda na ile barabara ya kwenda Tandika unaipita ile Round About tu hapo kuna Maduka mengi ya TV za Mtumba, Radio za Mtumba Fredge na Baiskeri na huwa kuna Magari ya Rufiji yanapaki.
Anhaa basi ngoja hivi karibuni nitaenda kukata tiketi nitachunguza kisha nitarudi hapa Mwenyezi Mungu akitujaalia uzima. Maana nilivyopita wiki 2 kadhaa pale round about wanajenga shell sasa upande wa kushoto kwako kuna Maduka ndio TV zipo mpaka karibu na njia panda.Kaka nahisi ule mtaa hujapita mda mrefu. Siku hizi pale kuna TV mpya zaidi ila vyombo vya nyumbani ndio vya mtumba. Mi juzi nilienda pale.
Temeke Hayo Maeneo Yangu Upate Samsung, LG, PhilipsKaribu kuchangia kaka!
Temeke sehemu gani wanauza ?Temeke Hayo Maeneo Yangu Upate Samsung, LG, Philips
Utasahau Maana Nina Samsung Nilinunua Zanzibar Kama Chuma Nawasha Tu
Anhaa! Unazingumzia ule upande wa kule. Ule upande baada ya kuvuka barabara kutoka sheli ?Anhaa basi ngoja hivi karibuni nitaenda kukata tiketi nitachunguza kisha nitarudi hapa Mwenyezi Mungu akitujaalia uzima. Maana nilivyopita wiki 2 kadhaa pale round about wanajenga shell sasa upande wa kushoto kwako kuna Maduka ndio TV zipo mpaka karibu na njia panda.
Kabisa mimi nilipata Philips yaani kuhusu sauti , sabufa ya sea peano ikasome, ila naitumia kama MonitorTemeke Hayo Maeneo Yangu Upate Samsung, LG, Philips
Utasahau Maana Nina Samsung Nilinunua Zanzibar Kama Chuma Nawasha Tu
hii umeidaka kwa ngapi mkuuMie siku zote hudaka apo mjini zenji kwa rafiki yangu abdalla Rashidi jana nimeidaka hiiView attachment 2163690
700hii umeidaka kwa ngapi mkuu