Yaan thread iwekwe huku wewe unataka watu waje Makumbsho dahNjoo upate hayo maujanja ofisini kwetu The Computer Skills (ComSkills), Makumbusho Business Complex, 2nd Floor kuanzia saa 2 asub mpka 2 usiku. You will not be disappointed. Call 0717718519
Hii Office unayotumia ya mwaka gani mkuu? Mimi imenipa shida kidogo kupata "custom" kwenye "number"Asante Kwa Swali Lako Mkuu..
Nenda Kwenye Cell unayotaka iwe affected.. Right Click nenda hadi Kwenye FORMAT CELLS then click baada ya hapo zitatokea options nyingi chagua CUSTOM then upande wa kushoto inatokea options kibao ambazo zinaanza na ## futa weka 0 kulingana na idadi unayotaka then Drag..
Natumaini nimeweza kukujibu. Karibu Kwa Swali lingine...
Poa mkuu imekaa poaAsante Kwa Swali Lako Mkuu..
Nenda Kwenye Cell unayotaka iwe affected.. Right Click nenda hadi Kwenye FORMAT CELLS then click baada ya hapo zitatokea options nyingi chagua CUSTOM then upande wa kushoto inatokea options kibao ambazo zinaanza na ## futa weka 0 kulingana na idadi unayotaka then Drag..
Natumaini nimeweza kukujibu. Karibu Kwa Swali lingine...
Bei zenu mkuu na kozi za usiku zipoNjoo upate hayo maujanja ofisini kwetu The Computer Skills (ComSkills), Makumbusho Business Complex, 2nd Floor kuanzia saa 2 asub mpka 2 usiku. You will not be disappointed. Call 0717718519
Tembelea www.comskills.co.tzbei zenu mkuu na kozi za usiku zipo
Nataka kujua namna ya kuweka 00, mwanzo wa namba mfano nikitaka kuandika namba moja 1, ianze na 001, hivyo hivyo mpaka mwisho
Naomba kujulishwa jinsi ya kuandaa matokeo ya mtihani, jinsi ya kuwapanga wa mwanzo hadi mwisho kwa kuzingatia column ya JUMLA bila kuathiri mpangilio wa alama za masomo kwa kila somo.
Asante mtoa mada maana wengine hiyo excel n shidah vitu vichache tunavyovijua nmeona maoni na michango ya wadau naamin tutapata maujuz kwa uzi wako huuWadau,
Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana...
Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote..
Weka Trick yako hapo chini ili wengine wafaidi au kama unaswali uliza nitakujibu mimi au wadau wengine...
Naomba kuwasilisha
Kama upo Telegram unaweza Ingia Kwenye Public Channel ipo hapo chini Kwa vitu ambavyo haviwezekana kuelezewa hapa vizuri
Excel/SpreadsheetsTZ
Excel/SpreadsheetsTZ
Naomba kuwasilisha!
Ndo maana mkuu. Nna 2013 imenipa shida kidogo2007
Utatisha sanaNgoja nikuangalizie Kwenye 2013