Habar wakuu,
Nadhani sisi wote tunatumia digital devices lakini shida ya hivi vifaa vinasababisha matatizo ya macho lakini ajabu ni kwamba wapo watu wameajiriwa kama secretary au developers muda mwingi wapo on screen na hawana miwani au matatizo ya macho, sasa najiuliza hawa wanawezaje?
MASWALI YANGU NI HAYA
1. Chanzo cha matatizo ya macho ni mwanga au nikuangalia vitu vya karibu?
2. Je, ni eneo gani la jicho huathirika baada ya kutumia digital device lens, retina au nini?
3. Je, mwanga mkali na mwanga hafifu upi unaumiza macho?
4. Je, mwanga wa jua unaweza kukuathiri pia?
Mimi yangu hayo tu mengine wadau ongezeeni tupeane tips zilizoenda shule madaktari pia mnakaribishwa.
Nadhani sisi wote tunatumia digital devices lakini shida ya hivi vifaa vinasababisha matatizo ya macho lakini ajabu ni kwamba wapo watu wameajiriwa kama secretary au developers muda mwingi wapo on screen na hawana miwani au matatizo ya macho, sasa najiuliza hawa wanawezaje?
MASWALI YANGU NI HAYA
1. Chanzo cha matatizo ya macho ni mwanga au nikuangalia vitu vya karibu?
2. Je, ni eneo gani la jicho huathirika baada ya kutumia digital device lens, retina au nini?
3. Je, mwanga mkali na mwanga hafifu upi unaumiza macho?
4. Je, mwanga wa jua unaweza kukuathiri pia?
Mimi yangu hayo tu mengine wadau ongezeeni tupeane tips zilizoenda shule madaktari pia mnakaribishwa.