Tupeane update kuhusu ajira za uhamiaji zilizotangzwa hivi karibuni

Tupeane update kuhusu ajira za uhamiaji zilizotangzwa hivi karibuni

Mr nobby

Senior Member
Joined
Aug 25, 2023
Posts
196
Reaction score
395
Wakubwa habarii za wakati huuu! Huu ni Uzi maalumu juu ya ajira zilizo tangazwa na idara ya uhamiaji hivi karibuni.

Binafsi nafanya application lakini sijafanikiwa kufika mwisho, nikisha log in tu sion maelekezo mengne yanayofatia.

Je Kuna miongoni mwetu/ ndugu/ mtu wake wa karibu amefanikisha kutuma maombi? Kama yupo anisaidie mbinu alizotumia.🙏
 
Wakubwa habarii za wakati huuu! Huu ni Uzi maalumu juu ya ajira zilizo tangazwa na idara ya uhamiaji hivi karibuni.
Binafsi nafanya application lakini sijafanikiwa kufika mwisho, nikisha log in tu sion maelekezo mengne yanayofatia.
Je Kuna miongoni mwetu/ ndugu/ mtu wake wa karibu amefanikisha kutuma maombi? Kama yupo anisaidie mbinu alizotumia.🙏
Hizi ajira zinatangazwa lakini tunashindwa kujua huwa zinapatinaje
 
Mimi nimeingiza details za form 4 ikakubali, nikiweka za form 6 inaandika Information mismatching, nimewatumia email kuomba msaada hawajanijibu na simu Yao ya mezani hai connect sababu hawajalipia service charge, Niko njia panda
 
Mimi nimeingiza details za form 4 ikakubali, nikiweka za form 6 inaandika Information mismatching, nimewatumia email kuomba msaada hawajanijibu na simu Yao ya mezani hai connect sababu hawajalipia service charge, Niko njia panda
hebu tuma picha tukusaidie
 
Shusha nondo Mkuu, hapa hapa
mimi nipo na laptop nilikuwa natk nikufanyie kam msaada maan namim kiuna wakati ili goma kam ivo ila nikaeka mambo fresh so kwa msaada unatakiwa uweke cheti cha formsix kisha cha form four
 
mimi nipo na laptop nilikuwa natk nikufanyie kam msaada maan namim kiuna wakati ili goma kam ivo ila nikaeka mambo fresh so kwa msaada unatakiwa uweke cheti cha formsix kisha cha form four
Mkuu details za form four ndo zimekubali, nikiweka za Six unagoma kabisa
 
Mkuu details za form four ndo zimekubali, nikiweka za Six unagoma kabisa
niilikuambia mwanzo lkn naweza kukus\idia nikakufanyia kam msaada tuy kam hutojali ila any way maamuzi ni yako ww maan mambo mengin sijui inikueleze vp kwa kweli
 
Back
Top Bottom