nenda posta jMONipo hapa na j8 Samsung lkn nipo tandahimba naipate line ya smile mkuu?
Mkuu sipo Dar aiseenenda posta jMO
HABAR WADAU
Mambo ni mengi mda ni mchache ni ngumu kwa binadamu mmoja kupata taarifa zote so usishangae kuna offer tamu sana yenye discount ya kutisha ikakupitia hvhv ndio mana nimefungua uzi huu ili wadau tupeane habar simu gan kali zina discount nzur za samsung kipind...
apo nyuma kati kati ya mjiZanzibar mnapatikana wap
Usihangaike homebouy ,smile wako dar ,arusha mbeya morogoro,mwanza na dom basi sisi tukomae na utopolo tu ila hawa jamaa siku wakifika Nachingwea siwez waacha ,huduma ya VoLTE ,unaijua ,hawa jamaa wanayo.Nipo hapa na j8 Samsung lkn nipo tandahimba naipate line ya smile mkuu?
Usihangaike homebouy ,smile wako dar ,arusha mbeya morogoro,mwanza na dom basi sisi tukomae na utopolo tu ila hawa jamaa siku wakifika Nachingwea siwez waacha ,huduma ya VoLTE ,unaijua ,hawa jamaa wanayo.
Voice over long term evolution ,ni nzuri ukiwa na smile unaweza piga simu offline na online hata kama chip yao haiko hewani aslong as uwe na app yao tuHapana mkuu volte ndio nini
hiyo g14 ni offer ya sikukuu au ipo siku zote?HABAR WADAU
Mambo ni mengi mda ni mchache ni ngumu kwa binadamu mmoja kupata taarifa zote so usishangae kuna offer tamu sana yenye discount ya kutisha ikakupitia hvhv ndio mana nimefungua uzi huu...
Kuna comment kuhusiana na internet bundle za smile ilinitamanisha... But Naona Dodoma wamefunga ofisi zao zilizokuwa pale Mackay house jirani na General Hospital. Juzi niliwatafuta sikuwapata. Na mtaani hakuna anayeuza line zao.Usihangaike homebouy ,smile wako dar ,arusha mbeya morogoro,mwanza na dom basi sisi tukomae na utopolo tu ila hawa jamaa siku wakifika Nachingwea siwez waacha ,huduma ya VoLTE ,unaijua ,hawa jamaa wanayo.