Tupeane mawazo wapendwa

lakini Nyamayao mwenye jukumu la kulinda ndoa ni nani huoni ni sisi wengine kutotumia akili zetu tu ndo husababisha yote hayo.

huyu shemeji yangu alichukulia kama kamwona dada na ukoo wake wote, shemeji anapangiwa na mama yake mambo yake ya familia na mambo kibao ya kimaisha, ni yule anaemckiliza mamake so ikapelekea hawa watu kutengana...
 
Kwa hiyo tunakubaliana kuwa sio wote wanaoacha/chwa ni malaya au wahuni.

Freema,

Katika Ndoa uwa HAKUNA KUACHWA bali KUNA KUACHA... Na watu wengi wanashindwa kutofautisha na wanachukulia haya maneno ki-juujuu tu..

Mara nyingi panapotokea kutokuelewana katika ndoa, mwanamke uacha - pack the bag and go - right? Also in very few cases, Wanaume ufanya maamuzi ya kuacha - pack the briefcase and go - Hakuna anayeachwa. Aneyafanya maamuzi ya kuondoka maana yake ameacha hajaachwa ...
 
leo watu mko vere vere mnashusha mapoint ya kufa mtu, nimefaidika sana na jf siku ya leo msione niko kimya natafakari kila post hapa yaani zote ni useful. Thanks wapendwa
Uenende na Amani usimuache tena mumeo!
Habari yake banaa
 

Maisha ya kuishi wote hata kama ni kuvumiliana basi amani na upendo viwepo. Je kuna raha gani kuishi na mtu mmenuniana kisa watoto? Ilhali kama mnaweza kupeana nafasi na mkawalea watoto vizuri huku mkiwasiliana kuhusu suala zima la malezi ya watoto, naona its fair enough hata kwa hao watoto. Siyo kwamba naunga mkono watu kutengana ila inafika wakati inabidi kukubaliana na hali halisi ya maisha.

Sijui kwa nini mimi naamini peace of mind ni kitu muhimu sana kwenye kufanikisha majukumu mbalimbali..hii umenuniana na mtu hata kurudi nyumbani unakuwa kama unalazimishwa wengine mpaka wanatamani wenza wao wafe, kweli haina raha yoyote..Haimaanishi ukitengana mtu ukimbilie kwa mwingine ila ni kutulia na kutafakari kabla ya kuingia mahusiano mengine, halafu kuwapa watoto kipaumbele ni jambo la busara.
 

Skulmeti, leo upitie pale, mwambie Jesca akupe bia tatu ntakuja kulipa.
 
Unasema watu wanaoachana hua hawafikirii watoto?Kuna wavumiliaji ambao hua wanajifanya wanabaki kwaajili ya watoto ila watoto ndo wanaoishia kuteseka!Si kila mtu anafaa kua mzazi mpaka useme lazima wawepo wote ili mtoto afurahie..kuna wengine mmoja anaweza kuwapa hao watoto mapenzi zaidi ya wanayoweza kupewa na wazazi wawili.Kama hujui mara nyingi watu hua wanamalizia frastruatian zao kwa watoto!We unaposema unavumilia mwanaume anaona unamng'ang'ania!Kama hutakiwi ondoka..au kaa subiria Ukimwi!
 
Ukiniacha hautauona Ufalme wa Mbingu.
 
hili post ukichanganya na hayo ma lips mie kwisha habari yangu. naomba nikuwe msomaji tu kwenye hii sred
 
ni kweli watoto ndo wanapata matatizo na matatizo yapo mengi na wakati mwingine sio lazima mtu awe malaya



 

Nidai ofa ya pasaka mamito lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…