Mkuu hapo kuna function inaitwa COUNTIF nakuandalia maelezo mafupi Kwenye clipMkuu Ethos naomba msaada wa kuhesabu 2 items from different column kwa mfano nataka nijue idadi ya toyota istView attachment 442938
UKo sawa mkuu, ila mi nilifikiria kutumia filter ... ila countif ndo inapiga penyeweMkuu hapo kuna function inaitwa COUNTIF nakuandalia maelezo mafupi Kwenye clip
Hapo hapo mkuu mm nataka kuprotect formula mtu mwingine asibadili but awe na accses ya kubadili data tu. Nafanyaje hapo mkuu?home>> Review>> Protect Sheet
Hapo utaweza kuifunga sheet yako mtu mwingine yeyote asi edit au kupunguza kitu unaweza ukaweka password lakini inatakiwa uwe makini kwasababu ukiisahau haiwezi kurudishwa....
We jamaa kabila gani? Mbona huna ustaarabu hata chembe acha hzo bwana unajua ni suala la kuongezea maelezo au kurekebisha but cyo kwa lugha iliyotumia. Jaribu kuwa mstaarabu.Hujui unachokifanya, stop fooling people, haiwezekani. unachotakiwa kufanya ni kuweka apostrophe then numbers.
Select majina cell zote kasoro s/n nenda sort and filter utakuta custom sort chagua column ya total na largest to smallest then dragZiweke alama column ya kwanza kwa majina yote, highlight majina yote na marks zake, light click then select Sort A-Z, ngoma itakupangia flesh
Nalitambua hilo mkuu.. Nilikua safarini kidogo hivyo muda wa kukaa kuandaa video fupi umekua finyu... Pardon my latenessUzi upo kimya kinoma yaani na.kule Telegram ndo naamini majukumu nayo yanachangia ila jitahidi mkuu kwa hilo maan nahitaji msaada kuhusu hii kitu ya pivot table nimejaribu fatilia tutorial videos youtube ila nimetoka kapa nime google wapi samahani mkuu sjui unaweza nisaidiaje lengo nahitaji kufahamu pivot table inahusu nn zaidi,inatumikaje,na jinsi ya kuandaa mkuu maan nmeona ni njia flani ambayo ina rahisisha kazi sana ila sjaelewa kiundan so bado nashauku ya kupata elimu juu ya hii ko mkuu Ethos au yeyote mwenye ufahamu naomba msaada.ahsanteh!
Kama sikosei ukishaprotect cell, kilichopo kwenye hiyo cell ndo kinakuwa protected. Unajua how to protect cell?Hapo hapo mkuu mm nataka kuprotect formula mtu mwingine asibadili but awe na accses ya kubadili data tu. Nafanyaje hapo mkuu?
Uzi upo kimya kinoma yaani na.kule Telegram ndo naamini majukumu nayo yanachangia ila jitahidi mkuu kwa hilo maan nahitaji msaada kuhusu hii kitu ya pivot table nimejaribu fatilia tutorial videos youtube ila nimetoka kapa nime google wapi samahani mkuu sjui unaweza nisaidiaje lengo nahitaji kufahamu pivot table inahusu nn zaidi,inatumikaje,na jinsi ya kuandaa mkuu maan nmeona ni njia flani ambayo ina rahisisha kazi sana ila sjaelewa kiundan so bado nashauku ya kupata elimu juu ya hii ko mkuu Ethos au yeyote mwenye ufahamu naomba msaada.ahsanteh!
Hapana mm najus tu kuprotect the whole sheet. Hebu nielekeze hyo ya kuprotect sheetKama sikosei ukishaprotect cell, kilichopo kwenye hiyo cell ndo kinakuwa protected. Unajua how to protect cell?
Pivot table inasaidia ku-summarise information iliyoandaliwa kwenye Ms Excel.
Mfano unafanya mauzo kwenye duka na kila kitu unakiandika kama kilivyo. Kuna items zitajirudia mara kwa mara kwa siku tofauti tofauti. Utakapohitaji kufocus kwenye specific item / product ndo itakubidi utumie pivot table kwa kuwa makini na nyanja zifuatazo:-
Report filter
Column lebels
Row lebels
na Value
Kama umenielewa vyema sema tuanze kupeana mifanyo hapa hapa.
View attachment 444259
Njia mzuri zaidi ni kuhighlight data zote (mwanafunzi wa kwanza hadi wa mwisho) kisha click sort, chagua customize sort, litakuja dialogue box, chagua column unayotaka kusort(jumla) kisha chagua aina ya sort (A-Z au Z-A) na bonyeza ok. that is all guys.Naomba kujulishwa jinsi ya kuandaa matokeo ya mtihani, jinsi ya kuwapanga wa mwanzo hadi mwisho kwa kuzingatia column ya JUMLA bila kuathiri mpangilio wa alama za masomo kwa kila somo.
Unatumia Ms excel au? Ebu weka hilo file lako alafu upatiwe ufafanuzi haraka haraka ...Ebana mi kwa kazi yangu nahitaji kujua ile sijui pivot table..... yaani inanirahisishia sana kufanya kazi zangu. Ninafanya Simple accounting, Table yangu ina Date, Description, Department, na Amount. Sasa nnachotaka mimi yaani hio Pivot sijui inioneshe summery ya kila department na date zake, only summery, Table ya kawaida ndo itaonesha all details, hii ya pivot ioneshe total amount ya each date on each department
Weka fields / columns ulizonazo kwenye hiyo table yako then uweke sample names let say 20 debtors - utaelekezwa vyema tu!Mkuu msaada tutani lengo langu niwe na kitabu kimoja cha debtors kwenye biashara yangu nime shameshawafungulia kila mmoja acc yake sasa nataka niwe na debtors summary yaani badala ya kuangalia mmoja mmoja niwe naupdate acc zao afu change zitokee moja kwa moja kwenye summary tu kila mmoja anadaiwa sh ngap, sasa nashindwa weka formula mkuu inanipa shida kidogo
Ebu kuwa wazi .. unayajua haya vizuriHapana mm najus tu kuprotect the whole sheet. Hebu nielekeze hyo ya kuprotect sheet