Tupeane mbinu za ku-negotiate mishahara

Tupeane mbinu za ku-negotiate mishahara

February Makamba

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
2,151
Reaction score
2,983
Wakuu habari,

Kwa wale wazoefu kwenye hizi kazi za kuchomekea naombeni mje mtupe mbinu sisi tunaoanza kwenye kunegotiate mishahara.

Naanza mimi;

Tip: kitu kimoja nimegundua katika mwanzo wa career ni kuwa bonuses ni nzuri kuliko mshahara mkubwa.

Mwanzoni nilikuwa nanegotiate mshahara mkubwa bila kujali bonuses, mfano nataka nilipwe 1.5M bila bonus, wakati ni heri ningetaka mshahara wa 1M na bonus za laki 5. Maana bonus hazikatwi Kodi, HESLB, NSSF, PAYE nk.

Ila huo mshahara wa 1.5M unaweza kwenda kukuta take home ni laki 8 na ushee

Ni heri ulipwe 1M ambayo ikikatwa take home yake ni laki 7 lakini ujumlishiwe bonus zile laki5 itafika atleast milioni.

Wajuzi wengine naomben muongezee mbinu.
 
Noo ni utaratibu tu mkuu
Ni kinyume na utaratibu, na wanafanya kukuibia haki zako nyingi tu. Mimi nimewahi fanya kwenye mfumo huo, mshahara ulikuwa ukigawanywa mara 2 kwa mwezi, tarehe 15 inatoka bila makato ya aina yeyote na ile ya 30 ndo inakatwa, ya tarehe 30 ni ndogo kuliko ya tarehe 15 hivyo unajikuta NSSF kiwango anachopeleka ni kidogo mno na utakapostaafu ndo utajua mbivu na mbichi.
 
Ni kinyume na utaratibu, na wanafanya kukuibia haki zako nyingi tu. Mimi nimewahi fanya kwenye mfumo huo, mshahara ulikuwa ukigawanywa mara 2 kwa mwezi, tarehe 15 inatoka bila makato ya aina yeyote na ile ya 30 ndo inakatwa, ya tarehe 30 ni ndogo kuliko ya tarehe 15 hivyo unajikuta NSSF kiwango anachopeleka ni kidogo mno na utakapostaafu ndo utajua mbivu na mbichi.
Aaah hizo nssf za nn? Bora ule matunda ya kazi Yako angali mabichi mtini. Uzeeni una uhakika utafika?
 
Wakuu habari,

Kwa wale wazoefu kwenye hizi kazi za kuchomekea naombeni mje mtupe mbinu sisi tunaoanza kwenye kunegotiate mishahara.

Naanza mimi;

Tip: kitu kimoja nimegundua katika mwanzo wa career ni kuwa bonuses ni nzuri kuliko mshahara mkubwa.

Mwanzoni nilikuwa nanegotiate mshahara mkubwa bila kujali bonuses, mfano nataka nilipwe 1.5M bila bonus, wakati ni heri ningetaka mshahara wa 1M na bonus za laki 5. Maana bonus hazikatwi Kodi, HESLB, NSSF, PAYE nk.

Ila huo mshahara wa 1.5M unaweza kwenda kukuta take home ni laki 8 na ushee

Ni heri ulipwe 1M ambayo ikikatwa take home yake ni laki 7 lakini ujumlishiwe bonus zile laki5 itafika atleast milioni.

Wajuzi wengine naomben muongezee mbinu.
Umenikumbusha nilivyokuwa taasisi binafsi nilikuwa nalipwa 1.6M+ lakini take home sasa ni vituko kwa kweli ilikuwa 800K+
 
Umenikumbusha nilivyokuwa taasisi binafsi nilikuwa nalipwa 1.6M+ lakini take home sasa ni vituko kwa kweli ilikuwa 800K+
Dah Yani nusu ya mshahara umekatwa....hii nchi ngumu kwakwel.
Unaweza kuwa unalipwa 1.6M halafu kwenye take home tofauti Yako na anaelipwa 1M ikawa efu hamsini tu
 
Unaposema kunegotiate mshahara inabidi ujiulize kama upo katika position ya negotiate chochote. Maana unaweza kuwa na cheti kizuri ila umetazama huko mtaani hakuna replacement zako?

Watu wenye uwezo wa kunegotiate ni wale ambao hawana replacement.

So my advice is kama una bills za kulipa, fanya tu ukubali kilichopo mezani kwa kusema haya maneno.

Wakikuuliza so kwa kazi hii unatarajia tukulipe mshahara kiasi gani?

Wajibu, nitashukuru kama mtaweza kunipa mshahara utakao niwezesha kutekeleza majukumu yangu kwenu ipasavyo. Wakikubinya zaidi kwa kukuuliza so ni kiasi gani kinatosha kukufanya uweze kutekeleza majukumu yako kwetu ipasavyo, waambie kwa kuanza hii kiasi flani itatosha.

Hapo watajifunga wenyewe maana walikupasia mpira ukawarudishia wao wakakurudishia tena it means unatakiwa kufunga sasa hapo bila utata.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ulivyomalizia sasa, ila hizi pesa tunazopiga mbona zinapotea bila kufanya cha maana au tunapiga ndogo.
Huku serikali hakuna negotiation, unaajiriwa paap unajikuta upo TGHSE1. Mshahara kuongezeka mpaka usubiri annual increment au kupanda daraja. Malupulupu mengine utajua mwenyewe utakapoyapata.
 
Unaposema kunegotiate mshahara inabidi ujiulize kama upo katika position ya negotiate chochote. Maana unaweza kuwa na cheti kizuri ila umetazama huko mtaani hakuna replacement zako?

Watu wenye uwezo wa kunegotiate ni wale ambao hawana replacement.

So my advice is kama una bills za kulipa, fanya tu ukubali kilichopo mezani kwa kusema haya maneno.

Wakikuuliza so kwa kazi hii unatarajia tukulipe mshahara kiasi gani?

Wajibu, nitashukuru kama mtaweza kunipa mshahara utakao niwezesha kutekeleza majukumu yangu kwenu ipasavyo. Wakikubinya zaidi kwa kukuuliza so ni kiasi gani kinatosha kukufanya uweze kutekeleza majukumu yako kwetu ipasavyo, waambie kwa kuanza hii kiasi flani itatosha.

Hapo watajifunga wenyewe maana walikupasia mpira ukawarudishia wao wakakurudishia tena it means unatakiwa kufunga sasa hapo bila utata.
Hapa inamaana haujithamini...ni ngumu wao kukuthamini
 
Back
Top Bottom