kichwa kikubwa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,273
- 1,703
Ok, tunashukuru kwa utalaamu wako.Safi sana... VLOOKUP hata kama una bidhaa 1000 unaweza Jua bei ya kila kitu au information yeyote ndani ya dakika moja!
Ok, tunashukuru kwa utalaamu wako.
Sasa tukija kwenye matokeo ya mtihani (tuchukulie mtihani wa mwisho wa muhula), nataka kujua idadi ya "A", kwa kila somo,idadi ya " B" kwa kila somo,idadi ya "C" kwa kila somo, idadi ya "D" kwa kila somo,idadi ya "F" kwa kila somo; jumla ya masomo ni 9. Je , nawezaje kuifanya kazi hii kwa wakati mmoja au na kwa formula moja?
Nitashukuru kwa majibu yako.
Subiri nakuletea screenshot soon.Weka sample ya kazi uelekezwe vizuri mkuu
Weka sample ya kazi uelekezwe vizuri mkuu
Weka sample ya kazi uelekezwe vizuri mkuu
Hapa Kwetu JF ni bure just bundle, huko kwenu nako ni bure?Njoo upate hayo maujanja ofisini kwetu The Computer Skills (ComSkills), Makumbusho Business Complex, 2nd Floor kuanzia saa 2 asub mpka 2 usiku. You will not be disappointed. Call 0717718519
Ok, tunashukuru kwa utalaamu wako.
Sasa tukija kwenye matokeo ya mtihani (tuchukulie mtihani wa mwisho wa muhula), nataka kujua idadi ya "A", kwa kila somo,idadi ya " B" kwa kila somo,idadi ya "C" kwa kila somo, idadi ya "D" kwa kila somo,idadi ya "F" kwa kila somo; jumla ya masomo ni 9. Je , nawezaje kuifanya kazi hii kwa wakati mmoja au na kwa formula moja?
Nitashukuru kwa majibu yako.
Sasa we jamaa, uliyoitoa inakuwa kama manually kwa kuwa kila somo itanibidi nitafute idadi ya A peke yake kwanza, kisha B+ peke yake, kisha B peke yake, kisha C peke take, n.k yaani mpaka masomo yote 9 ni shughuli.tumia formula hii ya count if ambayo ipo ka ifuatavyo =COUNTIF(D5:51,"*C*") nb d5:d51 zina badilika hiyo c inabadilika kutokana na nini unataka kukihesabu mfano inaweza ikawa A, B, C D
hiyo inaweza kufanya kwa kuandika =countif( halafu utaselect sehemu zote unazotaka uhesabu theni utaandika alama ya koma , halafu ikifuatiwa na "*C*") then utapless enter utapata majibu. ila kama kuna njia nyingine ndio tushirikishane hapaSasa we jamaa, uliyoitoa inakuwa kama manually kwa kuwa kila somo itanibidi nitafute idadi ya A peke yake kwanza, kisha B+ peke yake, kisha B peke yake, kisha C peke take, n.k yaani mpaka masomo yote 9 ni shughuli.
Sasa mi nataka formula ya ku-process masomo yote 9 na kwa wanafunzi wote (hata wakiwa 600 kwa mfano) ili nipate summary ya jumla ya grades hizo kwa kila somo kwa wanafunzi wote.
Wadau,
Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana...
Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote..
Unaweza pandishwa CHEO au Kupata kazi kirahisi Kwa kujua EXCEL vizuri.. Watanzania wengi udhaifu wao upo hapo.. So Unaifanya WEAKNESS hiyo kuwa Strength kwako.Kwenye Ofisi yeyote mtu ambaye haogopi excel huwa anaonekana ni kichwa sana.. unaweza pia ukamvutia bosi wako kama utaijua kumshinda yeye na atakufanya rafiki yako ili usimuumbue...
Kwenye Interview ndio utawamaliza kabisa ..ukikutana na viherehere wakakuchokoza hapo ndio unawaonesha ujuzi wako wote... wengi huwa hawaijui kwasababu ya uvivu... Kwa hiyo usiogope..Niliwahi ulizwa swali na panelist kwenye Interview nikaenda deep mpaka akaogopa maana kuna vitu alikuwa havijui na yeye akaamua apotezee hilo swali akarukia kitu kingine kukwepa aibu..
Weka Trick yako hapo chini ili wengine wafaidi au kama unaswali uliza nitakujibu mimi au wadau wengine...
Ingependeza sana pale unapokwama uulize swali hapa.. Ili tujadiliane vitu ambavyo ni useful katika mazingira yetu ya shule au kazini...
Dunia ya sasa sio lazima uende darasani.. Unaweza tumia muda wako na MB zako vizuri mtandaoni na ukaongeza Ujuzi polepole
**Kama unatafuta kazi na umeandika Kwenye CV kwamba una ujuzi na Excel fuatilia huu uzi na group uwe updated na vitu mbalimbali ili usije umbuka siku ukiwa unafanya written au Oral Interview
** Nitakuwa naelezea Common questions ambazo waajiri hupenda kuuliza kukupima uelewa wako katika Spreadsheets.. Ni Muda na MB zako tu.. Sihitaji kingine...
Please NOTE
** Usiulize kitu unachokijua kupima watu Bali andika trick unayoijua ili wengine wafaidi na kama unaswali ULIZA wataalam tutakusaidia
PS:
Kama upo Telegram unaweza Ingia Kwenye Public Channel ipo hapo chini Kwa vitu ambavyo haviwezekani kuelezewa hapa vizuri..Kama video na files. Ni public channel ya kusoma na Sio sehemu ya chatting!
gonga hapo >>>> Excel/SpreadsheetsTZ
Naomba kuwasilisha!
Ethos
View attachment 612144
Mkuu naomba ulelweshe formular
Ngoja nijaribu, nitakuletea mrejesho.hiyo inaweza kufanya kwa kuandika =countif( halafu utaselect sehemu zote unazotaka uhesabu theni utaandika alama ya koma , halafu ikifuatiwa na "*C*") then utapless enter utapata majibu. ila kama kuna njia nyingine ndio tushirikishane hapa
Rahisi sana. Lazima ufanye conditional formating ili iwe inabadilika rangi kulingana na stock yako inavopungua na ikikaribia kuisha kabisa iwe nyekundu. Ila unaweka column tatu. Moja ya stock ingine ya sales na ingine inadeduct kutoka kwenye stock so ukiuza moja huku zinabaki 19Mkuu mi nataka kutengeza page ya excel ntayoweka total number ya items...na kila nikitoa item moja mfano ziko jumla 20 basi nikitoa moja ibaki 19 automatically...nikitoa ingine zibaki 18 ivo ivo mpaka ziishe. Na zikiisha inipe alert kwamba zimeisha au zinakaribia kuisha!!! Nipe mwongozo hapo
Mkuu nisaidie kujua namna ya kuandika barua kwa excel na kuituma kwa mtu zaidi ya mmoja.....
wewe ulijibu je?Mkuu nisaidie kujua namna ya kuandika barua kwa excel na kuituma kwa mtu zaidi ya mmoja.....
Upo sawaHata mi napenda sana kujuaga haya makitu. Nimetumia tumia excel lakini excel hainaga mbabe. Iko pana sana. Tusubiri wadau wa analysis waje