Tupeane tips za kujulikana hapa bongo kuwa superstar

Nenda sehemu wanakopatikana wenye pesa na uwe na pesa ya msosi bia na usafiri
 
Bila kuwa na picha ya utupu ama kuloga abadani huwa superstar
Yaani bila kuwa karibu na shetani sahau kuwa maarufu.
LOGA MAMA LOGA LOGA KALOGE YAANI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nionyeshe mganga wa kwel bas jaman nichangamke mie
 
Niambie ulipoanzia namie nianze
 
mimi nakupa nguo ya wonder women.
 
njoo tutoe connection ya dhambi utanishukuru badae[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mcheki machozi..akupe tips za utoke vipi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Anza kutiwa mdogo mdogo na hao wa mtaani, ukimaliza wote utakuwa famous hapo mtaani baadae famous Tanzania kiujumla

Mbuyu ulianza kama mchicha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama wema lakini niwe na nahongwa kama uwoya halaf niwe na akili ya kuwekeza kama bakhresa nataka niwe na king'amuzi changu na kiwanda kikuubwa cha nyara ya serikali kama sukari hivi au mafuta ya kula

Sijui nilitaka ni comment nini...
 
Si uingie telegram urushe madude ukiwa kama unaruka na ungo
 
Si uingie telegram urushe madude ukiwa kama unaruka na ungo
 
Si uingie telegram urushe madude ukiwa kama unaruka na ungo
 
Niambie mambo anayofanya gigy money wewe kwa mtazamo wako unayaonaje? Nikijua tu unayaonaje ntajua kama unaweza kua star au la

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…