Barikiwa mamito.Watu wajf mseme mtu vizuri na mpe like yake. Mie ninao wengi nawapa team yote ya JamiiForums heri ya mwaka mpya kuanzia director, manager na wafanyakazi wote wa JF.
ERoni , Glenn DeepPond sophy27 Cillah mzabzab Depal Lenie Extrovert Unique Flower Kelsea To yeye Love Doctor
Lovelovie Chakorii Bujibuji Simba Nyamaume @wachagaa wote.
Ujumbe mkiwa mnatoapost zenu au kulike kushare mnaleta mvuto kabisaa.
Demi you are my sunshine .na Asprin Daby .
Happy new year
Nakadori Kambi ya Fisi wote Hawa nawapa likes zangu bila kumsahau Lee dronedrake
Aloooh!! Basi ngoja nisubiri ya 3.Alaaaa!! Kaangalie post ile ya kwanza utaona.. Ilikuwa 22 kama sikosei, na tayari nishasema nataka tena
Tunachelekelea kukopa na kuwa na madeni!🤔🤔
Demi mpendwaBarikiwa mamito.
Happy holidays babe'.
Ndio maana watu wanazidi kukopana sana.
Yes mpendwaDemi mpendwa
Usinipe lawama.. Maana wewe hukawiiAloooh!! Basi ngoja nisubiri ya 3.
Lawama muhimu ati!!Usinipe lawama.. Maana wewe hukawii
We unataka kuniroga tu.. Aahh, haya nirogage. Maana nakupa hutaki.Lawama muhimu ati!!
Umezidi kubadili id kqma Osama na weweUmeogopa nini sasa🤣🤣🤣
Tulia wewe papasi🤣🤣🤣Umezidi kubadili id kqma Osama na wewe
Kwakweli itabidi nikuroge tu, maana hamna namna nyingine nitapita kwenye mchujo.We unataka kuniroga tu.. Aahh, haya nirogage. Maana nakupa hutaki.
Hata Mimi nashangaa alizani hatutamshika halafu ananyingi kama osamaUmezidi kubadili id kqma Osama na wewe
Basi nakuapia, haki ya nani, we hata kwenye mchujo hufiki, utapita pila kupingwa, nipo chini ya miguu yako, usiniroge😭Kwakweli itabidi nikuroge tu, maana hamna namna nyingine nitapita kwenye mchujo.
🤣🤣🤣🤣🤣Basi nakuapia, haki ya nani, we hata kwenye mchujo hufiki, utapita pila kupingwa, nipo chini ya miguu yako, usiniroge😭
🤣🤣🤣🤣🤣Hata Mimi nashangaa alizani hatutamshika halafu ananyingi kama osama
Sikufanyii mmbo meusi mzee mwenzangu, 😂🤣🤣we unapita bila kupingwa, kwanza hakuna tena mchujo, ni rasmi we umepita.. Kilichobaki tumalizie process nyingine, mahari nini, tarehe rasmi y tukio, tuwaalike ndugu kadhaa.🤣🤣🤣🤣🤣
Hapo sawa, mie mzee mwenzio bwana. Hupaswi kunifanyia mambo meusi.
Haya ndio mambo sasa. Yaani tangu tuanze hii sasa ndio point😍😍😍😍😍Sikufanyii mmbo meusi mzee mwenzangu, 😂🤣🤣we unapita bila kupingwa, kwanza hakuna tena mchujo, ni rasmi we umepita.. Kilichobaki tumalizie process nyingine, mahari nini, tarehe rasmi y tukio, tuwaalike ndugu kadhaa.
Limeisha hilo mzee mwenzangu, taja mahari kabisa.Haya ndio mambo sasa. Yaani tangu tuanze hii sasa ndio point😍😍😍😍😍