Ni dhambi kubwa sana mwanamke kumwacha mwanaume.
Mwanamke anaachwa kama anavyo fuatwa kipindi cha kutongozana.
Mwanamke hapaswi kumwacha mwanaume kamwe bali anaachwa.
self-centredness - ... caring for yourself and your own needs
Umalaya - Promiscuity ...having many sexual partners in the absence of any commitment
Muhuni - Hooligan - ...malicious destruction of the property of others[/B ]
na wasiwasi na uliyoandika umeoa au??????????????...............:sleepy:
Hahaha umeona eh hommie!
Umekuta Tip top unata ukamwachie Oesterbay?
self-centredness - ... caring for yourself and your own needs
Umalaya - Promiscuity ...having many sexual partners in the absence of any commitment
Muhuni - Hooligan - ...malicious destruction of the property of others
Ushindwe katika jina la Yesu...............................
Ankal kuna njemba ilimuacha wife wake kwa sababu haujui kupika wife badala ya kupika anaenda kununua chakula fast foodheheeh sweetheart, hayo mavituko yanatokea kabisa kwenye talaka za siku hizi, kuna njemba ilimwacha mke wake eti hajui kutumia remote ya plasma TV anamwaibisha kwa mafriend wake. msibishe! imetokea nyumba ya kumi tu kutoka hapa ninapoishi
ni kweli huwezi badili tabia za mtu lakini ndoa na familia yoyote ili ifanikiwe kuna mambo ambayo lazima mkubaliane na kuweka mapungufu yenu pembeni sasa inapotokea mmoja anasema tu mwingine hasemi na hafanyi matatizo huanzia hapo.
Mwanamke akimwacha mwanaume basi mwanamke huyo ni mhuni ilitakiwa avumilie
Ni dhambi kubwa sana mwanamke kumwacha mwanaume.
Mwanamke anaachwa kama anavyo fuatwa kipindi cha kutongozana.
Mwanamke hapaswi kumwacha mwanaume kamwe bali anaachwa.
na hapa tusijiongee mr&mrs tu, ndoa inaweza kuvurugika pia kutokana na familia zetu kwa pande zote mbili, mfano halic ni kwamba ndoa ya dada yangu wa kuzaliwa imesambaratika coz ya mama mkwe na mawifi...so kuna vijimambo kibao vinavyoweza kusababisha ndoa kumomonyoka.
Imeandikwa mwanamke atamwacha baba ake na kumfuata mwanaume.
Na mwanaume akikurushia vilago unarudi kwa baba na mama
Imeandikwa mwanamke atamwacha baba ake na kumfuata mwanaume.
Na mwanaume akikurushia vilago unarudi kwa baba na mama
na hapa tusijiongee mr&mrs tu, ndoa inaweza kuvurugika pia kutokana na familia zetu kwa pande zote mbili, mfano halic ni kwamba ndoa ya dada yangu wa kuzaliwa imesambaratika coz ya mama mkwe na mawifi...so kuna vijimambo kibao vinavyoweza kusababisha ndoa kumomonyoka.
[/SIZE][/B]
Fidel unatuharibia post yetu pendwa watu tuko darasani ati! Ila umenichekesha hapo bold lol
heheeh sweetheart, hayo mavituko yanatokea kabisa kwenye talaka za siku hizi, kuna njemba ilimwacha mke wake eti hajui kutumia remote ya plasma TV anamwaibisha kwa mafriend wake. msibishe! imetokea nyumba ya kumi tu kutoka hapa ninapoishi
Fidel nikumbushe nikupeleke sehemu moja inaitwa BILLIONAIRES CLUB iko Mikocheni uone habari yake.Imeandikwa mwanamke atamwacha baba ake na kumfuata mwanaume.
Na mwanaume akikurushia vilago unarudi kwa baba na mama
Huyo dada ako ameachwa au ameachika?
Na mwanaume atafanya nini??? Muone kwanza kichwa kibayaaaa........................................