Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kikuu kumbe upo bwana🤣🤣🤣🤣Mmevunja vicoba mmezima simu
Hata sijakumiss.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikuu kumbe upo bwana🤣🤣🤣🤣Mmevunja vicoba mmezima simu
Nimemkumbuka PK naenda kumsalimia.🤣🤣🤣🤣🤣
Unakwenda wapi dogo?
Nafurahi kuona kumbe comments zetu zinamfurahisha mtuTumeitwa kimya kimya mdudu Lenie
Tunapunguza Marafiki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mmevunja vicoba mmezima simu
Je imeishiaje Ile inshu ya kulazwa yule mtu wetu ?Nafurahi kuona kumbe comments zetu zinamfurahisha mtu
Unique Flower me na shoga angu Depal tunakuRavuuuuu😍
Alilazwa usingizi ulivyomuisha akaamka akatokomea kusikojulikanaJe imeishiaje Ile inshu ya kulazwa yule mtu wetu ?
Kwakweli uwakutanishe tu🤣🤣🤣🤣Kuna namna inabidi niwakutanishe live nyie viumbe, sijui hata mtafanyana nini mkikutana live🤣🤣🤣
AlipatikanaAlilazwa usingizi ulivyomuisha akaamka akatokomea kusikojulikana
Wakidaiwa wanawasha
Hahahahahahah umenimis huna loloteee...na nina ujumbe wakoooKikuu kumbe upo bwana🤣🤣🤣🤣
Hata sijakumiss.
Ajeeee huku migombani pia tumfurahishe na mbege 💃Nafurahi kuona kumbe comments zetu zinamfurahisha mtu
Unique Flower me na shoga angu Depal tunakuRavuuuuu😍
Wacha we!! Naona unamuibia maua.Nimemkumbuka PK naenda kumsalimia.
Nimshauri aachane na Tshekedi😂
Siutaki huo ujumbe, baki nao🤣🤣🤣🤣Hahahahahahah umenimis huna loloteee...na nina ujumbe wakooo
Ua moja lilishatoa tunda kitambo mkuu.Wacha we!! Naona unamuibia maua.